Category : MIMBA/UJAUZITO

Je Mjamzito mwenyewe Mimba ya Mapacha hutakiwa kujifungua Mimba ikifikisha wiki ngapi?

Je Mjamzito mwenyewe Mimba ya Mapacha hutakiwa kujifungua Mimba ikifikisha wiki ngapi?

Kuna aina nyingi sana za Mapacha lakini kuna aina kuu 3 za Mapacha ambazo ni kama zifuatazo;-1. Mapacha wasio wa kufanana / Fraternal TwinsHujumuisha 80% ya Mapacha wote katika Jamii,Hutokea

Continue reading

Je kwa nini Mjamzito hupimwa (Kimo) Urefu wa tumbo?? na Je Urefu wa tumbo humaanisha umri wa Ujauzito???

Je kwa nini Mjamzito hupimwa (Kimo) Urefu wa tumbo?? na Je Urefu wa tumbo humaanisha umri wa Ujauzito???

Kimo au Urefu wa tumbo kitaalamu huitwa Fundal Height ambao ni Urefu kutoka kwenye mfupa wa kinena (Pubic Bone) mpaka kwenye sehemu ya juu ya tumbo au mfuko wa uzazi(Fundus).

Continue reading

Je kwa nini Chupa hupasuka kabla ya Uchungu kuanza? | Chupa kupasuka kwa Mjamzito kabla ya Uchungu!!

Je kwa nini Chupa hupasuka kabla ya Uchungu kuanza? | Chupa kupasuka kwa Mjamzito kabla ya Uchungu!!

Kwa nini kwa baadhi ya Wajawazito Chupa hupasuka kabla ya Uchungu kuweza kuanza? Kuna Baadhi ya Wajawazito Chupa hupasuka kabla ya Uchungu kutoka na sababu mbalimbali, kabla hatujaona sababu zinazopelekea.

Continue reading

Vyakula anavyopaswa kula mtoto kulingana na Umri Wake.

Vyakula anavyopaswa kula mtoto kulingana na Umri Wake.

Kama unapenda mtoto wako awe na Afya bora tunapendekeza fanya haya katika chakula chake ili kuepusha kupata magonjwa yanayoepukika; Kuzaliwa hadi miezi 6 : watoto wachanga wanapaswa kunywa maziwa ya

Continue reading

Mlo Kamili kwa Wajawazito na Watoto

Mlo Kamili kwa Wajawazito na Watoto

Ni muhimu sana akina mama wajawazito na watoto wadogo kula mlo kamili na ulio salama. Katika utafiti uliofanyika katika nchi 6 kule Ulaya na ukachapishwa tarehe 16 oktoba 2019,umeonesha kwamba,

Continue reading

Sababu za Kuumwa kichwa kwa Mama Mjamzito

Sababu za Kuumwa kichwa kwa Mama Mjamzito

Kuumwa kichwa kwa Mama Mjamzito huweza kutokea kwa sababu ya mabadiliko ya kibaolojia katika mwili wa Mama huyo. Lakini kumbuka kwamba wanawake ambao wana umri ambao wanaweza kubeba Mimba ndio

Continue reading

Dalili za hatari kwa Afya ya Mama Mjamzito  au Kwa mtoto aliyepo tumboni mwake!

Dalili za hatari kwa Afya ya Mama Mjamzito au Kwa mtoto aliyepo tumboni mwake!

Kuna wakati fulani Mama Mjamzito anaweza kupata Dalili ambazo ni hatari kwa Afya yake au Kwa mtoto aliyepo tumboni mwake! Kulingana na shirika la Afya Duniani (WHO)limeanisha Dalili Tisa hatari

Continue reading

Upungufu wa Damu kwa Mjamzito.

Upungufu wa Damu kwa Mjamzito.

UPUNGUFU WA DAMU KWA MJAMZITO. Kwa kawaida mwanamke ambayo siyo Mjamzito ila mwenye uwezo wa kushika Ujauzito inatakiwa akipimwa Protini iliyomo ndani ya Chembechembe nyekundu za Damu iitwayo Himoglobini iwe

Continue reading

Uzito kwa Mjamzito mwenye Mimba ya Mapacha.

Uzito kwa Mjamzito mwenye Mimba ya Mapacha.

Uzito wa mama Mjamzito mwenye Mimba ya Mapacha hutofautiana na Mjamzito mwenye Mimba ya mtoto mmoja kwa kiasi kikubwa Sana, hivyo endepo Mjamzito akiwa na Mimba ya Mapacha anahitaji kuongezeka

Continue reading