Category : MIMBA/UJAUZITO

Je Mtoto kucheza zaidi Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari?

Je Mtoto kucheza zaidi Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari?

Kwa kawaida Mtoto anaweza kucheza kuanzia Mara 3 mpaka Mara 100 ndani ya saa 1! Tafiti nyingi zilionesha ya kwamba kupunguza kucheza kwa Mtoto Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari

Continue reading

MICHIRIZI YA TUMBO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO.

MICHIRIZI YA TUMBO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO.

Michirizi au Mistari midogo midogo ambayo hutokea kipindi Cha Ujauzito kwenye maeneo ya Tumboni, Mapajani na kwenye Matiti ya Mjamzito,hususani Miezi mitatu ya katikati na mwishoni mwa Ujauzito, Hali huwa

Continue reading

MTOTO HUGEUKA LINI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO!

MTOTO HUGEUKA LINI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO!

Mtoto anaweza kuanza kugeuka kuanzia wiki ya 32 mpaka wiki 36 Endapo hajageuka kuanzia wiki 35 kurudi chini hiyo inawezekana isiwe shida kwa sababu anaweza kugeuka mpaka wiki ya 36

Continue reading

MIMBA ZABIBU

MIMBA ZABIBU

MIMBA ZABIBU Hii ni aina ya Mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya Kiume imerutubisha Yai la Kike ambalo halina kiini au hata kama yai hilo lina kiini basi kiini ambacho

Continue reading

ONGEZEKO LA UZITO KWA MJAMZITO MWENYE MIMBA YA MAPACHA.

ONGEZEKO LA UZITO KWA MJAMZITO MWENYE MIMBA YA MAPACHA.

Uzito wa mama Mjamzito mwenye Mimba ya Mapacha hutofautiana na Mjamzito mwenye Mimba ya mtoto mmoja kwa kiasi kikubwa Sana, hivyo endepo Mjamzito akiwa na Mimba ya Mapacha  anahitaji kuongezeka

Continue reading

ONGEZEKA LA UZITO KWA MJAMZITO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO.

ONGEZEKA LA UZITO KWA MJAMZITO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO.

Uchunguzi wa hivi karibuni uligundua kuwa karibu theluthi moja (32%) ya wanawake walipata kiwango kilichopendekezwa cha uzito wakati wa ujauzito na wanawake wengi walipata uzito nje ya mapendekezo (21% kidogo

Continue reading

MTOTO HUANZA KUCHEZA LINI KATIKA TUMBO LA MJAMZITO.

MTOTO HUANZA KUCHEZA LINI KATIKA TUMBO LA MJAMZITO.

Kwa kawaida akina Mama wajawazito huwezi kuhisi kucheza kwa mtoto tumboni katika umri tofauti tofauti kulingana Mama Mjamzito husika. 1. Mama Mjamzito ambaye hakuwahi kujifungua kwa maana kwamba Mimba yake

Continue reading

ULAJI WA UDONGO KWA MJAMZITO

ULAJI WA UDONGO KWA MJAMZITO

Ulaji wa Udongo kwa Mjamzito ni hali ya kawaida na hujumuisha asilimia 20 ya Wajawazito wote Duniani, Mjamzito anaweza kupata tatizo hili katika Miezi Mitatu ya mwanzo ya Ujauzito, Japokuwa

Continue reading

UMUHIMU WA VITAMINI B-9 (FOLIC ACID) KWA MAMA MJAMZITO.

UMUHIMU WA VITAMINI B-9 (FOLIC ACID) KWA MAMA MJAMZITO.

Vitamin B-9 ni aina ya Vitamini muhimu Sana katika Mwili wa Mwanadamu na hujulikana kwa jina la Folic acid au Folate.Neno “folic” linatokana na neno la Kilatini folium (ambalo linamaanisha

Continue reading

Chanjo ya Ugonjwa wa Pepopunda (Tetanus) kwa Mjamzito!

Chanjo ya Ugonjwa wa Pepopunda (Tetanus) kwa Mjamzito!

PEPOPUNDA (TETANUS)Ni ugonjwa ambao huathiri watu wa rika zote na umri wowote ule na Ugonjwa huu huweza kuathiri Mfumo wa fahamu unao husika na Misuli inayojiunganisha na Mifupa ambayo huratibu

Continue reading