Category : MIMBA/UJAUZITO

DALILI 30 ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)

DALILI 30 ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)

Mjamzito mwenye Ujauzito wa kuanzia wiki 2 mpaka mwezi mmoja anaweza kuwa na Dalili zifuatazo; KUMBUKA; Dalili pekee hazitoshi kuonesha kuwa Mjamzito kuna Baadhi ya Magonjwa huwa na Dalili zinazofanana

Continue reading

Maumivu ya Mbavu kwa Mjamzito husababishwa na Nini?, Na suluhisho lake ni lipi?

Maumivu ya Mbavu kwa Mjamzito husababishwa na Nini?, Na suluhisho lake ni lipi?

Kwa kawaida Kutokana na Mabadiliko mbalimbali ya Kipindi cha Ujauzito, Mjamzito anaweza kuwa na Dalili za kuwa na Maumivu ya Mwili ikiwemo Maumivu ya Mbavu inawezekana Mbavu za Kushoto,Kulia au

Continue reading

Je Mjamzito anaweza kupata Hedhi?

Je Mjamzito anaweza kupata Hedhi?

Je ni kweli kwamba unaweza kupata Hedhi katika kipindi cha Ujauzito? Hapana!Ukweli ni kwamba mara baada ya kupata Ujauzito au Mimba huwezi kupata Hedhi, Baadhi ya Wajawazito hususani wale ambao

Continue reading

Je ni Mambo gani hufanya Mtoto kutogeuka Tumboni mwa Mjamzito??

Je ni Mambo gani hufanya Mtoto kutogeuka Tumboni mwa Mjamzito??

Mtoto hugeuka yaani hugeuza chini Mimba inapofikisha wiki 32 hadi wiki 36 mabadiliko haya huwa ya asili, Mtoto anaweza kuwa ametanguliza Matako au Makalio pamoja na Miguu Mimba ikiwa haijafikisha

Continue reading

Je kutokwa Damu kipindi cha Ujauzito ni hatari? | Je unatokwa Damu wakati wa Ujauzito?? Fanya hivi!.

Je kutokwa Damu kipindi cha Ujauzito ni hatari? | Je unatokwa Damu wakati wa Ujauzito?? Fanya hivi!.

Je kutokwa na Damu kipindi cha Ujauzito ni dalili ya hatari?Ndio,Endapo Mimba yako ina umri wa chini ya wiki 28 sawa na miezi 7 na unatokwa na Damu hata kama

Continue reading

MJAMZITO HUTAKIWI KUMEZA SP ZA MALARIA MIEZI MITATU YA MWANZONI MWA UJAUZITO!

MJAMZITO HUTAKIWI KUMEZA SP ZA MALARIA MIEZI MITATU YA MWANZONI MWA UJAUZITO!

Sulfadoxine-Pyrimethamine (SP) ni dawa za Malaria hupatikana kwa Jina la Fansidar au Orodar ambazo hutolewa kwa Wajawazito kuanzia Mimba inapofikisha Miezi mi4 kwenda juu kulingana na andiko la mwaka 2012

Continue reading

Ugonjwa wa Fangasi Ukeni kwa Mjamzito na Matibabu yake! (VAGINA CANDIDIASIS / VULVOVAGINAL CANDIDIASIS (MONILIASIS).

Ugonjwa wa Fangasi Ukeni kwa Mjamzito na Matibabu yake! (VAGINA CANDIDIASIS / VULVOVAGINAL CANDIDIASIS (MONILIASIS).

Fangasi za Ukeni kwa Wanawake huwa ni Ugonjwa ambao unawapata kwa kiasi kikubwa (40%) haswa baada ya kubarehe hadi kipindi cha ukomo wa wanawake kushika ujauzito(Miaka 12 – 45). Fangasi

Continue reading

MIMBA ISIYOKUWA NA KIINI (BRIGHTEN OVUM).

MIMBA ISIYOKUWA NA KIINI (BRIGHTEN OVUM).

Mimba isiyo na Kiini ni aina ya Mimba ambayo hutokea baada ya Yai la kike lilorutubishwa ambalo hugawanyika na kushindwa kufanyika kwa Kiini ipasavyo ambapo huweza kujishikiza kwenye ukuta wa

Continue reading

Ugonjwa Unaoathiri Meno Katika Kipindi Cha Ujauzito (Pregnancy Gingivitis)!

Ugonjwa Unaoathiri Meno Katika Kipindi Cha Ujauzito (Pregnancy Gingivitis)!

Ni shida au Ugonjwa unaoathiri baadhi ya Wajawazito ambapo Dalili zake huweza kuanza kuonekana kuanzia mwezi mmoja wa ujauzito mpaka miezi Tisa na hupotea Mara baada ya kujifungua au baada

Continue reading

Je Mjamzito anatakiwa kulalia Upande wa Kushoto Mimba inapofikisha wiki ngapi?

Je Mjamzito anatakiwa kulalia Upande wa Kushoto Mimba inapofikisha wiki ngapi?

Endapo wewe ni Mjamzito kwa Mara ya kwanza tambua ya kwamba kuna Mambo unatakiwa kuacha kufanya endapo ulikuwa unafanya kipindi ambacho hukuwa Mjamzito lakini pia unatakiwa kuanza kufanya Mambo mapya

Continue reading