Category : MIMBA/UJAUZITO

Je Mjamzito anaweza kunywa energy drinks(Vinywaji vya energy)??Madhara ya Vinywaji vya energy kwa Mjamzito!

Je Mjamzito anaweza kunywa energy drinks(Vinywaji vya energy)??Madhara ya Vinywaji vya energy kwa Mjamzito!

Mjamzito unatakiwa kutumia Vinywaji vyenye caffeine kwa tahadhari kubwa sana. Caffeine hupatikana kwenye Vyakula kama Energy drinks, Chocolate, Kahawa, Chai, Soda aina ya Coca-Cola au Pepsi. Kutokana na ACOG, Mjamzito

Continue reading

POMBE NA MJAMZITO| ATHARI ZA POMBE KWA MJAMZITO.

POMBE NA MJAMZITO| ATHARI ZA POMBE KWA MJAMZITO.

Hakuna muda maalum wa kunywa Pombe kwa 🤰 Hakuna kiasi maalum Cha Pombe kwa 🤰 Hakuna aina ya fulani ya kileo au Pombe anayoruhusiwa 🤰 Pombe aina yoyote iwe Wine,

Continue reading

JE MJAMZITO ANAWEZA KUNYWA MAZIWA AU MTINDI?

Jibu: Ndio, Mjamzito anaweza kutumia Maziwa au Zao lolote litokanalo na Maziwa bila shida yoyote kwa Mjamzito. Isipokuwa tuu Mjamzito haruhusiwi kunywa Maziwa au Zao lolote lililotokana na Maziwa ambayo

Continue reading

UBUYU KWA MJAMZITO (BAOBAB FRUIT IN PREGNANCY)

UBUYU KWA MJAMZITO (BAOBAB FRUIT IN PREGNANCY)

FAIDA ZA UBUYU KWA MJAMZITO NI ZIPI?UBUYU(BAOBAB FRUIT) ni Tunda litakanalo na mti uitwao Mbuyu kisayansi unaitwa Adansonia digitata. Jamii ya Miti hii hupatikana ukanda wa Savanna! Africa Mti huu

Continue reading

MJAMZITO UNATAKIWA KUFANYA ULTRASOUND MARA NGAPI NA LINI KTK UJAUZITO WAKO?

MJAMZITO UNATAKIWA KUFANYA ULTRASOUND MARA NGAPI NA LINI KTK UJAUZITO WAKO?

Kulingana na ACOG Mwanamke Mjamzito anatakiwa kufanya Ultrasound angalau Mara mbili katika kipindi chote cha Ujauzito endapo Mimba yake haina shida yoyote! Mjamzito ambaye Mimba yake inachangamoto fulani mfano; kutokwa

Continue reading

KUTOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA UKENI | SHOMBO YA SAMAKI KWA MJAMZITO NA KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA UKENI | SHOMBO YA SAMAKI KWA MJAMZITO NA KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA NA UCHAFU WA NJANO UKENI KWA MJAMZITO NI UGONJWA AMBAO HUSABABISHWA NA BAKTERIA. UGONJWA HUU HUITWA BACTERIAL VAGINOSIS.Bacterial Vaginosis husababisha na Bakteria aina ya Garnerella Vaginalis ambaye huvamia Ukeni

Continue reading

MADHARA YA SODA KWA MJAMZITO

MADHARA YA SODA KWA MJAMZITO

Unywaji Soda kwa Mjamzito ambao usio wa mara kwa mara hauna shida yoyote kwa Mjamzito asiye na Ugonjwa wa Kisukari au Presha!. Unywaji wa Soda wa mara kwa mara au

Continue reading

JE ULTRASOUND INA MADHARA KWA MJAMZITO AU MTOTO ALIYEKO TUMBONI?

JE ULTRASOUND INA MADHARA KWA MJAMZITO AU MTOTO ALIYEKO TUMBONI?

ULTRASOUND(SONOGRAM);Ni Kifaa au Mashine ambayo hutumika kuonesha Taswira au Picha ya Sehemu Fulani ya Mwili wa Binadamu ambayo imeathiriwa au yenye Shida fulani ambapo wa Huduma wa Afya huhitaji kujua

Continue reading

Dalili za Mwanzoni za Kujifungua au Uchungu kwa Mjamzito.

Dalili za Mwanzoni za Kujifungua au Uchungu kwa Mjamzito.

Endapo umefikisha Miezi Mitatu ya Mwishoni mwa Ujauzito yaani Wiki 28 Hadi Wiki 36, kipindi ambacho bado Mtoto hajakomaa vizuri na Uchungu Halisia kuanza Baadhi ya Wajawazito hupata Dalili mbalimbali

Continue reading

Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito Husababishwa na Nini?

Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito Husababishwa na Nini?

Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito huweza kuwa Hali ya kawaida kutokana na mabadiliko mbalimbali katika kipindi cha Ujauzito au Dalili Hatarishi, Mambo yafuatayo huweza kusababisha Maumivu ya

Continue reading