Category : MIMBA/UJAUZITO

Kwa nini ni muhimu Mjamzito kushiriki Tendo la Ndoa?

Kwa nini ni muhimu Mjamzito kushiriki Tendo la Ndoa?

Tendo la Ndoa ni Mojawapo ya starehe ambayo Mwanadamu alipewa na mwenyezi Mungu.Japokuwa zaidi ya 50% ya Wajawazito kupunguza hamu ya kushiriki Tendo hilo katika kipindi Cha Ujauzito ukilinganisha na

Continue reading

Je Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Je Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito ni jambo ambalo haliepukiki katika kipindi cha Ujauzito, Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito huweza kutokana na sababu za Ujauzito au Sababu tofauti na Ujauzito ambapo

Continue reading

Je Mjamzito aliyewahi kujifungua kwa Upasuaji anaweza kujifungua kwa njia ya kawaida!

Je Mjamzito aliyewahi kujifungua kwa Upasuaji anaweza kujifungua kwa njia ya kawaida!

JE MJAMZITO ALIYEWAHI KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI ANAWEZA KUJIFUNGUA MIMBA INAYOFUATA KWA NJIA YA KAWAIDA?. Mjamzito ambaye aliwahi kujifungua Mara moja kwa Upasuaji kwenye Mimba iliyopita na endapo sababu iliyopelekea kujifungua

Continue reading

Je kipimo Cha Mimba huacha kuonesha kuwa Mjamzito lini?, Tokea Mimba kuharibika!

Je kipimo Cha Mimba huacha kuonesha kuwa Mjamzito lini?, Tokea Mimba kuharibika!

Mimba kuharibika ni Hali ambayo huwakuta 10% hadi 20% Kati ya Wanawake wote wajawazito yaani katika Wanawake Wajawazito 100, Kati ya Wanawake 10 Hadi 20 Mimba zao huishia kuharibika, 80%

Continue reading

MAANDALIZI YA KUJIFUNGUA.

MAANDALIZI YA KUJIFUNGUA.

Mjamzito anatakiwa kujiandaa Kisaikolojia, Kibaologia na Kiakili kipindi ambacho tayari Mimba yake imefikisha Miezi Tisa na muda wa kukaribia kujifungua.Endapo Mjamzito alihudhuria Kliniki ipasavyo na kupewa elimu muhimu inayo husiana

Continue reading

MJAMZITO ANARUHUSIWA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA MPAKA LINI?

MJAMZITO ANARUHUSIWA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA MPAKA LINI?

Tendo la Ndoa ni Mojawapo ya starehe ambayo Mwanadamu alipewa na mwenyezi Mungu.Japokuwa zaidi ya 50% ya Wajawazito kupunguza hamu ya kushiriki Tendo hilo katika kipindi Cha Ujauzito ukilinganisha na

Continue reading

MIMBA KUHARIBIKA/KUTOKA MARA KWA MARA KUTOKANA NA UDHAIFU WA MLANGO WA UZAZI (CERVICAL INSUFFICIENCY)

MIMBA KUHARIBIKA/KUTOKA MARA KWA MARA KUTOKANA NA UDHAIFU WA MLANGO WA UZAZI (CERVICAL INSUFFICIENCY)

UDHAIFU WA MLANGO WA UZAZI Udhaifu wa Mlango wa Uzazi ni Hali au shida ambayo huhusisha Mlango wa Uzazi kushindwa kudhibiti au kuzuia Mimba isitoke mpaka kipindi ambacho Mtoto anakuwa

Continue reading

Je Mama anaye nyonyesha anaweza kupata Ujauzito/Mimba?

Je Mama anaye nyonyesha anaweza kupata Ujauzito/Mimba?

Jibu Ndio! Kuna baadhi ya akina Mama wanaonyonyesha hujishtukia tayari wana Mimba nyingine ndani ya miezi 6 tokea wajifungue hii ni kwa sababu wanashindwa kujua vigezo ambavyo vitawafanya wao wasitumie/watumie

Continue reading

MAMBO YANAYOPELEKEA MJAMZITO KUKOSA USINGIZI NA MAMBO YA KUFANYA ILI KUPATA USINGIZI KWA MJAMZITO!

MAMBO YANAYOPELEKEA MJAMZITO KUKOSA USINGIZI NA MAMBO YA KUFANYA ILI KUPATA USINGIZI KWA MJAMZITO!

Mambo ambayo huweza kupelekea kukosa usingizi kwa Mama Mjamzito ni kama yafuatayo! 1. Kuongezeka kwa hamu ya kwenda kukojoa Mara kwa Mara usiku! 2. Kupata maumivu ya Mgongo kutokana na

Continue reading

When does Pregnant woman should feel fetal kicks inside the womb?

When does Pregnant woman should feel fetal kicks inside the womb?

Pregnant women can feel fetal kicks in the womb at different gestational ages depending on the pregnant mother and it is individualized. 1. A Pregnant Woman who has never given

Continue reading