Ndio nisaidie dawa Nina miez miwil ss Ni mjamzito na hil tatzo c la mara kwa mara but linanisumbua sana nikijalibu kutumia maji bas naishia kutapika tu msaada plz
naam nimefatilia hua mim kichwa kuuma na sikio pia na mimba yng inamiezi mi7 inaenda mi 8 nina upungufu wa damu na urine effection tu ndo niko kwa dawa ss ichi kichwa huuma kwanin?
mimi nipo dar es saalam na mke wangu yupo dodoma na nimjamzito sahvi miezi4 na mie nipo kikazi huku na mie cina mpango wa kwenda dodoma kwa sasa je asipo shiriki tendo la ndoa adhari zake ni zipi hapo badae atakapo jifungua
Inategemeana kama Tumbo Limekuwa kubwa mnaweza kutumia style yoyote isipokuwa tuu missionary style ya Mwanamke kulala Chali au Kifo Cha Mende hauruhusiwi
Dr samahani Nina mimba ya miezi 4 lakini naumwa Sana chini ya kitovu na upande wa kushoto juzi ulivuta Sana kiasi kwamba siwezi fanya chochote nikilala pande zote mbili tumbo linauma na nikikaa naumia Sana shida nini
Mimi ni mjamzito wa miezi mitatu lkn tumbo linauma kwa juu linauma linatulia hivyohivyo
Sehemu gani?
Mimi nackia maumivu ya juu ya tumbo yaani chini ya ziwa mkono wa kulia ni maumivu ya muda mrefu na sasa niko mwezi wa 8 wa ujauzito muda mwingine nashindwa hata kulala
Pole sana nitumie message whatsApp namba hii +255 629 019 936
Kubanwa na mkojo au haja kubwa inaweza kuwa sababu ya mtt kukubana chin ya kitofu je nikawaid ila ukimaliz kukojoa unakaa saw
Na kuna muda anabana sana je nikawaid
Tatizo langu mara ya Kwanza mimba ili haribika na mi ya miezi miwili baada ya wiki mbili damu ilikata na Siku tatu baadae niliingiliana na mwenzangu bila kinga lengo tupate. Mwingine lakini baada ya Siku kama tano tunagombana nikalia Sana muda kidogo tumbo linaniuma na damu ikaanza kutoka inakirangi kama cha uaridi kama mkojo nyepesi shida itakuwa ni nini ety
Jabari doctor..mimi niliingia period tareh 4 ya mwezi wa saba na mzunguko wangu ni wa siku 28 na Leo ni hii ni tareh 4 ya mwezi wa 8 sijaingia period na matiti yananiuma na tumbo la chini kuna muda linavuta alf linaacha ntakuwa na shida gani
Pima Mimba kwa Kipimo cha Mkojo wa ahsubuhi.
Mimi nina maumivu mingi tumboni.Nasikitikia minyoo lakini hadi sasa sijapokea hedhi wa hii mwezi.Sijui kama nina mimba.Nisaidie tafadhali
Hiyo hali ni kwa sababu ya mabadiliko ya homoni lakini kama imezidi sana unaweza kutumia Dawa ya kupunguza hiyo hali, nitumie message whatsApp number hii +255629019936
Samahani mimi nahisi maumivu chini ya kitovu ambayo hayapungui na nina mimba ya miezi 4 sasa nifanyeje naomba ushauri.
Uende hospitali kufanya vipimo
Doctor nina mimba week tano,tumbo linanisumbua sana chini ya kitovu nilienda hospital nikapewa duphaston hyoscine na folic acid ila sasa leo limeniuma sijalala ikafika saa 11 likatulia ila linachomachoma chini.inaweza ikawa shida nini
Maumivu ya Tumbo pekee hayana Maana kuwa Mwanamke ni Mjamzito mpeleke hospitali akafanyiwe vipimo watakwambia shida yake.
Sijapa hedhi leo siku ya 19 chuchu zinauma na tumbo la chini linauma , kwenye kitovu napo panauma muda mwingine nyonga zinauma Sana je yaweza kuwa mimba
Ferrorlic na folic acid ni sawa zinafaanya kazi Moja au zinajitegemea
Kazi ni Moja ila ferrolic ni bora zaidi ina madini ya chuma
Mm nakua najickia kunatokea uvimbe unatuna lakin ndan ya muda unapotea ilatangu nikutane na mwanaume Leo ni cku ya kum namoja je? Hii inaweza kuwa mimba?
Dokta habari… mm nina maswali mawili..
1: kama ulissx tar 6 mwez wa tatu mpk leo 27/3 unawez kusema mimba in muda gani??
2: mm nilishawah kuona dalili za ectopic preg kweny mimba yangu ya kwanza… bahat mbay ilitoka.. je kwa muda niliokuuliza hapo naweza kwenda hospital na dokta akaigundua kam nina normal or ectopic preg
Helo
Hiyo hali imenitokea na sijui nifanye je
Nimeenda hispital nimechek utrasound inaoneksna mimba ni ndogo sana
Sasa na hii hali ya kupata hedhi ndo kabisa imenivuruga
Mchumba wangu kapima kakutwa na mimba ya miezi3.5 na hedhi katika miezi hiyo kapata nataka kujua je , kuna uwezekano wakuwa na mimba na ukapata hedhi ? Maana kaambiwa ipo nje ya kizazi na je kunamadhara gani ikiwa hivyo na tiba yake nini?
Kama umetumia basi unakuwa hamna namna ni vema kutumia folic acid zaidi kwa sababu hizo Dawa huingilia na kuharibika ufanyaji kazi au uchukuliwaji wa folic acid katika Mwili na kufanyika kwa vinasaba.
Nilikua nauliz mimi ni mjamzito wa miez mi5 n nusu nishapat chanjo mbili za pepopunda jana nilijichoma na kiway chenye ncha je nilazima nikapige sindano y tetnus
Dr mimi nina mimba ya mwezi mi wili lakini chini ya kitovu pananiuma sanaaa na kiuno kinaniuma kuanzia nilibeba iyi mimba mpk sas n maumivu mwanzo mwisho
Dr mke wangu ana mimba ya miezi Tisa lakini ameenda kufanya kuchukua utrasound kaambiwa mimba Ina wiki 23 Ila miezi ya mwanzoni alipatwa na tatizo la kutokwa na damu wakati alipopata mimba
Habari doctor mke wangu ni mimba yake ya kwanza kuanzaia wiki ya 17 mtoto alianza kucheza lakini kufika 20 ni kama ameacha je hii ni hatari kwa mama na mtoto wake
Habari Dr. nina week 39 kwa sasa na nina fungal infection ambayo imeshaanza kuwa treated na kuna maji meupe yanatoka ukeni na kuchuruzika mtoto anacheza vizuri. Sasa maumivu yanayonipata chini ya tumbo (kama period) kuzunguka kiuno hadi Mgongo ni uchungu au ni hii infection?
Samahani sijapim mimba Ila nikama ninayo maam matiti yamekua meusi Sasa tatizo kichwa kinauma Kila siku asubui na tumbo la chini je nifanyaj au nimeze daw gan
Kaka samahani mkewangu anapjtia changamoto kamili za mimba mapacha Sasa kafanya kipimo cha ultra sound cha kawaida Sana na sijui do kidogo maana hata Jinsia wameshindwa kuitaja tumezikuta tu napata changamoto na yupo MWISHONI Sana kaka je nn hiki maana kama kilo zimeongezeka kilo Sana kwa kasi nisaidie kaka kila dalili zote anazo tumboni kubwa a maivu makubwa ya mgongo na hata miguuyake ilivimba Sana tu Sasa tusaidie dk hapa
Nina miaka hamsini na cjaona miezi 2,nimekua na kiungulia,tumbo kujaa upepo,kuchoka cna na kulala cna na maumivu ya kiuno kama kwamba nitapata damu ya mwezi lalini hamna.Je naeza kua mja mzito kweli hasa na umri wangu
Nili bebe mimba ikatoka mwenz wa pili mwaka huu mbaka sas sijapata mimba ten na mimb yangu ime alibikika ikiwa ya mwezi mmoj na nusu sas sijui nitakuwa natatizo gan ??
Mie napata maumivu chini ya tumbo na kiunoni nachoka pia nakuwa nahisi usingizi sana tumbo linajaa gas kichwa kinaniuma pia hlf sijapata hedhi ya mwezi wa 12 …..sijui unanishauli vipi hapo, hlf kitu kingine nakuwa nahisi kama dalili za hedhi lakini sipati ,
naweza nikawa mjamzito kweli?
Pima mimba!
Nmetumia p2 je naweza nkawa mjamzto au hedhi tu imechelewa maana imepitiliza siku 4
Sifahamu ndugu subiri uone itakuwaje
Mimi nimetafuta mtoto kwa miaka 8 mwezi huu sijaingia p nikihesabu ni kama zimepitiliza siku 7 ,nikipima na kipimo cha mimba majibu ni Neg je niko mjamzito au nimepitiliza tu siku mimi jamani.silali kila saa niko chooni naona kama nachizika.
Hauna Mimba labda ni mabadiliko tu ya homoni ndio maana hujapata hedhi.
Sioni siku zangu mpaka Sasa mara ya mwisho nilibeba mimba mwezi was kumi mwaka Jana ikaharibika ila mwaka huu mwezi wa Kwanza niliona siku zangu tarehe kumi na nane je natakiwa nione lini Tena
Sijakuelewa
no mimi naigia p lila mwezi lakin sipat mimba nifanyaje doctor hapo juma niritumia sindano doctor nina miaka 23 naweza kupata mimba
Sijakuelewa
mimi chuchu zinaniuma sanaa,kuvuta na kuwasha sanaaa najikuna mnooo sasa sjui ni dalili ya nin hyo
Soma hapo juu mkuu
Mm jmn nais maumiv kwenye chuchu pia kiungulia nanikuwa nais kutapika lakin sitapiki
Pole sana ndugu yangu
Nimepata siku zangu lakini ni matone matone ndio naona wakati wa kujisaidia haja ndogo nikiweka pads Iko nyeupe bado
Ninatatizo la tumbo kujaaa na nilikutana na mwanaume siku saba zilizopita je kunauwezakano wa kuwa nilipata mimba.?
sifahamu
Habari dokta nimepima mimba msitari mmoja ukawa unaonekana kwa mbaaaliiii hadi baadae nikaingia period japo dam hazitoki nying sana sasa sielewi mimba imo au Haimo??
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo
Jmn mm nilifanya mapenzi naumwa na tumbo pia natapika Ila Kuna muda nakuwa na dalili za mimba nikipima Sina mimba Hilo Ni tatizo gani
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo
Naombeni ushauri Nina miezi mitatu Sasa sioni cku zangu na npo kwenye ndoa cjawah kubeba mimba na ndani ya hyo miez mitatu nqpqtq dalili zote za kubleed lakn cbleed naombeni ushauri wenu jaman shida inawezq ikawa ni Nini?
Pole sana ume pima Mimba kuona kama Mjamzito au Lah? kwa Mawasiliano zaidi tuma message whatsApp namba +255629019936
Nimepitisha mwezi mzima sijaona period na nikipima kile kifaa ninachora mistari miwili ila inaandika negative na nina pata dalili za period lakini sion je shida itakuwa nn
Subiri siku 7 usipopata hedhi pima mimba tena
Je dalili za kujuwa kuwa unamimba inachukuwa cku ngapi Ili kujuwa kuwa nipo na mimba
Fuatilia masomo yetu hapa
Mina umri was miaka 20 lkn n mwez mzm huu cjapata kuingia ktk piriod mwanz nilkuwa nahc kichef chef lkn ckuwah kutapika hasta CK 1 j ni mimba au tatizo gn
Pima Mimba kwa Kipimo cha Mkojo
Chuchu zangu zinauma na najiisi uchovu sijui nina mimba
Soma somo uelewe vizuri
Nimepitiliza week mbili ila tumbo linauma chini ya kitovu sana uwa nackia maumivu sana pia kama kubanwa haja kubwa ila nikienda chooni sipati haja je nifanye nn hio Hali iishe
Mie natak uliza swali nitajuaje kama nina mimba kama nimetoka kukutan na mumewangu ni kablaaa ya kuingia period au laah ni baada ya zile tareh za period kupita????kipi sahh ni kabla ya kuingia periodi ndo nitajua au laah mpak zile tareh za period zifike afu zipitilizee kipi sahih maan sielewag mie naomben msaada..!🥹🥹🥹
Dada Naomba ufanye kipimo cha Mimba cha Mkojo
Nilishiriki tendo nikiwa kwenye siku zangu Sasa naona kama kiuno kinaniuma Sana na tumbo chin ya kitovu j inaweza kuwa mimba
Hapana
Mimi nina wiki moja toka nimekutenga na mwanaume ila nahisi kuchoka kichwa kinaniuma kiasi kwamba kila muda najihis labda ni mjamzito…lakin je dalili za mimba zinaweza kwel kutokea ndan ya muda mfupi kama huu., Af Jambo jingine uke wangu upo mkavu sana. Cjui kwann
Ninaumwa kichwa mdomo mchachu kiuno ni kifanya kazi za kuinama kinauma alfajir naisi ovyo ovyo, kifuan kuna uzito mfran kmvile maralia inavokuwa na pumzi nahema hema… Je yaweza kuwa ni dalili ya ujauzito
Uende ukafanyiwe vipimo ndugu
Je kuna uwezekano mwanamke siju ya kumi na moja kupata ujauzito mwenye mzunguko wa siku 28
Ndio
Je unaweza pata mimba bila kuona mabadiliko ya mwil or dalili zozote?
Ndio
Nimepitikiza mwezi mmoja na zaidi pia naumwa na kiuno, tumbo linajaa gesi, nachoka, kiungulia, fangas zinaniwasha inaweza ikawa mimba?
Pima mimba
Naomba kuuliza nimekutana na mume wangu cku ya 12 baada ya period na mbegu za kiume UK’s Hadi cku 4 baada ya hapo nikipata dalili za kuingilia , mara moja kizunguzungu , na tumbo kuuma sana
Baada ya mda nikatokwa na period nyepesi siku 3 na zilibaki cku 4 nifikie mzunguko wangu wa hedhi , je nitakuwa mjamzito ?
Ahsante
Mimi sijapata hedhi yangu mwezi huu japo nilipata dalili za dedhi, na napata kicheguchefu na mda mwingine natapika, nachoka yani sijiskii kufanya kitu na mwili unauma, matiti yanajaa na yanauma sana.
Mimi nimekutana na mwanaume siku ya8,baada ya kutoka blid lakini nsumwa mno na miguu kama inawaka moto na mgingo unauma je ntakua na dalili ya ujauzito
Naomba usome somo hilo vyema tafadhari
Mimi sijaon tu siku zang but Sina dalili hata Moja
Samahani naomba msaada wako kunadalili nazion katik mwili wangu maziw yamekuwa makubwa chuchu ngumu tumbo linauma markwamar maumivu ya kawaid tu ila ninachoshindwa kuelew nashangaa nimeona period kabla ya siku swal nikwamb mtu unaweza kuwa na mimba ya wik tatu na ukaona siku zako???
Nilikua na mimba na ikatoka ikiwa na miez miwili na nikakutana na mwanaume alafu nikaaa mda kidog nikaona damu imetoka kidogo na kuona kama siko sawa mara kichwa na nimepima mara mbili sina mimba mana nilihic ni labda mimba imekaaa tena
Smaahn doct Na wiki mbili na dalili ya kujaa mate mdomoni na kuumwa na mgongo kwenye kiuno na chunusi usoni Ila nilipima ikiwa na wiki mbili hakuna mimba Dr sjui tatzo Nini na kukojoa kila wakati pia ,
Jamn mwenzen sielewi nimeanza period mwez wa 8 tareh 17 na mim huwa mzunguko angu ni siku 25 mpk leoo sijaona alafu kichwa kinauma tu na tumbo linauma sana kam la period ila sioni
Habar mam afya mim nilishiriki na Mr wangu lakn tangu nliposhirik nae xijapata hedhi yangu na nahix dalili za prd lakn damu haitok xitapiki wala kuchoka Ila hamu ya kula xin xhid inaez kuw nn
Habari nilipima mimba ikatokea vimistari viwili vimekolea na sasa nashangaa napata period lkn damu ni nyepesi sana na sio nyingi je mimba Angu itakuwa na tatizo lolote
Ukafanyiwe vipimo kujua Mimba ipo au Lah!
Habar ni hivi tumbo linauma mara kwa mara but pia magoti yanauma kichwa nikisimama nahc kizungu zungu kiuno kinauma jee inawezekana kua ni ujauzto au laa naomba kujua ilo
Make Wang siku zake Huwa zinatofautiana sana na kwa sasa imefikia akifika period zinatoka damu kidogo sana na uchafu wa rangi isiyo ya kawaida na damu ni kidogo tu. Inaweza kuwa tatzo ganj
Tarehe ya mwisho ya kuingia period ilikuwa 17 mwezi wa kumi na moja mwaka huu, nikafanya mapenzi siku ya kumi na tano ya mzunguko wa wa siku 28 na mpka Sasa cjapata hedhi na nna unauzito je mimba yangu itakuwa na muda Gani?
Nitumie message whatsapp namba hii +255629019936
Nina maumivu ya kiuno na cku zangu zimepitiliza wiki je inaweza ukawa Ni ujauzito?
Samahani dr mimi nna mimba ya miez mitatu ila naumwa chini ya tumbo nkikala upande kugeuga n shida kiungio cha mapaja na sehem za siti zinauma nkitaka kujigeuza au kushuka kitandani na kuna siku iliashawai toka kidogo je tatizo n nn dr
Habari,sijapata hedhi miezi miwili sasa na sioni dalili zozote za mimba na nikilibinya tumbo nahisi Kuna kitu kigumu Kama uvimbe kinapanda na kushuka chini
Nilipata period yangu mwisho ilikuwa 15 of DC 24th and 2sec of January ndio siku nilikuwa na Mzee wangu na kugikia tarehe 9nikaanza kuhisi maumivu makali ya tumbo na kiuno na moyo kupiga kwa Kasi ,mate yako uchungu na period sijaona je huenda ikawa ni mimba?
Mimi ni mjamzito niko week ya 24 ila tumbo kubwa kuliko umri wa mimba nyonga zinakaza na kuachiaa, na ule mstari mweusi tumboni umekoleaa na umefka juu ya matiti,, jee inawezekana nina mapacha??
nilifanya tendo la ndoa siku ya saba nikaanza kusikia kichefu chefu na kutapika na tumbo kuuma chini ya kitovu km nataka kuingia hedhi je ni dalili ya mimba?
Nikila kuna mda naisi kichefuchefu lkn sijawai tapika na naisi maumivu ya mgongo yaani uti wa mgongo kama unachoma na nakojoa mkojo wenye arufu kali matiti yananiuuma sana na ninalala sana lkn tabia ya kulala uvyo ninayo toka zaman na sioni sikuzangu na ninatokwa na uchavu mweipe kwa wingi na nimeongezeka uzito ni mwezi wa pili sasa lkn auna harufu inaweza kuwa ujauzito?
mara yangu ya mwisho kuingia period ilikuwa mwez wa nne tarehe 11 mwezi huu wa tano sijaingia period bado nilipima nikaona nina mimba je itakuwa inamda gani napata maumivu ya tumbo kwa mda na kuachia na mapigo ya moyo yanaenda mbio naweza kwenda hospital kusaidiwa maaan mapigo ya moyo hii hali inatokea mara kwa mara na kuchoka
Smhn Dr mm nilimaliza period na nilipo Malika tu nikakutana n mwenzangu ila m period yangu haina ratiba Yan xna mzunguko maalumu,ila sas ni.week 3 na niko na dalili nyingi z mimba lkn kila nikijarbu kupima nakuta negative je inaweza kua n tatz gan??
Nili bebe mimba ikatoka mwenz wa pili mwaka huu mbaka sas sijapata mimba ten na mimb yangu ime alibikika ikiwa ya mwezi mmoj na nusu sas sijui nitakuwa natatizo gan ??
Sku zangu huwa haziji kwa mpangilionaweza nkavusha hata mwez nkaingia mwezi mwingine na tarehe hazijawahi kuja kwa moangilio mzuri na nakumbuka hedhi yang ya kwanza nilienda siku 17 ila baada ya kufanya tendo najikuta muoga Sanaa maana nahis kuwa nina mamba japo mwenza wang aliniambia kuwa hakufanya mistake ndani ya uke wang ila shuka lililoa bado nahis kuogopa sana
Doctor mimi nina miez mi wili ila naelekea wa 3 nasumbuliwa na UTI haziishi sijuh nisugu nimetumia mpka sindano nikiwa na mimba mwezi mmoja lakini bado
Ninamiaka 26 mm nilipitiliza mwezi moja na siku 10lakin damu ilikuwa inanitoka matone matone alafuinakata siku ya kumina 15 ikaja ikatoka damu nyingi.sana nikaenda siku 10. Talehe24 NIKAWA nikosawa nikakutana kimwili . .sasa nashangaa ninadalili kizungu zungu na kutapia
Nina swali naomba kuuliza nimepima mara 3 mara ya kwanza kipimo kinaonyesha ninayo Cha pili Sina Cha tatu ninayo na hedhi sijaona apo shida ni nini na Ninahisi kitu kikicheza tumboni
Habari nina tatizo la kuchelewa kupata hedhi. Ni mwezi mmoja sasa tangu niingie period….lkn napata maumivu makali chini ya kitovu, kichefuchefu na kuhara
Mie nilienda period mwezi wa 3 trh 7 mwakahuu lakin mpka mwezi wa nne ukapita mwezi huu wa tano trh mbili nimeenda kukojoa vimetoka vidamu na tumbo la chini linauma ila hili lakuuma tumbo nikila siku linauma lkin Leo ndo vidamu vimetoka shida itakuwa nn
“Kama Mimba yako haijafikisha wiki 36 na Mtoto hajageuka basi usihofu Mtoto atageuka tuu”, je akiwa na zaidi ya wiki 37 na bado hajageuka,atageuka? Nini cha kufanya? Na madhara yake ni yapi endapo hata geuka?
Mimba imeharibika, baada ya wiki tatu kipimo kinaonesha mimba bado ipo, pia bado natapika, maziwa yamejaa na yanauma kichefu chefu bado kipo, homa za kila muda na mwili kukosa nguvu. Je shida n nn?
Mwezi wa 9 nipoteza mimba ya wiki 4 damu ilikata wiki moja dalili za mimba zikapotea lakin mwezi huu wa kumi naona dalili za mimba changa je naweza kuwa mjamzito tena
Nilifanya mapenzi lakini zilikuwa si siku za hatari yani siku salama lakini Cha kushangaza mpaka sasa hivi sijaona period yangu je naweza nikawa na mimba ?
Hi.
I have the same case… until now am not sure if the baby is still alive..at first, (before getting pregnancy) I got overbleeding I don’t know if this situation of getting bleeding is due to overbleeding I had before.
Dr tumbo linauma chini ya kitovu,ute umezidi kuwa mwingi ukeni,na maumivu ya kichwa napata lakio sio mara kwa mara joto linapanda
Je itakuwa ni nn dr??
Hi doc??Nina swali Nina ujauzito wa 38wks na tatizo Ni naumwa na tumbo ya chini ya kitovu hasaa nkiwa nmelala nkijigeuza naona shida Sana pia kutembea naona shida tatizo Ni Nini?
Habari mamaafya! Pole kwausumbuf
Mi nilikuwa naskia dalili zote za ujauzito mpk hamu yakula ilikata, maziwa yalijaa nakutuma lakini kuamkia Leo usku nimeingia period maana yake nini?
Mimi apa muda wote nakua nmechemka hasa wakati wa usiku ad nahis kuungua af ni siku ya nne sasa sjaona hedhi af upande wa kulia wa tumbo nahisi kama kuna kitu kinamove apoapo na kiuno kuuma nisaidie hio ni tatizo gan
Dr ata mie hali imenipata hii mtoto kaanza kucheza mimba ya wiki 9 sjasahau tareh yang ya mwisho wa hedhi sjasahau wiki tisa alikuw anacheza upande wa kulia ilivo vika woki 12 anacheza kushoto kunasiku nilimskia kulia. Na kushoto anacheza amekaa wiki mbili ajacheza nimeanza kumskia leo wiki ya 15 anacheza ten,,,,nilifanya oltsound mimb ikiwa na wiki 13 nikaambiwa ni mmoja tu mim mimb zang zilizopita watot wanacheza miez5 hii wiki 9 ilinishangaza na kujibadil na ubavu kulia kwend kushoto
Me kabla ya mimba nilikuwa na kilo 70 nikapima kilo mimb ya wki 5 nikakuta na kilo 76 nikapima kilo mimba ya wiki 11 nikakuta na kilo 86 je izi kilo ni sahihi auzinapand san nijib pls
Habari mm tumbo Lang la chini Lina fura alaf linajaa ges tumbo na kujamba ninja siku ya kumi na mbili sijpt choo na uchovu Sana asbh,nahuwa kunamuda napwata na hasira
Habari Mimi mke wangu mtoto alicheza Kwa nguvu sana siku nzima lakini siku iliyofata amekua akisikia maumivu makali misiri ya uchungu na mtoto anacheza pole pole sana
Poleni sana naomba mpeleke hospitali
Jambo mke wangu alalamika tumbo kuuma na iko na miezi sita kuelekea saba sai
Mi imepita miezi mitano sijapata breed na nikipima mimba hakuna na ninasikia mtoto kucheza na pia maji na maziwa nikiminya yanaanza kutoka sielewii nifanyeje na tumbo linakua
Je Mumbai ya wiki 6 inaweza toka ukinywa energy?
Je kuna madhara gani mtu akifululiza kutoa mimba ,katoa mimba then baada y mwezi tena anatoa nyingine kwa njia ya vidonge?
Je mjamzito kutokana na damu nyingi katika siku zilezile za hedhi na kwa zaid y cku saba na kwa mfululizo wa miez 3. Nabado kipimo cha utlasound kinaonyesha mtoto bado yumo na anamapigo ya moyo je hii inamadhara kwa mtoto atakae zaliwa baadae?
Dr Mimi mimba yangu ni kwanza lakini Kuna mda naisi maumivu yanahama hama Mara kulia kushota maumivu hayo nayapata asubui nikiwa nimelala. nikiamka kutembea nahisi maumivu kwenye kisingino, naomba msaada mimba yangu ni ya miezi mi tatu sasa
Dr mke wangu ana uja uzito wa wiki 10, alishafanya ultra sound akiwa week 8 kulingana na maelezo ya Gynaecology wake…mtoto alikuwa vzr na kila kitu normal. Shida ni kwamba mke wangu anatapika mno kuna dawa wamempatia ameze but anashindwa coz anazitapika folic acid, Carofit sasa sijui tufanyeje???
Habari dokta, swali langu ni kuwa je kuumwa na mgongo upande wa kushoto na kiuno upande wa kushoto na siku za hedhi zimepitiliza ,lakini baadae nikaona damu nyepesi je dalili ya mimba au kitu gani?
Nmepitiliza mwez mmoja cjaona siku zangu mgongo unauma na maziwa yanauma lakini tumbo haliumi je naweza kuwa mjamzito
Pima Mimba
Damu nyepesi kutoka kwa mjamzito ni kawaida kwasabb mwili unapitia mabadiliko na piaa mtoto anajijenga au kujipachika vzr kwenye ukuta wa placenta,,,so ni kawaida
Asantee saana Dr.mimi ni mjamzito wa mimba ya kwanza ni miezi mitatu Sasa nasikia ngozi kama Iko na viminyoo yaani inawasha sehemu za tumbo naweza Anza kutumia mafuta ya olive oil au cocoa butter kwa sasa
Habari nilitoa mimba ya week 3 ila bado na dalili za mimba kama kichwa kuuma, matiti kuuma na mate kujaa mdomoni ..nimetumia dawa za antibiotick flagly na doxy lakini naumwa bado msaada tafadhali shukrani
Zitaisha tu baada ya wiki 2 au 3 tokea Mimba kuharibika
Mimi nilichoma sindano mwezi wa pili na wakat nachoma kumbe tayr nilikuwa mjamzito bila kujuwa ilipofk mwezi wanne mimba iliharibika tokea hp sikuwahi kuona siku zangu mpka leo na nimesex na mme wangu tarehe 29mwezi wa saba na sasa nahisi dalili za mimba lakin nikipima sioni kitu
Habari mm mimba ilitoka nikakaa wiki nikapima mkojo baada ya kumaliza dawa za kusafiha kipimo kinaonesha bado ninamimba nikakaa tena siku 3nikaenda hospitali trosaund inasema sina mimba sikuyapili tena nikapima mkojo unaonyesha mimba hii inakuwaje?
Hello, wife wangu alikuwa au anatumia siku 4 kubleed lakini alipokuwa siku za hatari nilikutana nae , Cha ajabu muda wake wa hedhi ulipofika mwezi huu kableed siku 1 tu ikakata Sasa je huenda Ana mimba Changa au ikoje kitabibu? Nisaidie majibu ikiwezekana nitumie kwa 0764189966 au email _milembeulimwengu@gmail.com
Mimi NILIPATA bleed tareh 22
Nikamaliza tareh 26
Then tareh 27 ,28,1 mwez wa 5
Nilisex
Nikawa napata dam ndogo tu za cku 2 zinaisha
Nikaendelea kujisikia vibaya tareh 8 mwez wa 5 nimepima u.p.t inaonesha positive ndo najiuliza inawezekana ikawa ni mimba????? Na nimepima kwa vipimo v3 vyote vinaonesha ivo
Ndugu yang anashida samahani dokta Mimba iliharibika mwezi wa 4 tarehe 15 hadi leo mimba Bado inasoma ipo je Ni mimba nyingine au mimba ya mwanzo inasoma?
Habari nina dada yangu anaujauzito wa wiki ya nne sasa ila ameanza kupata maumivu ya mgongo kiuno na tumbo leo ni siku ya tatu na akienda haja ndogo mkojo unakua msafi ila mwisho kabisa anaona matone ya damu je nini afanye mana ameenda duka la dawa wanasema viashiria vya mimba kutoka na wamempa phenobabiton na buscopai
Mkewangu kwenye dalili 30 yeye ana dalili28 lakin alienda kupima akakutwa Hana mimba na Kuna siku amejikuta anatoka dam Yani kama anaingia kwenye cku shida apo ni nini
Mimba yangu ilitoka nliona vinyamanyama tuh na damu kidogo ikawa inaendelea iliyopauka mimba ilikuwa wiki mbili ila sasa hiv nashika chini ya kitovu kwa mbali nahisi ugumu shida ni nini?? Haijatoka ama
mm nilikuwa natumia sindano za uzazi lakn ilipo isha muda sikuchoma na nikapata siku zangu 26 mwez wa 5 mpka ss sijaona tena lakin nimekuwa pono na mvivu sana chuchu zimeanza kuuma nina wiki ss nimepima lakin kipimo kimekuja negative hvi nitakuwa na dalili ya nn
Habari Mimi nilikua natumia dawa za kupanga uzazi ndani ya mwaka mmja na nikaziacha tokea mwezi wa nne nikapata period mwezi wa tano na sasa imefika miezi 3 sijapata periods naumwa chini ya kitovu na nimepima mimba zaidi ya Mara tano sina mimba na dalili zote za mimba nikonazo na nimepima kila ugongwa sina sasa itakua ni nn nisaidieni na mawazo maana mwili wangu naona unaongezeka kila Mara.
Habari mama mjamzito wa wiki 8 anaumwa sana tena mara kwa mara akienda kupima hana ugonjwa ila anasikia maumivu tumboni na kichwa kuuma pia kuhisi homa hii inasababishwa na nini na ikiwa huu ni ujauzito wake wa kwanza
Na nini anapaswa kufanya ili awe sawaa
Mim nilikutan namr wangu baada ya hapo Huw nahisi homa hasa asubuhi na usku na tumbo linaniuma kama ntaka kuingia kweny period na vitone vya damu alfu vinakta unatoka Ute mwingi mweupe hii inawez kuw mimb?
Dr. Mke wng toka atoe ujauzito mwez wa 2 mpaka leo hajawahi kukaa sawa kwenye siku, mwezi wa 4 alienda sku 13 ila maumivu yalizidi mpaka nikampelela hosptl wakampa dawa na sindano, akakaa sawa ila mwez wa tano na wa sita kaingia sku 6 mpaka 7. Mwez huu wa sita ikiwa naendelea kulala nae tena sku za ovulation ili apate mtoto kwa mda huu ameingia leo asubuhi kwa kuona mabonge bonge basi then ikakata alivoenda kukojoa. Je tatizo ni nini doc.?
Kama Mimba iliharibika mnatakiwa msubiri angalau miezi 6 pasipo kupata Mimba ili Mkeo Mji wa Uzazi uweze kupumzika, sasa mpeleke hospitali kafanyiwe vipimo zaidi ili kujua shida yake haswa ni ipi?!
Samahan doctor mm nilipata hedhi tareh 30 mwez5 ila ilikuwa siku yangu imebadirika nilishangaa sana kuona siku zimebadirika nikajua tapa tena siki zang tareh 7 mwez 7 ila chakushangaza sijapata siku zangu mpk hii tareh 14 ila napata maumiv yakiuno kama naingia kwenye siku zang nq chuchu zinauma
Sanq kichwa na mgongo inaweza ikawa nn docter
Sijawahi fanya mapenzi ila Nina Mpenz I amabaye huwa tunafanya lakini hajawahi kabisa kuingiza ndani yaani hufanya juujuu tu.je hapo naweza kupata mimba?
Niliona Ute wa uzazi siku ya Saba ya hedhi nikafanya mapenzi siku hiohio ya Saba saiv mwili hauna nguvu nahisi kulala Kila muda naona Ute mwing unatoka ukeni mdomo mchungy.
Nauliza swali, Mimi nilichoma kinga zile tatu za Kwanza na ya nne Ni baada ya mwaka mmoja sikuchoma ikapita miaka miwili ndio nikaenda hospital wakaendeleza ile kinga ya nne. je hapo ntakua sijaharibu kinga?
Naomba kuuliza kuhusu mtoto iyo chanjo ya tetenasi inakaa kwa mda Gani? maana nmemsikia nurse akisema baada ya miaka kumi na tano arafu mimi ufahamu wangu ni baada ya miaka mitano na mtoto amepita iyo mitano….je, kama amepata jeraha awez kuchoma Tena au anachoma
habari, mimi nilimeza p2 lakini nikapata mimba na baada ya week nne nilibreed yakitoka na manyama nyama kama maini na damu kwa week nzima, ikawa kama imetoka yenyewe na dalili za mimba sina ila kipimo kinaonyesha imo bado na maumivu kidogo upande wa kushoto kwa chini, ni week sasa hii hali itaisha pia yenyewe?
Nina mimba ya week 8 lakini naumwa kila siku tumbo la chini kama la period huu ni mwezi sasa linauma kila siku na matiti bado yanauma kama dalili za period kuna muda naumwa mgongo pia nin shida
SWALI…..kati ya kipimo cha utrasound na tarehe unayopangiwa hospitali ya kujifungua kwa nini mara nyingi zinakuwa tofauti na haziwi sawa….sasa ni ipi tutakayotizamia kwa mama mjamzito kujifungua
Mimi militia Mumbai trehe 10/8 mwaka huu Ila damu ilitoka tu mabonge mabonge Mara moja hayajatoka Tena Nina mtoto mdogo na pia nmekutana na mine wangu Sasa nahisi dalili za mimba ila mume wangu alimwaga nje Mara zote
Mimi nina mimba ya miezi minne, na nimeanza kuhisi mtoto akicheza na ni mimba ya kwanza kwangu. Hapo juu umesema kwa mimba ya kwanza si rahisi kuhisi mtoto akicheza katika umri huo, maelezo zaidi
Habar docta swal langu n kwamba cjapata hedh mwez huu na zmepitilza xk 5 kuna mda nahisi dalil za hedh lkn cn dalil yyt ya mimb n matit kujaa t sijajua nbtatzo gan
Mimi nimjamzito wa miezi 7 na dalili zote za pacha kubanwa kwa pumzi nyonga namgongo kuuma uzitokuongezeka tumbo kubwa ila Sona miguu kukozanguvu wakati mwingine ila haivimbi kizngzng na nesi alinipima wakati nna miezi sita akasema mapigo yawatoto anaisi watoto niwawili je enawezekana ikaivyo
Nimekueelewa maana mm mtoto wa kwanza nilijifungua na 41 na huyu wa pili sa hv niko 40 bado cjajifungua, hivi kuna namna ya kuepukana na hii hali ya kujifungua kwa kuchelewa?? Maana inachosha kwakweli
Hapo kikubwa endelea kufanya mazoezi ya kutembea tembea kama huna shida yoyote inayokufanya usifanye mazoezi ya kutembea tembea na pia tumia chai ya Rangi kunywa ikiwa ya moto moto sawa eeh, jitahidi na kumwomba Mungu pia.
Habari yako dokta naomba nikuulize juzi tarehe 9/9/23 nilienda kumpima mkewangu afya akakutwa na malaria na UTI kisha nikwaomba wampime na UTP ili tujue ana mimba maana hedhi yake hakuiona ktk yale masiku aliyoyazoea bahati nzuri ameonekana mimba anayo.sasa dkt mpaka sasa mkewangu analalamika tumbo lamuuma sana Chini ya kitovu
Mm Nina mimb ya miez minne na week mbil lakn nna pata maumivu chini ya tumbo upande wa kulia kias kwamb naskia Kama mguu n mzito lkn nmefanya vipimo mara mbili na majibu yanaonyesha sna shida yoyote,plz unaweza nisaidia kunielezea lbd xhda itakuwa nn
Dr mm nimemaliza piriad nikakutana na mume wangu siku zangu za hatari lkn saiv tumbo linaniuma sana chini ya kitovu mda mwengine mpaka chini kunavuta mpaka kiuno kinauma nikifanya kazi za kuinama sana mgongo unauma nimetoka chunusi maziwa yanauma mda mwengine kama nataka kuingia kwenye piriad lkn tarehe yangu bado sana inaweza ikawa ni mimba mda mwengin nikimaliza kusex tumbo linauma sana
Hi mamaafya mke wangu ana ujauzoto wa wiki nne na upatwa maumivu makali chini yakitovu
na kiuno ambayoo uweza kudumumu siku nzima. Ili husababishwa na nini.?
Doctor. Mimi Mkewangu Ujauzito Ulitoka Ukiwa Na Miezi Miwili.Na Nusu Nibaada Ya Kuwa Anapata Maumivu Makubwa Sana Chini Y Kitovu, Alivyoend Hospital Akaambiw Mimba Imeharibik Ndipo Wakamvuta Vikatoka Na Baad Y Kuvitoa Damu Zilitoka Nying, Na Baadaye Akawa Ametok Hospital Na Hakupew Daw Yoyote Bali Alitumia Dawa Z Maumivu.Tu, Mpk Wiki Tatu Zimeish Kukawa Kunatok Uchafu Wa Kawaid Tu! Tena Mudogo Mara Leo Usitoke Mara Utoke Mpka Nikawa Nakutana Naye Baada Y Siku Kama Sikuhiyo Hamuna Uchafu, Lakin Baad Y Mwez Kuisha Sasa Ndo Damu Nzito Za Mabonge Mabonge Zimeanz Kutoka Na Damu Nyepesi, Pia Kutokwa Na Haruf Ukeni Kila Akiend Hajandogo Vimabonge Vidogo Vilivyochanganyana Na Damu Vinatoka, Na Pia Mda Huu Sasa Ahisi Tena Tumbo Kuuma Kwa Mbali Tena Chini Ya Kitovu, Mwili Kuwa Dhaifu Maramojamoja Mara Kupenda Kula Udongo. Naomba Ushauri Doctor
Habari doctor mm ninaujauzito wa mwezi mmoja na wk mbili Ila tumbo langu linaumaa chini ya kitovu kwa mda mrefu ,mgongo ,na kiuno wakati mwingine na mapaja yanauma shida inaweza kuwa nn ??
Nilitumia p2 baada ya tendo maana ilikuwa siku za hatari ila nimepata hedhi kwa wakati na hakukuwa na mabadiliko ya siku kupungua au kuzidi ni zilezile siku tatu ila sasa baada ya wiki mbili napata kichefuchefu tumbo kujaa gesi na uchovu je ni madhara ya p2 au ujauzito??
Naomba kuuliza Kuna dalili naziona natema sana mate mdomo mchungu nachagua vyakula miguu Haina nguvu….Cha hajabu jana nilipo amka na kwenda chooni nikaona Ute Ute umachanganyika na damu Kwa mbali
Nilitumia misoprostol damu Ilikata baada ya siku 11. Kwasas mate yanakuwa machungu na matiti yanajaa kama mtu anayekaribia kuingia hedhi, je hizo n dalili za mimba kuwepo?
Nmetoa mimba mwezi wa nane ilikuwa na wiki tatu, mpk saiv mwez wa kumi nkipima kipimo kinaonyesha bado ipo na chini ya kitovu tumbo limekuwa gumu ila cna dalili ya kichefu wala kuumwa popote
Tarehe 25 mwez wa tisa ultrasound nilipiga ikasema mimba ina week 39 na pia ikasema tarehe ya kujifungua ni leo tarehe 8 ila me nina kama week mbili naumwa nyonga na uku chini kuna vuta kama kuna kitu kinaachia inaweza kuwa uchungu ila sion makamas wala maji maji
Habar doct ivi Ipoje.
Uck nikiwa naenda haja ndogo pindi nanyanyuk nasikia km mifupa ivi inagongan maeneo ya kweny kibof mpk chini… Mimba ina week 35 na siku 4 je inawez kuwa nn.?
Jamani Mimi nilipima nikagundua nina ujauzito lakini toka nimepima nikawa nimeona dalili za hedhi nikaenda hospital nikapima nikapatiwa dawa ila Cha kushangaza adi leo ni siku ya kumi niko hedhi shida ni nini
Nina maumivu sana ya kiuno na mgongo na mda mwingine swezi fanya kazi nikiwa nmeinama mpaka nikiwa nimekaa.. mwili nao unachoka saanaa je na mim nitakuwa na ujauzito??
Habar Mimi nimejichoma na sindano kwenye goti mapata maumivu makali Sana na pia nimechoma sindano za chanjo 3 je natakiwa nikachome sindano za tetenasi?
Mm nilipima na kipimo kinaonesha kuwa nina mimba ila nashangaa Nina maumivu ya tumbo makali sana na nimetokwa damu kwa ck zisizo pungu 9 je hii Ina maana gana doctor?
Tumbo linamuuma Sana mke wangu hasa tukisex ndo Hali inazidi ni mjamzito wa mwezi mmoja alaf tukisex nahisi Kuna mabadiliko tofauti na mwanzo Kuna Kama kitu nakifikia kwa ndani
Habari mama afya pole na majukumu ya kazi..mimi siku nane baada ya kukutana na mwenza wangu nilianza kutokwa na damu natone haijai kwenye pad na nikifuta inakuwa na rangi ya pink nikajaribu kupima mimba ikatokea mstari moja umekoa na mwingine umefifia,baada ya siku tatu nikapima tena majibu yakaja negative sasa sielewi shida ni nini
Habari tatizo langu nikuwa mke wangu ananiambia kuwa ujauzito wake uko inje ya mfuko wa uzazi so hataki kufanya mapenzi , je nikweli huturuhusiwi kufanya mapenzi??
Nina ujauzito wa wiki 15 n siku kadhaa,nimekuwa na changamoto ya miscarriage ,mwenz wa 5 nlipata hiyo shida,nikabeba mimba tena mwez wa 9 .natoka nimebeba mimba nimekuwa nikitumia duphstone 2×2 kwa siku mpk.sasa n vidonge vy maumivu ya tumbo hyscine 2×3.kwa kila siku.kwa kuelekezwa n doct.je na maumivu y tumbo hayakomii n niko bedrest.swali langu nikutaka kujua hivi vidonge havitaleta madhara kwa mtoto?
Asante.
Samahn sifaham jinsi ya kuhesabu mzunguko mfano nimeanza piriod tareh 18 mwez 12harafu nikaanza Tena piriod tarehe 15mwez wa1 je hapo na hesabu vip ili
kujuwa siku ya kushika ujauzito
Doctor nna Mimba Ya Miez 7 lakn Mtoto ameshageuk ila hachez Sana Mama Zaman Shida Iko wap Maana Naogopa Zaman Nlizoea Mashuti Saiv Namskia Chini Ya Kitovu Tuu
Helow mtoto akiwa na dalili zote nzuri nikimaanisha amegeukaa kwa kipindi sahihi kama ulivyosema je unaweza kijufungua kwa upasuaji? Au utajifungua kwa njia ya kawaida?
Nina mwezi mmoja sija bleed na napata dalili za mimba natokwa na chunusi usoni na choka mara kwa mara napata maumivu ya kichwa but nimepima zaidi ya mara tatu majibu ni negative je nitakuwa na shida gan??
Samaan me nilikutana na mwezang siku zang za hatari lakini nimeenda kwenye siku zangu period imetoka tofauti na inavyo toka mwanzo ina maumivu makali ya kiuno na sipati hamu ya kula hovyo pia imetoka siku zote minazi endaga na nilichelewa kwenda shida inaweza kuwa nn
Nina zaid ya wiki mbili napata dalili zote za mimba ila wiki ya tatu kwenye tarehe zang za period nimeingia period lkn damu ni nyepesi na kichwa kinauma pamoja na maumivu ya tumbo chini ya kitovu na nilipima mimba wiki moja kabla ya hedhi kipimo kikaonyesha sina je hii inaweza kua ni nini?
Habari mm mimba yangu Bado changa ina moezi miwili ila tumbo linaniuma sana hamu ya kula chochote sina na kichefuchefu ila tumbo linaniuma Kuna mda linakuwa sawa na Kuna mda linauma
Samahani me ninamimba ya miezi minne lakini Mara nyingi tumbo unishika sana chini ya kitovu na mtoto anacheza chini ya kitovu yaan tumbo limevimba zaidi chini ya kitovu na kuna wakati nkikaa nkija kuinuka nyonga zinashika unaweza nipa ufahamu juu ya hilo please
Mimi nina week 30 naumwa mbavu ya kulia sik ya 3 sasa kuinua kitu kizito siwezi nikipumua nasikia maumivuu. Nikilal ni sid moja kuna kugeuka had nigeuzwe hata kuita mtu naogop maan nasikia maumivu siyo kidogo
Mi nlkuwa mjamzito kama wiki moja badae nkatoa damu kama siku nne nyingi Ila sikuwa na maumivu ya tumbo Ila sahv najhis kama mjamzito maumivu ya mgongo na kizunguzungu shda inaweza ikawa nn dk
Nlikuwa na mimba ya wik tatu sas nlikuwa naumwa sana nkatumia dawa ya kutoa ikatoka yalitoka mabonge siku Moja tu siku niliyo tumia hiyo dawa na uchafu mwusi umetoka Kam sik 6 hivi . Nlitoa tr kumi na Moja mwezi huu lkn tar 20 juz nkajarbu kupima ikaonekana bado ipo je itakuwa imetoka au bado na nifanyaje Nini naomba nisaidie ushauri wako doctor
Habari mama afya, mim nlijihis mjamzito baada ya week 3 ma nikapima kupitia upt nkakuta kweli ipo lakin nlikua napata maumiv sana chin ya kitovu na nkapata dalili zote za period na nlikua natoka uchafu wa brown….mara baada ya kumeza kile kidonge kimoja cha kutolea vikaanza kutoka vidam dam nlipomalizia vile vi4 dam ikatoka kwa muda wa siku 3 tu na sio mabonge ni dam ya kawaida kam hedhi na maumiv ya tumbo nliyapata sana kama ya hedhi je mimba imetoka??
Habari, naomba kuuliza niliweka kipandikizi (kijiti) Cha miaka 3 lakini nilikitoa baada ya miezi 4 tu kwasababu ya changamoto nilizokuwa napitia kama kuumwa mara kwa mara na matone ya damu Kila wakati. Tangu nimekitoa Nina week mbili sasa sijaingia period je naweza kuwa na shida mahala?
Ikiwa mimba in a wiki32 na kuanzia asubuh tumbo linauma sana kam uchungu na kuharisha je ni kuashiria nini kam tumbo linauma sana kisha haliponi linakata kidogo kisha maumiv yanarud tena
Sor niko nje ya mada kidogo ila nahitaji msaada kusema kweli nilimeza dawa za kutoa mimba misoprosto lakini niliona matone machache ya damu then inatulia nikifanya kazi naona matone ya damu afu yanakata yanatoka tena sehemu nyingine actual siyo damu nyingi ni matone machache mimba ilikuwa ya wiki 3 naomba ushauri naogopa kwenda hospital
Habari naomba kujua kuwa nimepitiliza siku zangu Leo siku ya 2 Ila nahisi maumivu ya tumbo LA period kwa mbali Siku ya tatu hii hali lakini dam hazitoki hii inaweza kuwa shida gani?
Habari Dr
Me nimekutana na mwenzangu katika siku zangu za hatari lakini sioni dalili zozote za mimba ila tarehe zangu za period zimepita na sijaona siku zangu je naweza kuwa mjamzito
Samahani naomba kuuliza mimi nilichoma sindano mbili za mwanzo ya tatu nilitaka kuchoma tarehe 27 mwezi wa tano nikasahau nikaenda kuchoma tarehe 20mwezi wa sita je ni sawa au natakiwa kuanza upya
Mim nahc kichefuchefu,kichwa kinauma na tumbo langu limeanza kukua,mwili umechoka,uchovu mood ni hasira sana lakn cha ajabu nimeenda period ck 7, ambayo c Kawaida na nimechelewa kupata period…inawezekana ikawa ni mimba?
Habari Dr.
Mimi nilishiriki tendo la ndoa na mwenza wangu siku ya 8 baada ya hedhi na mzunguko wangu ni siku 28 ilikua niingie period tarehe 21 mwezi wa Tisa, wiki mbili sasa zimepita sijaona lakini tumbo linajaa gesi na nasikia maumivu ya tumbo chini ya kitovu, nimepima kipimo Cha mkojo kionesha hamna, je naweza kua na ujauzito?
Nimeharibikiwa mimba Kama wiki 2 zilizo pita zilianza kutoka damu baadae zikakata zikawa zinatoka kidog kido mpaka siku 4 tumbo liliuma Sana na mgongo kesho yake siku ya 5 kakatoka kajitu Kama ini Jana urefu sawa na kidole kidogo Cha mwisho baada ya hapo tumbo halikuniuma Tena .ila maziwa nikikamua yanatoa maji hayaumi ila zile dalili za uchovu kichef chefu kizungu zungu Sina . Nimepima kwenye upt kinasoma Bado imo Ila mstari ule umefifia Sana . Je inaweza ikawa ipo bado?? Msaada please
Habari Mimi nimeshindwa kuingia kwenye siku zangu kwa mwezi wakwanza lakini nahisi tumbo langu limejaa gasi na pia nahisi joto Kali Sana naweza nikasema siyo mimba kwa sababu sijakutana kimwili na mwanaume kwa sababu mwezi uliopita niliingia kwaiyo shida itakuwa Nini?
Doctor mimi Nina mimba ya wiki 21 lkn mtoto hajaanza kucheza, nilipoenda spital nikafanyiwa ultrasound wakasema hamna shida, Sasa nauliza tatizo ni Nini?
Mke wangu ana mimba ya wiki 38 kuna muda tumbo linakaza/linavuta hadi kupelekea maumivu na kwenye kitovu pia vivyo hivyo je ni salama? Na mtoto anaweza kuwa ameshageuka? 🙏
Habari dr,mimi nilishiriki tendo la ndoa na mwenyangu,mwezi ulipita sikuona hedhi zangu.baada ya kuendelea kufanya tendo la ndoa damu ilitoka ya brown baada ya wiki mbili kwa siku tatu na sasa sijaona hedhi zangu tena,shida inewaza kuwa nini?
mpenzi wangu mwezi wa pili huu hedhi yake inabadilika kwa tofauti ya tarehe mwezi ulioisha aliingia tarehe 12 mwezi huu ameingia tarehe 1 shida itakuwa nini mtaalam
Response to "Damu imepungua kwenye Ujauzito wako"
Hallo
Habari
Nashukuru kwa masomo yako!
Nafurahia masomo yako
Ahsante, nimejifunza mambo mengi. Kusex kwa kipnd hicho jamii nyingi wanasema, mtoto atazaliwa mchafu.
Si kweli Tendo la Ndoa halina shida labda kama Mjamzito amezuiliwa kutokana na shida fulani za Ujauzito
Asante ssna
Valbendazole inaweza kutumika baada ya miezi mitatu ya ujauzito?
Kama albendazole inatakiwa itumike baada ya Miezi Mitatu ya Ujauzito na kuendelea.
Mimba yangu ina wiki 7 je yafaa kuanza kutumia folic acid?!!
Folic acid unatumia kabla ya kupata Mimba,kipindi chote Cha Ujauzito au hata baada ya kujifungua endapo kama unahitaji wa kutumia.
Maumivu ya kipande uso na macho yote mawili
Unapata Hiyo hali,Je unahitaji nikuandikie Dawa?
Kichwa upande naumwa Nina miezi8
Okay
Ndio nisaidie dawa Nina miez miwil ss Ni mjamzito na hil tatzo c la mara kwa mara but linanisumbua sana nikijalibu kutumia maji bas naishia kutapika tu msaada plz
Message whatsApp number 0629019936
Mm naumwa nazan ninaujauzito wa miez miwili sasa naomba kujua dawa yake na niikshije ili kichwa kisiume
Tuma message whatsApp namba +255629019936
Ndio
Okay
naam nimefatilia hua mim kichwa kuuma na sikio pia na mimba yng inamiezi mi7 inaenda mi 8 nina upungufu wa damu na urine effection tu ndo niko kwa dawa ss ichi kichwa huuma kwanin?
Nitumie Message WhatsApp number 0629019936
Mm sijapima bado ila naumwa kichwa san pia sitapika ila nahisi kichefuchefu pia nishapitiliza talehe yakiingia mwezini pia usik nakosa usingz kabisa
Pima Mimba
Habari ndugu
Ongezeko la uzito tumboni linatokana
Na nini doctor.
Kwa Mjamzito au Mtoto yoyote?
Nikitu kizuri mmefanya nimejifunza vizuri
Nashukuru sana Karibu Mkuu
Am.having heartburn and constipation, what is tht ?
Are you pregnant woman?
Am.having heartburn and constipation, what is that?
Are you pregnant woman?
Nimejifunza kitu kikubwa sana barikiwa, hata me pia nilikuwa miongoni mwa kusema huwenda mtoto ana umia pindi mama mjamzito anaposhiliki tendo
Barikiwa Sana Ndugu yangu Mtoto hawezi kuumia kabisa
Ata sisi wababa tumejifunza Mambo mengi Asante
Vizuri sana ndugu yangu
Shukuran san Mungu awabaliki
Amina
Ahsante sana hata mimi pia mke wangu alijua kuwa mtoto anaweza zaliwa na huo uchafu ila kupitia funzo lenu ametambua kitu nashukuru sana
Karibu na Hongera sana
Asant Sana kwa elimu mzuri
Amina
nimeelewa vzuli xana axanten
AMEN,Ubarikiwe
Asante sana kwa somo zur
Amen
Barikiwa Sana maana Kuna kitu nimejifunza apo
Amen ndugu yangu karibu sana
Well done.
Thank you
Niliwahi kusikia wanasema mjamzito akishirik na mwanaume ambae syo baba wa mtoto wakati wa kujifungua mtoto anakuwa anapanda kifuani et hiyo ni kweli
Hapana
Ahsante sana nimepata darasa zuri na nimeelewa. Barikiwa saana
Amen
Nimejifunzaa mamboo mengi na ya muhimuu, msichoke kutoa elimu hii asanteeeeeeeeni sana
Karibu Sana ndugu yangu ❤️
Eti husema kwamba usipofanya mapenz kwa mjamzito kwa miez 5 had 6 hupelekea kujifungua kwa kisu
Baadhi ya maandiko yanasema hivyo Japo ukweli wake bado hauja kaa sawa kwa sababu Kuna watu hawafanyi na wanajifungua vizuri
Good
mimi nipo dar es saalam na mke wangu yupo dodoma na nimjamzito sahvi miezi4 na mie nipo kikazi huku na mie cina mpango wa kwenda dodoma kwa sasa je asipo shiriki tendo la ndoa adhari zake ni zipi hapo badae atakapo jifungua
Kwa nini?
Ahsante kwa SoMo zuri. Barikiwa
Amen
mm nina mimva ya wiki mbili naweza kushiriki???
Unaweza kushiriki Tendo la Ndoa bila changamoto yoyote
Ubarkiwe kwa Elimu nzuri
Amina
Sitaili inayo takiwa itumike kipindi chauja uzito
Inategemeana kama Tumbo Limekuwa kubwa mnaweza kutumia style yoyote isipokuwa tuu missionary style ya Mwanamke kulala Chali au Kifo Cha Mende hauruhusiwi
Nimependa maelezo yako maana mara nyingi tunaambiwa mtoto anachafuliwa kumbe kusex ni msaada mkubwa kwa wajawazito.
Ndio 👏👏👏
Niliwahi kusikia wanasema mjamzito akishirik na mwanaume ambae syo baba wa mtoto wakati wa kujifungua mtoto anakuwa anapanda kifuani et hiyo ni kweli
Hapana ndugu yangu
Ukiwa una fanya mapenzi.. Alafu ukawa una hisi kuna kitu kina sogea… Hii ina Kuwa ni nini??
Sifahamu
Asante sana mtumishi. Ubarikiwe kwa elimu nzuri. Mungu akukumbuke na akuongezee miaka.
Amina
Pole na kazi doctor, mama mjamzito kutokwa na maji yenye damu na maumivu makali inakuwa nitatizo gani
Umri wa Mimba?
Dr samahani Nina mimba ya miezi 4 lakini naumwa Sana chini ya kitovu na upande wa kushoto juzi ulivuta Sana kiasi kwamba siwezi fanya chochote nikilala pande zote mbili tumbo linauma na nikikaa naumia Sana shida nini
Uende hospitali Ukafanyiwe Vipimo
Mimi ni mjamzito wa miezi mitatu lkn tumbo linauma kwa juu linauma linatulia hivyohivyo
Sehemu gani?
Mimi nackia maumivu ya juu ya tumbo yaani chini ya ziwa mkono wa kulia ni maumivu ya muda mrefu na sasa niko mwezi wa 8 wa ujauzito muda mwingine nashindwa hata kulala
Pole sana nitumie message whatsApp namba hii +255 629 019 936
Nin ina sababisha
Soma hapo
Mama mwenye mimba changa anapo pata maumivu makari ya tumbo husababishwa na nini na kutumia dawa gan ili akae sawa
Ziko sababu nyingi naomba uende hospitali ukafanyiwe vipimo
Dr samhn kama mapigo.ya Moyo yanaenda mbio alfu badae yanaacha na maumv chini ya kitovu ni dalili ya mimba?
Fuatilia video bonyeza link hii https://youtu.be/-RAuG-wUdu4
Kubanwa na mkojo au haja kubwa inaweza kuwa sababu ya mtt kukubana chin ya kitofu je nikawaid ila ukimaliz kukojoa unakaa saw
Na kuna muda anabana sana je nikawaid
Hali ya kawaida Mimba yako ina umri gani?
Mimi napata maumivu upande wa kushoto kwa chini,, na kuumwa kiuno mara kwa mara ila kiuno nahisi n operation ya mtoto wa kwanza
Okay
Tatizo langu mara ya Kwanza mimba ili haribika na mi ya miezi miwili baada ya wiki mbili damu ilikata na Siku tatu baadae niliingiliana na mwenzangu bila kinga lengo tupate. Mwingine lakini baada ya Siku kama tano tunagombana nikalia Sana muda kidogo tumbo linaniuma na damu ikaanza kutoka inakirangi kama cha uaridi kama mkojo nyepesi shida itakuwa ni nini ety
Ukafanyiwe Ultrasound ili kujua shida yoyote iliyopo
Niko na mimba ya miezi mieili nahisi maumivu kwa kiuno.ma chini ya tumbo
Yameanza lini Maumivu hayo ndugu yangu.
Jabari doctor..mimi niliingia period tareh 4 ya mwezi wa saba na mzunguko wangu ni wa siku 28 na Leo ni hii ni tareh 4 ya mwezi wa 8 sijaingia period na matiti yananiuma na tumbo la chini kuna muda linavuta alf linaacha ntakuwa na shida gani
Pima Mimba kwa Kipimo cha Mkojo wa ahsubuhi.
Mimi nina maumivu mingi tumboni.Nasikitikia minyoo lakini hadi sasa sijapokea hedhi wa hii mwezi.Sijui kama nina mimba.Nisaidie tafadhali
Dada siyo kila maumivu ya Tumbo ni Ujauzito, cha msingi uende hospitali
Niko ma mimba ya wik 18 nina maumivu chini ya kitovu shida nini
Soma somo hilo vizuri
Me mwenyewe nasumbuka na hiyo hali ila me wiki 19
Pole sana
Nina his maumivu kiunoni ninaujazito wa umuri miezi minne sababu Nini?
Fuatilia msomo la Maumivu ya Kiuno kwa Mjamzito hapa Mama afya
Samahani doctor mke wangu anasumbuliwa na maumivu chini ya kitovu mimba ni miezi 2
Doctor kwann nikiwa mjamzito huwa napata haja kubwa kwa shida sana? Hiyo hali huwa inasababishwa na nn?
Hiyo hali ni kwa sababu ya mabadiliko ya homoni lakini kama imezidi sana unaweza kutumia Dawa ya kupunguza hiyo hali, nitumie message whatsApp number hii +255629019936
Joyce
Samahani mimi nahisi maumivu chini ya kitovu ambayo hayapungui na nina mimba ya miezi 4 sasa nifanyeje naomba ushauri.
Uende hospitali kufanya vipimo
Doctor nina mimba week tano,tumbo linanisumbua sana chini ya kitovu nilienda hospital nikapewa duphaston hyoscine na folic acid ila sasa leo limeniuma sijalala ikafika saa 11 likatulia ila linachomachoma chini.inaweza ikawa shida nini
Pole sana wamekuandikia Dawa nzuri sana cha msingi kazana na hizo Dawa Maumivu yakizidi sana uende hospitali tena.
Samahani mimi sijaona siku zangu nnawiki ya pili afu maziwa yananiwasha sana
Subiri siku 7 usipopata hedhi pima Mimba
Tofauti na sp mjamzito anaweza weza kumeza marafini
Malafin ni Brand name tu ila ni SP pia kwa hiyo anaweza kumeza.
Mkewangu anasumbuliwa na maumivu ya tumbo siku ya nne Sasa je inaweza kuwa dalili ya mimba,alafu pia na kichwa humuuma kwenye masaa
Maumivu ya Tumbo pekee hayana Maana kuwa Mwanamke ni Mjamzito mpeleke hospitali akafanyiwe vipimo watakwambia shida yake.
Sijapa hedhi leo siku ya 19 chuchu zinauma na tumbo la chini linauma , kwenye kitovu napo panauma muda mwingine nyonga zinauma Sana je yaweza kuwa mimba
Pima Mimba utajua
Ferrorlic na folic acid ni sawa zinafaanya kazi Moja au zinajitegemea
Kazi ni Moja ila ferrolic ni bora zaidi ina madini ya chuma
Mm nakua najickia kunatokea uvimbe unatuna lakin ndan ya muda unapotea ilatangu nikutane na mwanaume Leo ni cku ya kum namoja je? Hii inaweza kuwa mimba?
hapana
Asante kwa somo, ni zuri na nirahisi kueleweka mungu awabariki
Amina
Je mtoto akigeuka kabla ya hiyo miez mi3 ya mwisho ni tatizo?
Hapana
Asante nimeelewa mana mbavu inaniuma upande wa kusho
Dokta habari… mm nina maswali mawili..
1: kama ulissx tar 6 mwez wa tatu mpk leo 27/3 unawez kusema mimba in muda gani??
2: mm nilishawah kuona dalili za ectopic preg kweny mimba yangu ya kwanza… bahat mbay ilitoka.. je kwa muda niliokuuliza hapo naweza kwenda hospital na dokta akaigundua kam nina normal or ectopic preg
Asante kwa somo zuri
Doctor naomba ushauri mimba zangu kwa nini Mara nyingi zinaharibika?
Naomba uni ya kipanda uso
andikie dawa
Helo
Hiyo hali imenitokea na sijui nifanye je
Nimeenda hispital nimechek utrasound inaoneksna mimba ni ndogo sana
Sasa na hii hali ya kupata hedhi ndo kabisa imenivuruga
Mchumba wangu kapima kakutwa na mimba ya miezi3.5 na hedhi katika miezi hiyo kapata nataka kujua je , kuna uwezekano wakuwa na mimba na ukapata hedhi ? Maana kaambiwa ipo nje ya kizazi na je kunamadhara gani ikiwa hivyo na tiba yake nini?
Soma hapo juu vizuri
Habari naomba uniandikie dawa ya kipanda uso nina ujauzito wa wiki 20 siku ya pili kichwa kinaniuma sana
Nitumie message whatsapp namba 0629019936 unalipia 2000
Samahan inasemekana style ya dogie inawezakupelekea mwanamke kushindwa kusukuma siku ya Mwisho ivi ni kweli?
Hapana siyo kweli!
Mjamzito anatakiwa kutumia nini ili asichelewe kujifungua?
Kuchelewa kujifungua kunatokana na sababu nyingi japo tunashauri mtu aanze kutumia chai na mazoezi Mimba inakuwa imekomaa vizuri.
Kiukwel nashukuru San kwamaan ufafanuzi wako umetusaidia Sana ktk familia yetu. MUNGU AKUBARIKI!
Amina Sana
Elimu muhimu sana hii,
Ni kweli kabisa
Kama katumia anasaidiwaje
Kama umetumia basi unakuwa hamna namna ni vema kutumia folic acid zaidi kwa sababu hizo Dawa huingilia na kuharibika ufanyaji kazi au uchukuliwaji wa folic acid katika Mwili na kufanyika kwa vinasaba.
ASANTE SANA KWA ELIMU JUU YA MAANDALIZI YA MAMA KUJIFUNGUA.
ILA NAOMBA KUJUA, CHUPA IKISHAPASUKA KABLA YA UCHUNGU, NI HATUA GANI ZIFUATWE?
Wahi hospital haraka kwa huduma zaidi
HABARI ZA MAJUKUMU?
MI NAOMMBA KUULIZA. JE, NI VYAKULA GANI VINAYOMSAIDIA MAMA KUPATA MAZIWA KWA WINGI?
Nilikua nauliz mimi ni mjamzito wa miez mi5 n nusu nishapat chanjo mbili za pepopunda jana nilijichoma na kiway chenye ncha je nilazima nikapige sindano y tetnus
Hapana ndugu yangu
Mih nilikuw nauliz “chanjo ya kwanz ukishachom ina mashart yyt lbd maan mih nimechoma ila bega linanium vby cn. Nifanyj
Pole sana ndugu yangu inategemeana na mtu aliyekuchoma sindano nunua Dawa za maumivu tumia ndugu yangu.
Nimechoma chanjo hii mimba ikiwa na miez mitatu kwa sasa imamiezi mitano natakiwa nikachome ya pili?
Naomba usome somo hilo vizuri
Je hizo dawa za kuwezesha mapacha zinapatikana pharmacy yeyote?
Sorry eti mama mjamzito anapata maumivu sana kuanzia kweny tumbo mpka kweny haja kubwa tumbo apo linamuuma sana mimba ina wiki tatu
Inategemeana hiyo ni hali ya kawaida japo ikizidi mimba inatishia kutoka utatakiwa kwenda hospitali
Dr mimi nina mimba ya mwezi mi wili lakini chini ya kitovu pananiuma sanaaa na kiuno kinaniuma kuanzia nilibeba iyi mimba mpk sas n maumivu mwanzo mwisho
Pole sana umeanza clinic?
Asante sana aisee nimejifunza kitu kikubwa mnoo
Karibu
Je pindi mtoto anapogeuka unaweza kuhis maumivu ya kiuno au maeneo ya nyonga?
Hapana
Dr mke wangu ana mimba ya miezi Tisa lakini ameenda kufanya kuchukua utrasound kaambiwa mimba Ina wiki 23 Ila miezi ya mwanzoni alipatwa na tatizo la kutokwa na damu wakati alipopata mimba
Mke wako anakumbuka hedhi yake ya mwisho ilianza lini kabla ya mimba kutunga?
Habari doctor mke wangu ni mimba yake ya kwanza kuanzaia wiki ya 17 mtoto alianza kucheza lakini kufika 20 ni kama ameacha je hii ni hatari kwa mama na mtoto wake
Uende hospitali kufanya vipimo
nice lesson
Thank you
Nice lesson
Amina
Niko week ya 36 nahisi uchungu na kuharisha
Okay endelea kusubiri uchungu
Ninavyojua mimba ni wiki 32 hizo 42 hadi 43 inatokeaje??
Fuatilia masomo yetu
Mke wangu anaenda wiki ya 42 na bado hajapata uchungu na mtoto anaonekana bado hajashuka chini nifanyaje
Aende hospitali watamwanzishia Uchungu
Mmetoa dalasa safi sana mungu awalipe
Barikiwa
Asante
Docta nmefany mapenz wiki sasa imepita lakn ckua ktk cku hatarsh lakn nashangaa nkibinya matiti maziwa yanatoka
Usibinye ndugu yangu
Matiti nikibonyeza yanatoa maji na vijimaziwa. Inaweza kuwa ni dalili ya mimba Dr.?
Siyo mara zote cha msingi pima mimba kama una wasiwasi?
Dactari habari ya Leo?
Karibu
Habari Dr. nina week 39 kwa sasa na nina fungal infection ambayo imeshaanza kuwa treated na kuna maji meupe yanatoka ukeni na kuchuruzika mtoto anacheza vizuri. Sasa maumivu yanayonipata chini ya tumbo (kama period) kuzunguka kiuno hadi Mgongo ni uchungu au ni hii infection?
Dalili za mwanzoni za Uchungu
Je Kama umefikisha wiki 34 na unasikia maumivu ya tumbo na kiuono mtoto akicheza shida Ni nini?
Hali ya kawaida kwa umri huo wa Mimba
Asante Sana kwa masomo haya
Karibu sana
Asante kwa Darasa nzuri
Barikiwa
Enx
ok
ASANTE
Nimepata jibu la kitu kilichokuwa kinanitatiza. Asante sana
Ubarikiwe sana
Samahani sijapim mimba Ila nikama ninayo maam matiti yamekua meusi Sasa tatizo kichwa kinauma Kila siku asubui na tumbo la chini je nifanyaj au nimeze daw gan
Pima
Kaka samahani mkewangu anapjtia changamoto kamili za mimba mapacha Sasa kafanya kipimo cha ultra sound cha kawaida Sana na sijui do kidogo maana hata Jinsia wameshindwa kuitaja tumezikuta tu napata changamoto na yupo MWISHONI Sana kaka je nn hiki maana kama kilo zimeongezeka kilo Sana kwa kasi nisaidie kaka kila dalili zote anazo tumboni kubwa a maivu makubwa ya mgongo na hata miguuyake ilivimba Sana tu Sasa tusaidie dk hapa
Kufunga kwa nyonga na kuuma chini ya kitovu. Huashilia mtoto tayari kageuka au bado?. Lakini hali hiyo husababisha na nini?
Naomba soma hilo somo uelewe nimeandika vizuri sana
Nini kifanyike ili mtoto aweze kumsadifu/kufanana na mama au baba?
Hakuna cha kufanya hiyo inatokea kiasilia tu na unataka afanane ili iwaje?
Je nini nifanye ili nipate watoto mapacha na mbinu zipi nitumie
Ukafanyiwe IVF ni Tsh milioni 15
Na kama mimba Iko na mwezi mmoja inaeza toka
Ndio inawezekana kuharibika!
Kama miez miwil je
Okay
Nina miaka hamsini na cjaona miezi 2,nimekua na kiungulia,tumbo kujaa upepo,kuchoka cna na kulala cna na maumivu ya kiuno kama kwamba nitapata damu ya mwezi lalini hamna.Je naeza kua mja mzito kweli hasa na umri wangu
Si rahisi kuwa na Mimba kwani huko nyuma ulikuwa unaingia mwezini kila mwezi?
Nili bebe mimba ikatoka mwenz wa pili mwaka huu mbaka sas sijapata mimba ten na mimb yangu ime alibikika ikiwa ya mwezi mmoj na nusu sas sijui nitakuwa natatizo gan ??
Uliza swali mara moja tu
Mie napata maumivu chini ya tumbo na kiunoni nachoka pia nakuwa nahisi usingizi sana tumbo linajaa gas kichwa kinaniuma pia hlf sijapata hedhi ya mwezi wa 12 …..sijui unanishauli vipi hapo, hlf kitu kingine nakuwa nahisi kama dalili za hedhi lakini sipati ,
naweza nikawa mjamzito kweli?
Pima mimba!
Nmetumia p2 je naweza nkawa mjamzto au hedhi tu imechelewa maana imepitiliza siku 4
Sifahamu ndugu subiri uone itakuwaje
Mimi nimetafuta mtoto kwa miaka 8 mwezi huu sijaingia p nikihesabu ni kama zimepitiliza siku 7 ,nikipima na kipimo cha mimba majibu ni Neg je niko mjamzito au nimepitiliza tu siku mimi jamani.silali kila saa niko chooni naona kama nachizika.
Hauna Mimba labda ni mabadiliko tu ya homoni ndio maana hujapata hedhi.
Sioni siku zangu mpaka Sasa mara ya mwisho nilibeba mimba mwezi was kumi mwaka Jana ikaharibika ila mwaka huu mwezi wa Kwanza niliona siku zangu tarehe kumi na nane je natakiwa nione lini Tena
Sijakuelewa
no mimi naigia p lila mwezi lakin sipat mimba nifanyaje doctor hapo juma niritumia sindano doctor nina miaka 23 naweza kupata mimba
Sijakuelewa
mimi chuchu zinaniuma sanaa,kuvuta na kuwasha sanaaa najikuna mnooo sasa sjui ni dalili ya nin hyo
Soma hapo juu mkuu
Mm jmn nais maumiv kwenye chuchu pia kiungulia nanikuwa nais kutapika lakin sitapiki
Pole sana ndugu yangu
Nimepata siku zangu lakini ni matone matone ndio naona wakati wa kujisaidia haja ndogo nikiweka pads Iko nyeupe bado
Imeanza lini!
Nilisex siku ya kumi kwenye mzunguko wangu wa siku 28 je ni hatari ama
Fuattilia video zetu pale youtube kwenye channel ya Dr.Mwanyika
Habari Dr Nina week 6 za ujauzito lakini Sina dalili je Kuna ttz
Kawaida
Ninatatizo la tumbo kujaaa na nilikutana na mwanaume siku saba zilizopita je kunauwezakano wa kuwa nilipata mimba.?
sifahamu
Habari dokta nimepima mimba msitari mmoja ukawa unaonekana kwa mbaaaliiii hadi baadae nikaingia period japo dam hazitoki nying sana sasa sielewi mimba imo au Haimo??
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo
Jmn mm nilifanya mapenzi naumwa na tumbo pia natapika Ila Kuna muda nakuwa na dalili za mimba nikipima Sina mimba Hilo Ni tatizo gani
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo
Naombeni ushauri Nina miezi mitatu Sasa sioni cku zangu na npo kwenye ndoa cjawah kubeba mimba na ndani ya hyo miez mitatu nqpqtq dalili zote za kubleed lakn cbleed naombeni ushauri wenu jaman shida inawezq ikawa ni Nini?
Pole sana ume pima Mimba kuona kama Mjamzito au Lah? kwa Mawasiliano zaidi tuma message whatsApp namba +255629019936
Nimepitisha mwezi mzima sijaona period na nikipima kile kifaa ninachora mistari miwili ila inaandika negative na nina pata dalili za period lakini sion je shida itakuwa nn
Subiri siku 7 usipopata hedhi pima mimba tena
Je dalili za kujuwa kuwa unamimba inachukuwa cku ngapi Ili kujuwa kuwa nipo na mimba
Fuatilia masomo yetu hapa
Mina umri was miaka 20 lkn n mwez mzm huu cjapata kuingia ktk piriod mwanz nilkuwa nahc kichef chef lkn ckuwah kutapika hasta CK 1 j ni mimba au tatizo gn
Pima Mimba kwa Kipimo cha Mkojo
Chuchu zangu zinauma na najiisi uchovu sijui nina mimba
Soma somo uelewe vizuri
Nimepitiliza week mbili ila tumbo linauma chini ya kitovu sana uwa nackia maumivu sana pia kama kubanwa haja kubwa ila nikienda chooni sipati haja je nifanye nn hio Hali iishe
Mimba ina umri gani?
Mi Nina mimba ya wiki tatu lakini naumwa sana na kiuno na tumbo chini ya kitovu je ni kawaida au Nina shida
Hapana uende hospitali wakufanyie uchunguzi
jmn mm kil nkipima mimba naonkan cn mimb ilaa xiingii period na mwez nanaon kbx na dalil za ujauzito ila nkipim cn mimb mnanixhaulije
Uende hospitali wakufanyie vipimo
Ahsante sana umeniondolea wasiwasi
Amina ndugu yangu
Mie natak uliza swali nitajuaje kama nina mimba kama nimetoka kukutan na mumewangu ni kablaaa ya kuingia period au laah ni baada ya zile tareh za period kupita????kipi sahh ni kabla ya kuingia periodi ndo nitajua au laah mpak zile tareh za period zifike afu zipitilizee kipi sahih maan sielewag mie naomben msaada..!🥹🥹🥹
Dada Naomba ufanye kipimo cha Mimba cha Mkojo
Nilishiriki tendo nikiwa kwenye siku zangu Sasa naona kama kiuno kinaniuma Sana na tumbo chin ya kitovu j inaweza kuwa mimba
Hapana
Mimi nina wiki moja toka nimekutenga na mwanaume ila nahisi kuchoka kichwa kinaniuma kiasi kwamba kila muda najihis labda ni mjamzito…lakin je dalili za mimba zinaweza kwel kutokea ndan ya muda mfupi kama huu., Af Jambo jingine uke wangu upo mkavu sana. Cjui kwann
Tafadhari naomba usome posti vizuri ili uelewe
Nmefanya mapenzi siku ya 9 naweza kupata mimba?
Fuatilia masomo yetu kuhusu maswali yako
Nimepitiliza mwezi mzima bila kuona siku zangu na nilipima mimba kile kipimo kikasoma negative sasa je inaweza kuwa ni mimba au?
Soma vizuri hapo juu
abali namke wangu ana mimba ila siku zake zina badilika badilika kila mwezi tatizo linaweza kuw nn
Ana Mimba ila anaona siku zake au?
Mim naumwa tumbo katika ya kitovu kinavuta itakua nin ni mimba au hali ya kawaida
Soma vizuri hapo juu
Cjapata period mwezii huu na nimepima mimba zaidi ya mara mbili cna je tatizo linaweza kuwa nn
Mbadiliko ya Homoni
Ninaumwa kichwa mdomo mchachu kiuno ni kifanya kazi za kuinama kinauma alfajir naisi ovyo ovyo, kifuan kuna uzito mfran kmvile maralia inavokuwa na pumzi nahema hema… Je yaweza kuwa ni dalili ya ujauzito
Uende ukafanyiwe vipimo ndugu
Je kuna uwezekano mwanamke siju ya kumi na moja kupata ujauzito mwenye mzunguko wa siku 28
Ndio
Je unaweza pata mimba bila kuona mabadiliko ya mwil or dalili zozote?
Ndio
Nimepitikiza mwezi mmoja na zaidi pia naumwa na kiuno, tumbo linajaa gesi, nachoka, kiungulia, fangas zinaniwasha inaweza ikawa mimba?
Pima mimba
Naomba kuuliza nimekutana na mume wangu cku ya 12 baada ya period na mbegu za kiume UK’s Hadi cku 4 baada ya hapo nikipata dalili za kuingilia , mara moja kizunguzungu , na tumbo kuuma sana
Baada ya mda nikatokwa na period nyepesi siku 3 na zilibaki cku 4 nifikie mzunguko wangu wa hedhi , je nitakuwa mjamzito ?
Ahsante
Naomba usome hapo juu
Mimi Neyma baraka
Mimi najiskia uchofu kila nikiamka asubuhi ,arafu nakula sanaa kingine turbo linauma .kiuno na mgongo
Pole sana
Huwa naingia period kila tarehe 9 nilifanya tendo tarehe 4 he naweza nikapata mimba maan mwezi huu nimeingia period lakin Sijielew elew
Sina uhakika na hilo mkuu
Mimi sijapata hedhi yangu mwezi huu japo nilipata dalili za dedhi, na napata kicheguchefu na mda mwingine natapika, nachoka yani sijiskii kufanya kitu na mwili unauma, matiti yanajaa na yanauma sana.
Pima Mimba
Mimi nimekutana na mwanaume siku ya8,baada ya kutoka blid lakini nsumwa mno na miguu kama inawaka moto na mgingo unauma je ntakua na dalili ya ujauzito
Naomba usome somo hilo vyema tafadhari
Mimi sijaon tu siku zang but Sina dalili hata Moja
Endelea kusubiri uona tu
Nina wiki mbili tangu mimba iharibike,Bado sijaiona period nimefanya mapenz bila Kinga naweza kupata ujauzito?
Ndio inawezekana
Samahani naomba msaada wako kunadalili nazion katik mwili wangu maziw yamekuwa makubwa chuchu ngumu tumbo linauma markwamar maumivu ya kawaid tu ila ninachoshindwa kuelew nashangaa nimeona period kabla ya siku swal nikwamb mtu unaweza kuwa na mimba ya wik tatu na ukaona siku zako???
Message whatsapp namba +255629019936
Nilikua na mimba na ikatoka ikiwa na miez miwili na nikakutana na mwanaume alafu nikaaa mda kidog nikaona damu imetoka kidogo na kuona kama siko sawa mara kichwa na nimepima mara mbili sina mimba mana nilihic ni labda mimba imekaaa tena
Nitumie message whatsapp namba +25562019936
Kuna mdada hajaona period lakini kila akipima ujuzito kipimo kinasoma negative na Kuna baadhi ya dalili za mimba anazo na amepima zaidi ya Mara tatu
Mwambie aje asome hapa ndugu yangu
Mm cjaingia ktk cku zngu na naon tumb linaum mapgo ya moyo kwenda mbio
Okay
Hapana sababu mwanamke hawezi kupata ujauzito akifikisha miaka 45 na zaidi
Kwa Nini?
Smaahn doct Na wiki mbili na dalili ya kujaa mate mdomoni na kuumwa na mgongo kwenye kiuno na chunusi usoni Ila nilipima ikiwa na wiki mbili hakuna mimba Dr sjui tatzo Nini na kukojoa kila wakati pia ,
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo!
Jamn mwenzen sielewi nimeanza period mwez wa 8 tareh 17 na mim huwa mzunguko angu ni siku 25 mpk leoo sijaona alafu kichwa kinauma tu na tumbo linauma sana kam la period ila sioni
Soma hapo juu uelewe
Je hivyo vinyama vinavyoota kweny haja kubwa vinapotea pindi anapojifungua?
Inategemeana mtu na mtu wakati mwingine vinaweza visipotee mpaka ufanyiwe Upasuaji
Habar mam afya mim nilishiriki na Mr wangu lakn tangu nliposhirik nae xijapata hedhi yangu na nahix dalili za prd lakn damu haitok xitapiki wala kuchoka Ila hamu ya kula xin xhid inaez kuw nn
Pima mimba kutumia kipimo cha mkojo wa ahsubuhi
Pole
pole sana
Habari nilipima mimba ikatokea vimistari viwili vimekolea na sasa nashangaa napata period lkn damu ni nyepesi sana na sio nyingi je mimba Angu itakuwa na tatizo lolote
Ukafanyiwe vipimo kujua Mimba ipo au Lah!
Habar ni hivi tumbo linauma mara kwa mara but pia magoti yanauma kichwa nikisimama nahc kizungu zungu kiuno kinauma jee inawezekana kua ni ujauzto au laa naomba kujua ilo
Pima Mimba Kwa Kipimo cha Mkojo
Nahisi mdomo kuwa mchungu sana, je ntakuwa na mimba??
Sifahamu fanya kipimo cha Mimba
Kama unatumia njia za uzazi wa mpango huwenda ikawa sababu
Sababu ya kufanyaje?
Napata maumivu ya tumbo na kichwa kuuma
Wewe ni Mama Mjamzito au?
Make Wang siku zake Huwa zinatofautiana sana na kwa sasa imefikia akifika period zinatoka damu kidogo sana na uchafu wa rangi isiyo ya kawaida na damu ni kidogo tu. Inaweza kuwa tatzo ganj
Nadhani ulinitafuta whatsapp nikakupa maelekezo
Nina mimba ya wiki mbili ila naumwa Sana tumba atausku nikilala na tumbo linakuwa na guess
Uende hospitali ufanye vipimo
Tarehe ya mwisho ya kuingia period ilikuwa 17 mwezi wa kumi na moja mwaka huu, nikafanya mapenzi siku ya kumi na tano ya mzunguko wa wa siku 28 na mpka Sasa cjapata hedhi na nna unauzito je mimba yangu itakuwa na muda Gani?
Nitumie message whatsapp namba hii +255629019936
Nina maumivu ya kiuno na cku zangu zimepitiliza wiki je inaweza ukawa Ni ujauzito?
Soma hapo juu ujifunze zaidi
Habar toka nlpo kutana na mume Wang nina SKU sita mpaka sasa Ila najhs mchovu Sanaa na pia najhs kichefchef Ila sitapiki
Soma somo hapo juu
Vp hal mama afya mimi nikilala sometime nais km tumbon kit kimepta hfla yaan km kimenskum iv je iyo sio dalili
Soma vizrui hapo juu
MUNGU MWEMA KATIKA UJENZI WA TAIFA
Okay
Nina miaka 22 tumbo kinaniuma upande mmoja wa kulia je naweza kua mjamzito
Soma hapo juu uelewe
mim ninapata maumivu ya tumbo , mdomo unakuwa mchungu nakosa ham ya kula , sijapata hedhi mwezi huu, ma te kujaa mdomoni
Soma hapo juu vema
Be blessed
Amen ubarikiwe pia
me naomba kuuliza yaan hap mtoto anacheza kwa kuvimba upande had upande na naharisha choo cheus sana hii inawez kuwa nn na week 37
Hali ya kawaida tu
Ahsante sana kwa ushaunri Mimi nipo wiki ya 34 Ila napata maumivu kwenye nyonga hata mpaka ukeni tatizo ni mini
Hali ya kawaida kwa umri huo wa Mimba!
Samahani dr mimi nna mimba ya miez mitatu ila naumwa chini ya tumbo nkikala upande kugeuga n shida kiungio cha mapaja na sehem za siti zinauma nkitaka kujigeuza au kushuka kitandani na kuna siku iliashawai toka kidogo je tatizo n nn dr
Mimba yako inatishia kuharibika ndugu yangu, uende hospitali wakakuchunguze
Dam ilitoka kdg
Okay Naomba ufanye kama nilivyokuelekeza
Mke wangu anaumwa kichw maumivu ya kubana na kuachia kw tumbo hyo inaweza kua dalili ya nn
Mimba ina umri gani ndugu yangu???
Habari,sijapata hedhi miezi miwili sasa na sioni dalili zozote za mimba na nikilibinya tumbo nahisi Kuna kitu kigumu Kama uvimbe kinapanda na kushuka chini
Hakuna kitu tumboni ni hisia zako tu
Nina wiki tatu tangu nilipokutana na mume wangu Ila nahic maziwa yanauma sana na tumbo linauma kama tumbo la hedhi je nitakuwa mjamzito
Naomba usome hapo juu vizuri
Nilipata period yangu mwisho ilikuwa 15 of DC 24th and 2sec of January ndio siku nilikuwa na Mzee wangu na kugikia tarehe 9nikaanza kuhisi maumivu makali ya tumbo na kiuno na moyo kupiga kwa Kasi ,mate yako uchungu na period sijaona je huenda ikawa ni mimba?
Pima mimba!
Mpenz Wang anapata kichefuchefu na tumbo linajaa gesi hii utakuwa ni dalili ya mimba au maana siku zinapita kama tano hajapata hedhi
Pima Mimba
Mimi swali langu nikwamba mwanamke kitovuni kwake mwanzoni kilikuwa ndani then now kimetoka nje na ajaonesha dalili nyingine je nimjamzito
Hapana
Dokta ,mimba unaweza kuonekana baada ya wiki mbili?
Ndio
Mimi ni mjamzito mwenye pacha nataka kujua clinic yako ipo wapi niweze kuja
Niko iringa Mkuu
iringa sehemu gani
Wilaya ya Kilolo
Mimi ni mjamzito niko week ya 24 ila tumbo kubwa kuliko umri wa mimba nyonga zinakaza na kuachiaa, na ule mstari mweusi tumboni umekoleaa na umefka juu ya matiti,, jee inawezekana nina mapacha??
Soma vizuri hapo juu
Mtu ambae sio mjamzito shingoni panaweza kuwa panadunda sana kuliko kawaida km ndio,ni kwanini??
Hakuna uhusiano na ujauzito
P mm nkilalia tumbo naumia vip inawezekana kua ni mimba au na mapigo ya moyo kwenda mbio
Sidhani kama ni Mimba maana sioni Dalili ya Mimba hapo
Habari doct Nina mimba ya miezi 2 ukiwa umeanza kilink wakikubonyeza wana iyona au mpaka ifike miezi mingapi
Wiki 20 au Miezi 5 kwenda juu
Hellow, Nina ujauzito wa wik 6 napata maumivu chini ya kitovu hasa wakati wa kulala. Tatzo Ni nini??
Maudhi ya kawaida kwa Mjamzito hayo
Me mwisho wa période yng n mwez wa 2tarh15 je bado wiki ngp kujifungua
Download application ya Mama Afya Bora pale playstore itakusaidia kujua tarehe ya matarajio na umri wa Mimba yako
nilifanya tendo la ndoa siku ya saba nikaanza kusikia kichefu chefu na kutapika na tumbo kuuma chini ya kitovu km nataka kuingia hedhi je ni dalili ya mimba?
Sidhani kama ni Mimba
Nikila kuna mda naisi kichefuchefu lkn sijawai tapika na naisi maumivu ya mgongo yaani uti wa mgongo kama unachoma na nakojoa mkojo wenye arufu kali matiti yananiuuma sana na ninalala sana lkn tabia ya kulala uvyo ninayo toka zaman na sioni sikuzangu na ninatokwa na uchavu mweipe kwa wingi na nimeongezeka uzito ni mwezi wa pili sasa lkn auna harufu inaweza kuwa ujauzito?
Pima Mimba
JE naweza shikaujauzito kaka maziwa ingaliinatoka kwamatiti
Unanyonyesha?
Mimi natamani kupata mimba ya mapacha wa kike tuu..msaada.
Haiwezekani
Hizo dawa zinatumikaje
Nitafute whatsapp nikupe maelekezo ila unalipia
Ataka mapacha
Sijakuelewa
Mimba ya mwezi 1
Sawa
mara yangu ya mwisho kuingia period ilikuwa mwez wa nne tarehe 11 mwezi huu wa tano sijaingia period bado nilipima nikaona nina mimba je itakuwa inamda gani napata maumivu ya tumbo kwa mda na kuachia na mapigo ya moyo yanaenda mbio naweza kwenda hospital kusaidiwa maaan mapigo ya moyo hii hali inatokea mara kwa mara na kuchoka
Download pregnancy calculator itakusaidia kujua umri wa mimba yako
Smhn Dr mm nilimaliza period na nilipo Malika tu nikakutana n mwenzangu ila m period yangu haina ratiba Yan xna mzunguko maalumu,ila sas ni.week 3 na niko na dalili nyingi z mimba lkn kila nikijarbu kupima nakuta negative je inaweza kua n tatz gan??
Message WhatsApp namba +255 629 019 936
Mate yamejaa mdomoni tumbo linauma miguu yauma nakichefu chefu pia cjw nidalili gabi
Soma hapo juu
Mim mzunguko wang 28 na nilingia tareh 27/9 nikakutan ma mr. 9 mwz wa 10 sik ya 13 je, nilipat ujauzito au laah!
Sifahamu
Nimepima mara 4 sipat postive lakin kiuno kinaniuma na choo kigumu mara lain tatizo linawez kuwa ni nn
Fuatilia masomo yetu
Nili bebe mimba ikatoka mwenz wa pili mwaka huu mbaka sas sijapata mimba ten na mimb yangu ime alibikika ikiwa ya mwezi mmoj na nusu sas sijui nitakuwa natatizo gan ??
Nitafute WhatsApp number 0629019936
Habar dr napata maumivu sana chini ya kitovu ila ultrasound inaonesha kila kitu kipo sawa je nn tatizo
Nitafute WhatsAPP
Dk habari napata maumivu ya kiuno mimba wiki 9
Uende hospitali kufanyiwa vipimo
Sku zangu huwa haziji kwa mpangilionaweza nkavusha hata mwez nkaingia mwezi mwingine na tarehe hazijawahi kuja kwa moangilio mzuri na nakumbuka hedhi yang ya kwanza nilienda siku 17 ila baada ya kufanya tendo najikuta muoga Sanaa maana nahis kuwa nina mamba japo mwenza wang aliniambia kuwa hakufanya mistake ndani ya uke wang ila shuka lililoa bado nahis kuogopa sana
Nitafute WhatsApp
Nina miezi miwili sijaona hedhi zangu but napata uchafu mwingi na wenye harufu ukeni je n dalili ya nini??
Harufu ikoje ndugu yangu?
M naumwa kichwa upande mmoja au mda mwingine chote na Nina mimba miezi mi3
Nitumie message whatsApp namba hii
Doctor mimi nina miez mi wili ila naelekea wa 3 nasumbuliwa na UTI haziishi sijuh nisugu nimetumia mpka sindano nikiwa na mimba mwezi mmoja lakini bado
Nitafute whatsapp namba hii +255629019936
Ninamiaka 26 mm nilipitiliza mwezi moja na siku 10lakin damu ilikuwa inanitoka matone matone alafuinakata siku ya kumina 15 ikaja ikatoka damu nyingi.sana nikaenda siku 10. Talehe24 NIKAWA nikosawa nikakutana kimwili . .sasa nashangaa ninadalili kizungu zungu na kutapia
Je baada ya kutoa mimba kunauwezekano wakupata mimba nyingine kama muhusika akutumia kinga?
ndio
Wale ambao hedhi zao haziko katika mpangilio wanaweza kushika mimba?
ndio
Nina swali naomba kuuliza nimepima mara 3 mara ya kwanza kipimo kinaonyesha ninayo Cha pili Sina Cha tatu ninayo na hedhi sijaona apo shida ni nini na Ninahisi kitu kikicheza tumboni
NAOMBA UTUME MESSAGE WHATSAPP NAMBA 0629019936
Ndioo wanaweza kushika mimba especially Mimi pia sikua na mpangilio wa siku zangu za hedhi tarehe zilikua zanabadikika Kila mwezi but now ni mjamzito
Okay hongera sana
Unaweza ukapima Kwa kipimo Cha UPT kikakwambiw kua huna mimba na ukawa nayo??
Hapana labda kama umepima mapema sana ni vema kurudia kupima baada ya wiki 1 tena
Doctor nina wiki20 lakini mtoto sisikii kucheza ?😔
Muda bado ingawa kama una wasiwasi uende hospitali ukafanyiwe vipimo
Hivi tumbo kuuma na kuharisha,, ni kawaida kwa mama mjamzito? Kwangu inatokea karibu kila siku asubuhi
Mimba ina umri gani?
Jee kama mtoto kaanza kucheza nda ya siku mbili harafu mama anapata maumivu makali Sana ya tumbo hii imekaaje
Hali ya kawaida
Mbn me Nina mimba mwez sasa nasikia mtoto anacheza
Okay
Nina miaka 44 nimemaliza siku zangu tar 23/11 Sasa nashangaa tar6)12 zimejirudia na maumivu ya tumbo na kiuno
Uende hospitali wakufanyie vipimo inawezekana kuna mabadiliko ya homoni unaelekea ukomo wa hedhi
Habari nina tatizo la kuchelewa kupata hedhi. Ni mwezi mmoja sasa tangu niingie period….lkn napata maumivu makali chini ya kitovu, kichefuchefu na kuhara
Inawezekana ni dalili za Mwanzoni za hedhi.
Mie nilienda period mwezi wa 3 trh 7 mwakahuu lakin mpka mwezi wa nne ukapita mwezi huu wa tano trh mbili nimeenda kukojoa vimetoka vidamu na tumbo la chini linauma ila hili lakuuma tumbo nikila siku linauma lkin Leo ndo vidamu vimetoka shida itakuwa nn
Tunaomba uliza maswali mara moja tu, uende hospitali ukafanyiwe vipimo.
Je kichwa kikiwa kinaniuma na tumbo chini ya kitovu pia ubavuni mwa tumbo shida ninin?msaada
Uende hospitali ukafanywe vipimo
Doctor mam mjamzito ku umwa na tumb chini ya kitovu kwa San ana mimb ya miez 2 inasababishwa na nin na tiba yake ana shauriwa atumie nini
Naomba usome hapo juu kwa uzuri ndugu yangu halafu uende hospitali
“Kama Mimba yako haijafikisha wiki 36 na Mtoto hajageuka basi usihofu Mtoto atageuka tuu”, je akiwa na zaidi ya wiki 37 na bado hajageuka,atageuka? Nini cha kufanya? Na madhara yake ni yapi endapo hata geuka?
Baada ya wiki 36 Mtoto hawezi geuka tena hivyo unaweza kujifungua akiwa ametanguliza Makalio, Miguu au Ukafanyiwa upasuaji
Je ukiwa. Na mimba ya wiki 3 ikitoka kipimo huonyesha kwamba huna mimba baada ya muda gani?
Tafadhari soma somo hilo vizuri
Habari, ninawiki mbili tangu mimba itoke, dalili ya matiti kuuma imeisha lkn kipimo bado kinasoma possitive, kwann inakuw hvyo?
Naomba usome somo hilo vizuri
Kam mimba ya week 2 ikatoka na ikapita siku kumi bad maziwa yamejaa afanye nn
Dalili zitapotea baada ya wiki 2 hadi wiki 4
Mimba imetoka nimepima utralsound kipimo kinaonyesha nina homorgenic csty ila mimba hakuna ,,,nikipima na kipimo cha mkojo inaonyesha bado ipo
Sawa hali ya kawaida umesoma hii posti kwa uzuri
Mimba imeharibika ya miez 2 na uchafu ukatoka kwa siku 5 na baada ya kutimia siku 7 nikapima kipimo cha mkojo ikaonekana bado IPO je bifanyeje?
Soma vizuri hapo juu
Mimba imeharibika, baada ya wiki tatu kipimo kinaonesha mimba bado ipo, pia bado natapika, maziwa yamejaa na yanauma kichefu chefu bado kipo, homa za kila muda na mwili kukosa nguvu. Je shida n nn?
Tafadhari soma vizuri soma hapo juu
Namimi ndio kama hivyo
Okay
Mwezi wa 9 nipoteza mimba ya wiki 4 damu ilikata wiki moja dalili za mimba zikapotea lakin mwezi huu wa kumi naona dalili za mimba changa je naweza kuwa mjamzito tena
Fanya kipimo kama una wasiwasi
Kipimo cha mimba huanza kuonyesha huna mimba baada ya mda gani mimba ikiharibika? Au ikitoka?
Fuatilia masomo yetu hapa mama afya
Kutokwa maji ukeni , mimba ya kwanza week 38
Maji au Ute
Asante sana kwa Somo nzuri,Leo nmejifunza kitu hapa, lakini pia nmepitia hii,nikapata elimu nyingine pia,asanten wote kwa kutuelimisha.
Amina
Asante kwa somo zuri daktar
OK
Mm matiti inauma kichwa Na chin ya mgongo nakutoka Na vitu vya wait
Ok
Mimi ninadalili zote za mimba na nikipima sina mimba na hii hali inanipata mara nyingi sijui ninatatizo gani sishiki mimba ya pili
Subiri siku 7 pima mimba
Nilifanya mapenzi lakini zilikuwa si siku za hatari yani siku salama lakini Cha kushangaza mpaka sasa hivi sijaona period yangu je naweza nikawa na mimba ?
Sijafahamu naomba upime mimba kwa Mkojo wa ahsubuhi.
Ahsante kwa elimu .hakika Mungu awabariki
Amina
asante sana kwa somo zuri
nahitaji kuuliza ,je hivyo vifaa hupatikana wapi?
Iringa
Asante sana kwa elimu
Okay
Je kuna madhara yoyote mama kumpaka mtoto wake mafuta ya ACTIVE MAMA? Na kutumia products zake??
Hiyo inategemeana na mtoto mmoja na mwingine kuna wengine haya shida kuna wengi yanawapa madhara.
Ulijifungua salama maana hii hali inanisibu hata mm
ok
Hi.
I have the same case… until now am not sure if the baby is still alive..at first, (before getting pregnancy) I got overbleeding I don’t know if this situation of getting bleeding is due to overbleeding I had before.
Go to hospital for more investigation
Ahsanteee kwa elimu
Okays
Dr tumbo linauma chini ya kitovu,ute umezidi kuwa mwingi ukeni,na maumivu ya kichwa napata lakio sio mara kwa mara joto linapanda
Je itakuwa ni nn dr??
Inawezekana una homa uende hospitali ukafanyiwe vipimo!
Hi doc??Nina swali Nina ujauzito wa 38wks na tatizo Ni naumwa na tumbo ya chini ya kitovu hasaa nkiwa nmelala nkijigeuza naona shida Sana pia kutembea naona shida tatizo Ni Nini?
Umesoma hilo somo hapo juu vizuri mkuu?
Mimi napata maumivu ya tumbo la hedhi lakini ,damu haitoki he inaweza KUWA ni ujauzito
Hapana
Habari mamaafya! Pole kwausumbuf
Mi nilikuwa naskia dalili zote za ujauzito mpk hamu yakula ilikata, maziwa yalijaa nakutuma lakini kuamkia Leo usku nimeingia period maana yake nini?
Inawezekana zilikuwa dalili za hedhi ila naomba uende hospitali wakupime Mimba pia
Mimi apa muda wote nakua nmechemka hasa wakati wa usiku ad nahis kuungua af ni siku ya nne sasa sjaona hedhi af upande wa kulia wa tumbo nahisi kama kuna kitu kinamove apoapo na kiuno kuuma nisaidie hio ni tatizo gan
Uende hospitali wakufanyie vipimo
Nimeelewa.Ahsante kwa somo
Amina ndugu yangu
Dawa zilizowekwa hapo juu zinaweza kutumia na mjamzito pasipo kuleta madhara yoyote?
Tunashauri Dawa uende hospitali Daktari atakuandikia na kukupa maelekezo
Na ikiwa umetumia dawa zaid ya mara 2 na zaid tatizo haliisha inakuaje hapo au ndo anapaswa kurudia rudia hadi atakavojifungua
Nitumie message whatsApp namba +255 629 019 936
Io kipindi nakipitia sai maadamu nimepata maelezo nitakimbia hospitali maana imenikoroga sana akili jambo hili na mimi ni mjamzito wa mwezi moja
Pole sana
Na damu hio hutoka kwa kipindi wa mda gani
Inategemeana mtu na mtu
Make wangu mda mwingi tumbo linamuuma alipoi tatizo ni ni?
Mpeleke hospitali akafanyiwe Uchunguzi
Dr ata mie hali imenipata hii mtoto kaanza kucheza mimba ya wiki 9 sjasahau tareh yang ya mwisho wa hedhi sjasahau wiki tisa alikuw anacheza upande wa kulia ilivo vika woki 12 anacheza kushoto kunasiku nilimskia kulia. Na kushoto anacheza amekaa wiki mbili ajacheza nimeanza kumskia leo wiki ya 15 anacheza ten,,,,nilifanya oltsound mimb ikiwa na wiki 13 nikaambiwa ni mmoja tu mim mimb zang zilizopita watot wanacheza miez5 hii wiki 9 ilinishangaza na kujibadil na ubavu kulia kwend kushoto
Okay sawa
Me kabla ya mimba nilikuwa na kilo 70 nikapima kilo mimb ya wki 5 nikakuta na kilo 76 nikapima kilo mimba ya wiki 11 nikakuta na kilo 86 je izi kilo ni sahihi auzinapand san nijib pls
Hakuna shida ila uzito wako unaongezeka kwa kasi sana, jitahidi kupima presha pia mara kwa mara
Wiki ya 34 kutumia mishipa kwenye kine na kwa upande wa kushoto yaaa I maumivu makalu hii ni nini Hasa nakosa raha
Uende hospitali ukafanyiwe uchunguzi ndugu yangu.
Mkw wangu ana ujauzito wiki ya 39 hii ila toka juzi tumbo linamuuma sana ila ni kwa juu sio chini, hii husababishwa na nini
Message whatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu
Doc. Mimi nimekaa mda mrefu miaka 15 ndo nimebeba mimba ya pili. Je mtoto wangu atacheza kwa mda wa miezi minne au atachelewa kama mtoto wa kwanza???
Itategemeana ndugu una uwezekana mkubwa wa kuchelewa kumsikia
nilikutana na Mr. Alitak tufany ila nikaamzuia ila aligusixha ty juu ya uke Wang Je naweza pata mimba
Inategemeana kama alimwagia una uwezekana mdogo wa kupata Mimba.
halaf pia napta maumivu ya tumbo,kiuno,kichwa n chuchu zinauma na pia tumbo langu Liko na gesi xn xx cjui itakuw nn naomb unixaidie
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo
Habari mm tumbo Lang la chini Lina fura alaf linajaa ges tumbo na kujamba ninja siku ya kumi na mbili sijpt choo na uchovu Sana asbh,nahuwa kunamuda napwata na hasira
Ukafanyiwe Vipimo hospitali
Habari Mimi mke wangu mimba imefungu miezi tisa bado taree tu lakini ana lalamika tumbo kuhuma na anakojoa mara kwa mara na kuharisha
Hali ya kawaida kwa umri huo wa Mimba, Maumivu yakizidi mpeleke hospitali kwa uchunguzi zaidi
Habari Mimi mke wangu mtoto alicheza Kwa nguvu sana siku nzima lakini siku iliyofata amekua akisikia maumivu makali misiri ya uchungu na mtoto anacheza pole pole sana
Poleni sana naomba mpeleke hospitali
Jambo mke wangu alalamika tumbo kuuma na iko na miezi sita kuelekea saba sai
Umesoma vizuri hapo juu mkuu?
Nimetoa mimba nina wiki mbili tumbo lauma na damu haitoki na nimetoa kwa njia ya kusafishwa asahiv n wiki ya 2 na siku 3 na kipimo bado kinasoma
Subiri Wiki 2 pima tena Mimba sawa eeh!
Habari,,Je Ujauzito uliotoka Tarehe 29 mwezi August,,,Leo tarehe 21 Sept bado unasoma kwenye kipimo…Ina maana bado ujauzito upo au Kuna tatizo?
Naomba usome posti hapo juu uelewe vyema
Sh ngap
Kitu gani Mkuu?
Habari naomba kuuliza je mama mjamzito wa miezi 8 ni salama kusafiri wa kama kilometers 600 kwa gari
Si salama mkuu ila kama unatumia usabiri wa private sawa
Khabar Mimi napat maumivu chini ya kitovu lakni niyakuvuta na kuachia tu inaweza ikawa dalili ya mimba
Dr natokwa na majimaji mwenye matiti ila Yana rangi Shida nn Dr?
Huwa unakamua kwenye Matiti
Mi imepita miezi mitano sijapata breed na nikipima mimba hakuna na ninasikia mtoto kucheza na pia maji na maziwa nikiminya yanaanza kutoka sielewii nifanyeje na tumbo linakua
Hamna Mimba
Ongera & ongereni, hivi vifaaa vikibaki unarudishiwa au inakuwaje hapo, Dr ????
Sifahamu
Ni kwa muda gani maumivu ya sindano ya chanjo yanadumu,maana kwangu ni siku ya tatu yanaendelea,ni hali ya kawaida au kuna shida?
Ndani ya wiki 2 yatakuwa yameisha
Inafaa kufanya mapenzi kwa mwanamke mwenye mimba chini ya miez mitatu
Fuatilia video zetu youtube
Ukinywa azam energy na dawa tatu utapata madhara gani?
Soma vizuri utaelewa
Je Mumbai ya wiki 6 inaweza toka ukinywa energy?
Je kuna madhara gani mtu akifululiza kutoa mimba ,katoa mimba then baada y mwezi tena anatoa nyingine kwa njia ya vidonge?
Boss hatuna ushauri haswa katika suala la Utoaji Mimba?
Ukinywa energy baada ya kufanya mapenzi unaweza usipate ujauzto?
Sijui
Kama mimba mwezi mmoja inaweza toka
sijui
Je mjamzito kutokana na damu nyingi katika siku zilezile za hedhi na kwa zaid y cku saba na kwa mfululizo wa miez 3. Nabado kipimo cha utlasound kinaonyesha mtoto bado yumo na anamapigo ya moyo je hii inamadhara kwa mtoto atakae zaliwa baadae?
Ndio, Mimba inaweza kuharibika!
Dr Mimi mimba yangu ni kwanza lakini Kuna mda naisi maumivu yanahama hama Mara kulia kushota maumivu hayo nayapata asubui nikiwa nimelala. nikiamka kutembea nahisi maumivu kwenye kisingino, naomba msaada mimba yangu ni ya miezi mi tatu sasa
Tunaomba ufuatilie Video zetu pale youtube
Dr mke wangu ana uja uzito wa wiki 10, alishafanya ultra sound akiwa week 8 kulingana na maelezo ya Gynaecology wake…mtoto alikuwa vzr na kila kitu normal. Shida ni kwamba mke wangu anatapika mno kuna dawa wamempatia ameze but anashindwa coz anazitapika folic acid, Carofit sasa sijui tufanyeje???
Pole sana Mkuu naomba nitumie meseji kwenye whatsapp namba +255629019936
Nasumbuliwa tumbo kubana na kuachia tatizo linaweza kuwa nini pia napata joto kali usiku
Mimba ina umri gani?
Mm tumbo linauma kama nataka kwenye siku zangu lakini amna ninasiku ya tano lakini tumbo bado linauma sasa sijajua tatizo ni nin
Endelea kusubiri hedhi, usipopata hedhi pima mimba baada ya siku 7
Habari dokta, swali langu ni kuwa je kuumwa na mgongo upande wa kushoto na kiuno upande wa kushoto na siku za hedhi zimepitiliza ,lakini baadae nikaona damu nyepesi je dalili ya mimba au kitu gani?
Nadhani ni dalili za hedhi tu ndugu yangu japokuwa pima Mimba uone kama ni Mimba au lah.
shida inakuwa ni nn km napata tupo la hedhi alafu sion siku zangu na uchafu uken unatoka kidogo na mzito
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo
Ninamimba ya mwezi na siku lakini tumbo linanguluma Sanaa je nn tatizo wadau?
Inawezekana Una gesi nyingi tumboni ni hali ya kawaida kwa umri wa Mimba yako japokuwa unaweza kwenda hospitali ukaandikiwa Dawa.
Poleni sana kwa gote hayo lakini cha muhimu nendeni hospitali kwani majibu sahihi ni vipimo tu
Okay
Je inawezekana ultrasound ikatoa majibu tofauti kuhusu umri wa mtoto kinyume na matarajio ya mama ? Kama kweli ni kwanini?
Kweli ni kawaida inategemea na anayefanya na umri wa mimba bonyeza link hii sikiliza video https://youtu.be/ay-PE4r4Q74
Naomba unisaidie Mimi ni mjamzito wa miezi3 lakini nawashwa sana ukeni tatizo laweza kuwa Nini?
Pole sana naomba nitafute whatsApp namba +255629019936
Hajaona siku zake siku12 ,anakojoa mala kwa mala na kipimo Cha UPT kimeonyesha mimba ila Cha ajabu damu imetoka alafu ikakata,je ni nini?
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo.
Nimeweka kipandikizi na cjaingia kwenye sku zangu je hio ni dalili ya kpata mimba
Kama unatumia Uzazi wa Mpango ni kawaida!
Nmepitiliza mwez mmoja cjaona siku zangu mgongo unauma na maziwa yanauma lakini tumbo haliumi je naweza kuwa mjamzito
Pima Mimba
Damu nyepesi kutoka kwa mjamzito ni kawaida kwasabb mwili unapitia mabadiliko na piaa mtoto anajijenga au kujipachika vzr kwenye ukuta wa placenta,,,so ni kawaida
Dada usimshauri mwenzako namna hiyo sawa eeh si salama kabisa
Asantee saana Dr.mimi ni mjamzito wa mimba ya kwanza ni miezi mitatu Sasa nasikia ngozi kama Iko na viminyoo yaani inawasha sehemu za tumbo naweza Anza kutumia mafuta ya olive oil au cocoa butter kwa sasa
Ndio,
Habari Dr naomb kuuliza mm yaan ziwa moja linaniuma xana na linatoa majimaji sijui shida ni nn
Wewe Mjamzito au?
Naomba kufahamu je kama itatokea mjamzito amechomwa sindano ya 3 ya pepopunda kbla ya hyo miezi 6 anapaswa kufanya nn na je kuna madhara?
Haina shida ya mkuu ndugu yangu
He msichana ambaye hajawah kubeba mimba anaweza kuwa na mchiliz?
Ndio kawaida ndugu yangu
Mimba ya wiki 4 tumbo linauma sana na kutokwa light bleeding siku ya 6 je nn hcho
Mimba inatishia kuharibika
Mimi nina dalili zote Za mimba ila damu imetoka leo asubui ila sio nying na inaendelea kutoka je nikinunua upt nipime itasoma au niende ultrasound tu
Pima Mimba haina haja ya ultrasound
Je ukiwahi kuchoma sindano ya pili Kabla ya muda wa Ile ya kwanza kuisha kuna madhara?
Kwa nini uwahi?
Asante Sana ubarikiwe maana mbavu inaniuma upande WA kulia mpk nahisi kama nmevunjika nmeenda hospital wananiambia ni kawaida nikawa cwaelew yaani
Okay barikiwa
Thank God bless u
Amina
Mbona mie nina miezi 3 bado kipimo kinasoma
Ukafanyiwe vipimo hospitali
Je wiki moja baada ya kusafishwa na ultrasound ikaonyesha bado ipo inakuaje hii
Sijakuelewa
Habari nilitoa mimba ya week 3 ila bado na dalili za mimba kama kichwa kuuma, matiti kuuma na mate kujaa mdomoni ..nimetumia dawa za antibiotick flagly na doxy lakini naumwa bado msaada tafadhali shukrani
Zitaisha tu baada ya wiki 2 au 3 tokea Mimba kuharibika
Mimi nilichoma sindano mwezi wa pili na wakat nachoma kumbe tayr nilikuwa mjamzito bila kujuwa ilipofk mwezi wanne mimba iliharibika tokea hp sikuwahi kuona siku zangu mpka leo na nimesex na mme wangu tarehe 29mwezi wa saba na sasa nahisi dalili za mimba lakin nikipima sioni kitu
Pim kwa Kipimo cha Mkojo wa ahsubuhi
Habari mm mimba ilitoka nikakaa wiki nikapima mkojo baada ya kumaliza dawa za kusafiha kipimo kinaonesha bado ninamimba nikakaa tena siku 3nikaenda hospitali trosaund inasema sina mimba sikuyapili tena nikapima mkojo unaonyesha mimba hii inakuwaje?
Soma somo hilo tafadhari
Asante sana make kichwa huwa kinanisumbua sana
Pole sana ndugu yangu
Maumivu ya kichwa kwa mama mjamzito husababishwa na nini na nini kifanyike kuondoa tatizo hilo
Naomba usome vizuri hapo juu
Hello, wife wangu alikuwa au anatumia siku 4 kubleed lakini alipokuwa siku za hatari nilikutana nae , Cha ajabu muda wake wa hedhi ulipofika mwezi huu kableed siku 1 tu ikakata Sasa je huenda Ana mimba Changa au ikoje kitabibu? Nisaidie majibu ikiwezekana nitumie kwa 0764189966 au email _milembeulimwengu@gmail.com
Naomba afanye kipimo cha Mimba cha mkojo
Habari nimepima jumamos kipimo kina mistari miwili leo nimeamka asubhi nikafanya tendo la ndoa mda wa 3 naona hedhi .. ni nini tatizo?
Sijakuelewa ndugu yangu
Hello nilifanya tendo na make wangu na Kesho take akasnza kubleed shida inaweza kuwa wap
Hedhi yake alimaliza au alitakiwa kuanza lini?
Je mimba ikiharibika period tarehe zitarudi kama mwanzo au mpangilio utabadilika
Mpangilio utabadilika tu ndugu yangu
Mimi NILIPATA bleed tareh 22
Nikamaliza tareh 26
Then tareh 27 ,28,1 mwez wa 5
Nilisex
Nikawa napata dam ndogo tu za cku 2 zinaisha
Nikaendelea kujisikia vibaya tareh 8 mwez wa 5 nimepima u.p.t inaonesha positive ndo najiuliza inawezekana ikawa ni mimba????? Na nimepima kwa vipimo v3 vyote vinaonesha ivo
Ndio Ni Mimba
Nina umri wa miaka 25 na sioni siku zangu ila sina dalili yoyote ya mimba shida ni nn au inaweza kuwa ni sababu ya kubadilisha mazingira.
Tokea lini?
Mimba inaweza kuonyesha reaction kwa sik 2
Hapana
Ndugu yang anashida samahani dokta Mimba iliharibika mwezi wa 4 tarehe 15 hadi leo mimba Bado inasoma ipo je Ni mimba nyingine au mimba ya mwanzo inasoma?
Atutafute whatapp
Habari nina dada yangu anaujauzito wa wiki ya nne sasa ila ameanza kupata maumivu ya mgongo kiuno na tumbo leo ni siku ya tatu na akienda haja ndogo mkojo unakua msafi ila mwisho kabisa anaona matone ya damu je nini afanye mana ameenda duka la dawa wanasema viashiria vya mimba kutoka na wamempa phenobabiton na buscopai
Aende hospitali kwa ajili ya vipimo!
Mimi nazitumia kila baada ya period lkn bado kufanikiwa ,🤰🤰
Acha nazo kafan.yiwe vipimo harafu kuna jinsi ya kutumia, ukitumia vibaya hakuna mafanikio
Naitaji na mm kupatamapacha nifanyeje ilikupata naje hazina mazara
Nitafute whatsApp namba +255629019936
Mkewangu kwenye dalili 30 yeye ana dalili28 lakin alienda kupima akakutwa Hana mimba na Kuna siku amejikuta anatoka dam Yani kama anaingia kwenye cku shida apo ni nini
Tunaomba akafanyiwe vipimo atajua shida yake
Mimba yangu sasa ina miezi miwili lkn nimekuwa na tatizo la kutokwana uchafu mwingi ukeni je tatizo lawwza kiwa nini
Huo uchafu una shida gani?
Mara nyingi hutoka kama umejikusanya hvii hrf unakuwa na harufu
Uende hospitali kufanyiwa vipimo
Me mama anguh ananambiah nikishiriki tendoh nw maana nnamiez sabah tutamchafuah mtoto he ni la kwel hilo
Si kweli ndugu yangu
Mimi mkewangu anaham na mm Kila siku anataka mpaka kunamuda namkatalia
Kwa nini!?
namshukulu sana nimejifunza mengi mno.endelea kutuelimisha zaidi
Amina ndugu yangu
Mimi mkewangu anauvimbe kwenye kizazi alfu ni mjamzito je kunashida kufanya tendo la ndoa?
Inategemeana uvimbe uko wapi?
Mimba yangu ilitoka nliona vinyamanyama tuh na damu kidogo ikawa inaendelea iliyopauka mimba ilikuwa wiki mbili ila sasa hiv nashika chini ya kitovu kwa mbali nahisi ugumu shida ni nini?? Haijatoka ama
Tunaomba ukafanyiwe Vipimo ili kujua imetoka au Lah
Ninaumwa na kitovu mimba ya miezi saba.
Soma hilo somo ndugu
mm nilikuwa natumia sindano za uzazi lakn ilipo isha muda sikuchoma na nikapata siku zangu 26 mwez wa 5 mpka ss sijaona tena lakin nimekuwa pono na mvivu sana chuchu zimeanza kuuma nina wiki ss nimepima lakin kipimo kimekuja negative hvi nitakuwa na dalili ya nn
Subiri Siku 7 usipopata hedhi pima tena Mimba kwa kutumia Mkojo wa ahsubuhi
Habari Mimi nilikua natumia dawa za kupanga uzazi ndani ya mwaka mmja na nikaziacha tokea mwezi wa nne nikapata period mwezi wa tano na sasa imefika miezi 3 sijapata periods naumwa chini ya kitovu na nimepima mimba zaidi ya Mara tano sina mimba na dalili zote za mimba nikonazo na nimepima kila ugongwa sina sasa itakua ni nn nisaidieni na mawazo maana mwili wangu naona unaongezeka kila Mara.
Fanya vipimo vya Homoni zako inawezekana kuna hitilafu katika homoni.
Habari mama mjamzito wa wiki 8 anaumwa sana tena mara kwa mara akienda kupima hana ugonjwa ila anasikia maumivu tumboni na kichwa kuuma pia kuhisi homa hii inasababishwa na nini na ikiwa huu ni ujauzito wake wa kwanza
Na nini anapaswa kufanya ili awe sawaa
Nitumie message whatsapp namba +255 629 019 936
Mim nilikutan namr wangu baada ya hapo Huw nahisi homa hasa asubuhi na usku na tumbo linaniuma kama ntaka kuingia kweny period na vitone vya damu alfu vinakta unatoka Ute mwingi mweupe hii inawez kuw mimb?
Ukafanyiwe vipimo na ujitahidi kusoma masomo yetu mkuu
Shida yangu huwa nahisi tumboni kuna vitu vinacheza shida nin?. Na jambo lingine nimeshangaa kuingia kwenye siku zangu mala mbili na haijawai nitokea
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo ndugu yangu
Dr. Mke wng toka atoe ujauzito mwez wa 2 mpaka leo hajawahi kukaa sawa kwenye siku, mwezi wa 4 alienda sku 13 ila maumivu yalizidi mpaka nikampelela hosptl wakampa dawa na sindano, akakaa sawa ila mwez wa tano na wa sita kaingia sku 6 mpaka 7. Mwez huu wa sita ikiwa naendelea kulala nae tena sku za ovulation ili apate mtoto kwa mda huu ameingia leo asubuhi kwa kuona mabonge bonge basi then ikakata alivoenda kukojoa. Je tatizo ni nini doc.?
Kama Mimba iliharibika mnatakiwa msubiri angalau miezi 6 pasipo kupata Mimba ili Mkeo Mji wa Uzazi uweze kupumzika, sasa mpeleke hospitali kafanyiwe vipimo zaidi ili kujua shida yake haswa ni ipi?!
Siyo mara zote ndugu
Inategemea siyo mara zote
Inategemea
Samahan doctor mm nilipata hedhi tareh 30 mwez5 ila ilikuwa siku yangu imebadirika nilishangaa sana kuona siku zimebadirika nikajua tapa tena siki zang tareh 7 mwez 7 ila chakushangaza sijapata siku zangu mpk hii tareh 14 ila napata maumiv yakiuno kama naingia kwenye siku zang nq chuchu zinauma
Sanq kichwa na mgongo inaweza ikawa nn docter
Hali ya kawaida inawezekana kumekuwa na Madadiliko ya Homoni ndugu yangu.
Habari mm Mimba yang ina miezi nane na wik mbil lkn ninaumwa na tumbo la Chini ya kitovu sasa sijui kama ni dalili za uchungu au
Soma hilo somo vizuri
Mkewangu anamimba ya miezi 3 ila nyama zatumbo zinamuuma
Pole sana ndugu yangu
My wife wangu tumbo linamuuma Mara kwa Mara mimbo yake Ina miezi miwili na nusu but amekuwa akilalamika Sana tumbo kuumaaa
poleni sana mpleke hospitali
Sijawahi fanya mapenzi ila Nina Mpenz I amabaye huwa tunafanya lakini hajawahi kabisa kuingiza ndani yaani hufanya juujuu tu.je hapo naweza kupata mimba?
Sifahamu
Mimi ninamimba ya mwez mmoja na nusu nikienda kukojoa nasikia kichomi kwenye kitovu
Pole sana umeanza kliniki ndugu yangu?
Mke wangu ana mimba ya miezi mitatu ila kuna siku tulifanya mapenzi ghafla damu zikaanza kutoka shida ni nini..?
Mimba inatishia kuharibika
Nimeipenda iyo maana sikujua Kama unaweza fanya tendo hatakama mimba inamiezi 6 Kama hakuna shida.
Okay
Kafanye vipimo
ok
je ukinywa mara moja kwa siku inaleta shida
Soma somo vizuri ndugu
Nimeigia piriod tareh 16 mwezi wa 7 je siku zangu za hatari n zipi?
Sifahamu lazima ujue mzunguuko wako kwanza?
Niliona Ute wa uzazi siku ya Saba ya hedhi nikafanya mapenzi siku hiohio ya Saba saiv mwili hauna nguvu nahisi kulala Kila muda naona Ute mwing unatoka ukeni mdomo mchungy.
Pima Mimba kwa kipimo cha mkojo
Nauliza swali, Mimi nilichoma kinga zile tatu za Kwanza na ya nne Ni baada ya mwaka mmoja sikuchoma ikapita miaka miwili ndio nikaenda hospital wakaendeleza ile kinga ya nne. je hapo ntakua sijaharibu kinga?
Hapana wako sahihi ndugu yangu
Naomba kuuliza kuhusu mtoto iyo chanjo ya tetenasi inakaa kwa mda Gani? maana nmemsikia nurse akisema baada ya miaka kumi na tano arafu mimi ufahamu wangu ni baada ya miaka mitano na mtoto amepita iyo mitano….je, kama amepata jeraha awez kuchoma Tena au anachoma
Ndio anaweza kuchoma
Nimetoa mimba na mwezi lakini bado dalili za mimba ninazo ila nikipima kwenye kipimo cha mkojo mimba aimo kinakuja kimstar kimoja naweza kuwa na shida
Hapana shaka hizo dalili zitapotea zenyewe kadiri muda unavyoenda
habari, mimi nilimeza p2 lakini nikapata mimba na baada ya week nne nilibreed yakitoka na manyama nyama kama maini na damu kwa week nzima, ikawa kama imetoka yenyewe na dalili za mimba sina ila kipimo kinaonyesha imo bado na maumivu kidogo upande wa kushoto kwa chini, ni week sasa hii hali itaisha pia yenyewe?
Nitumie Message whatsapp namba +255 629 019 936
Mm nilienda kupiga ultrasound wakasema mimba imeharibika lakin mm sijatoka damu shida itakuwa nini ,na kipimo cha mkojo kinaonyesha mimba bado ipo
Message whatsapp namba hii +255629019936
Nina mimba ya week 8 lakini naumwa kila siku tumbo la chini kama la period huu ni mwezi sasa linauma kila siku na matiti bado yanauma kama dalili za period kuna muda naumwa mgongo pia nin shida
Umeanza kliniki
Hapana bado sijaanza
Hapana bado sijaanza kliniki
Dr Nina swali ety kipimo Cha utrasaund uesabu umri wa ujauzito kwa kutumia umri wa miezi 9 au 10
Sijakuelewa mkuu
SWALI…..kati ya kipimo cha utrasound na tarehe unayopangiwa hospitali ya kujifungua kwa nini mara nyingi zinakuwa tofauti na haziwi sawa….sasa ni ipi tutakayotizamia kwa mama mjamzito kujifungua
Bonyeza link hii sikiliza https://linktw.in/zvwmMN
Mimi militia Mumbai trehe 10/8 mwaka huu Ila damu ilitoka tu mabonge mabonge Mara moja hayajatoka Tena Nina mtoto mdogo na pia nmekutana na mine wangu Sasa nahisi dalili za mimba ila mume wangu alimwaga nje Mara zote
Ndio
Elimu nzuri nimejifunza kiukweli mungu awabariki
Amina ndugu yangu
Habari,mke wangu Leo hii ameanza kuhisi dalili za kushika na kuachia wiki ya 36, pia kutokwa na Ute mweupe, je ni dalili gani? Na Nini tufanye,
Dalili za kawaida kwa Umri huo wa Mimba yako.
Nina week 40 adi Sasa na mtoto ameshuka ila sihisi uchungu ni kwanini
Hali ya kawaida ndugu yangu muda bado subiri
Jamn me nahc kichefu chefu nikiona chakula au nikimalza kula 2 nahc kichef chef Ila ctapiki
Pole sana Mimba yako ina umri gani?
Mimi ni mjamzito nina mimba ya wiki 14 na siku 3 nilikua natumia style ya kulala chali kwenye tendo la ndoa je naweza nikawa nimemdhuru mtoto?
Hapana Mimba inapozidi kuwa kubwa ni vema kutumia style nyingine
Mimi nina mimba ya miezi minne, na nimeanza kuhisi mtoto akicheza na ni mimba ya kwanza kwangu. Hapo juu umesema kwa mimba ya kwanza si rahisi kuhisi mtoto akicheza katika umri huo, maelezo zaidi
Ndio, japokuwa si kwa akina mama wote wako ambao wanahisi hata kabla ya Miezi 4
Mimi naisi maumivu yakishika na kuachia tumbo la china na maumivu ya kihuni pamoja na matiti kuwa makubwa je naweza kuwa mja mzito
Pima mimba uone kama hamna inawezekana hedhi
Sikuwa najua kama mjamzito nikapata maralia nikanywa mseto ujauzito ukiwa na wiki 2 naweza pata madhara? Ingawa mwili uko sawa na nna mwezi wa 2 sasa
Haina shida ndugu yangu
Je ni kweli mtu akiwa na mimba na akableed mimba inapungua? Kama amebleed miezi 2 basi atajifungua baada ya miezi 11 badala ya miezi 9?
Hapana ndugu yangu
Habar docta swal langu n kwamba cjapata hedh mwez huu na zmepitilza xk 5 kuna mda nahisi dalil za hedh lkn cn dalil yyt ya mimb n matit kujaa t sijajua nbtatzo gan
Subiri siku 7 usipopata hedhi Pima mimba tena
Habari zawadi naomba kujua mimba ya maoacha inaweza kuonekana kuanzia mwezi gani kwa njia ya Ultrasound?
Mimba ya Miezi 2 au Wiki 8 kwenda juu
Mimi nimjamzito wa miezi 7 na dalili zote za pacha kubanwa kwa pumzi nyonga namgongo kuuma uzitokuongezeka tumbo kubwa ila Sona miguu kukozanguvu wakati mwingine ila haivimbi kizngzng na nesi alinipima wakati nna miezi sita akasema mapigo yawatoto anaisi watoto niwawili je enawezekana ikaivyo
Message whatsApp namba +255 629 019 936
Mtoto kucheza upande mmoja katika mimba ya umri wa miezi minne kasoro sio tatizo !?
Ndio, Hakuna shida ndugu yangu
Samahani nimepima nikakuta nina mimba ya wiki mbili ila baadae nimeingia period kabla ya siku zangu. Je hiyo inaweza ikawa tatizo?
Hiyo Mimba inatishia kuharibika ni vema uweze kwenda hospitali ndugu yangu ukafanyiwe vipimo na kuandikiwa Dawa pia.
Ukichoma sindano ya kwanza the ya pili ukapitiliza mwezi kuna ttzo lolote au unaweza choma ya pili
Unakuwa umeharibu utaratibu wa hiyo chanjo japokuwa utachoma hivyo hivyo haina namna
Nimekueelewa maana mm mtoto wa kwanza nilijifungua na 41 na huyu wa pili sa hv niko 40 bado cjajifungua, hivi kuna namna ya kuepukana na hii hali ya kujifungua kwa kuchelewa?? Maana inachosha kwakweli
Hapo kikubwa endelea kufanya mazoezi ya kutembea tembea kama huna shida yoyote inayokufanya usifanye mazoezi ya kutembea tembea na pia tumia chai ya Rangi kunywa ikiwa ya moto moto sawa eeh, jitahidi na kumwomba Mungu pia.
Habari yako dokta naomba nikuulize juzi tarehe 9/9/23 nilienda kumpima mkewangu afya akakutwa na malaria na UTI kisha nikwaomba wampime na UTP ili tujue ana mimba maana hedhi yake hakuiona ktk yale masiku aliyoyazoea bahati nzuri ameonekana mimba anayo.sasa dkt mpaka sasa mkewangu analalamika tumbo lamuuma sana Chini ya kitovu
Ameshaandikiwa Dawa za UTI na Malaria anatumia?
Mm Nina mimb ya miez minne na week mbil lakn nna pata maumivu chini ya tumbo upande wa kulia kias kwamb naskia Kama mguu n mzito lkn nmefanya vipimo mara mbili na majibu yanaonyesha sna shida yoyote,plz unaweza nisaidia kunielezea lbd xhda itakuwa nn
Nadhani ni maudhi madogo madogo kwa Mjamzito!.
Dr mm nimemaliza piriad nikakutana na mume wangu siku zangu za hatari lkn saiv tumbo linaniuma sana chini ya kitovu mda mwengine mpaka chini kunavuta mpaka kiuno kinauma nikifanya kazi za kuinama sana mgongo unauma nimetoka chunusi maziwa yanauma mda mwengine kama nataka kuingia kwenye piriad lkn tarehe yangu bado sana inaweza ikawa ni mimba mda mwengin nikimaliza kusex tumbo linauma sana
Fanya kipimo cha Mimba
Asante sana doctor umeelweka
Haya Mama
Hi mamaafya mke wangu ana ujauzoto wa wiki nne na upatwa maumivu makali chini yakitovu
na kiuno ambayoo uweza kudumumu siku nzima. Ili husababishwa na nini.?
Inawezekana Mimba inatishia kuharibika mpeleke hospitali watamwandikia Dawa na aanze clinic kama hajaanza clinic!
Doctor. Mimi Mkewangu Ujauzito Ulitoka Ukiwa Na Miezi Miwili.Na Nusu Nibaada Ya Kuwa Anapata Maumivu Makubwa Sana Chini Y Kitovu, Alivyoend Hospital Akaambiw Mimba Imeharibik Ndipo Wakamvuta Vikatoka Na Baad Y Kuvitoa Damu Zilitoka Nying, Na Baadaye Akawa Ametok Hospital Na Hakupew Daw Yoyote Bali Alitumia Dawa Z Maumivu.Tu, Mpk Wiki Tatu Zimeish Kukawa Kunatok Uchafu Wa Kawaid Tu! Tena Mudogo Mara Leo Usitoke Mara Utoke Mpka Nikawa Nakutana Naye Baada Y Siku Kama Sikuhiyo Hamuna Uchafu, Lakin Baad Y Mwez Kuisha Sasa Ndo Damu Nzito Za Mabonge Mabonge Zimeanz Kutoka Na Damu Nyepesi, Pia Kutokwa Na Haruf Ukeni Kila Akiend Hajandogo Vimabonge Vidogo Vilivyochanganyana Na Damu Vinatoka, Na Pia Mda Huu Sasa Ahisi Tena Tumbo Kuuma Kwa Mbali Tena Chini Ya Kitovu, Mwili Kuwa Dhaifu Maramojamoja Mara Kupenda Kula Udongo. Naomba Ushauri Doctor
Pole sana inawezekana ana maambukizi ya bakteria kwenye mji wa Uzazi mpeleke hospitali akaandikiwe dawa za kuua vijidudu atakuwa sawa tu
Habari doctor mm ninaujauzito wa mwezi mmoja na wk mbili Ila tumbo langu linaumaa chini ya kitovu kwa mda mrefu ,mgongo ,na kiuno wakati mwingine na mapaja yanauma shida inaweza kuwa nn ??
Pole sana uende hospitali wakufanyie uchunguzi
Nilitumia p2 baada ya tendo maana ilikuwa siku za hatari ila nimepata hedhi kwa wakati na hakukuwa na mabadiliko ya siku kupungua au kuzidi ni zilezile siku tatu ila sasa baada ya wiki mbili napata kichefuchefu tumbo kujaa gesi na uchovu je ni madhara ya p2 au ujauzito??
Mabadiliko ya kawaida hakuna shida yoyote ndugu yangu
Mimba inawiki 3 wiki 4 mtu anaenda hedhi inamazara
Soma hapo juu vizuri
Natokwa na damu nanina maumvu pia nihatari?
Ndio
Naomba kuuliza Kuna dalili naziona natema sana mate mdomo mchungu nachagua vyakula miguu Haina nguvu….Cha hajabu jana nilipo amka na kwenda chooni nikaona Ute Ute umachanganyika na damu Kwa mbali
Subiri siku 7 usipopata hedhi pima Mimba
Je mwanamke aliyekutana na mwanaume Tar 2 Mwezi wa 9 mwaka Jana anaweza kujifungua mapacha Tarehe 20 Mwezi wa 4 mwaka huu?
Nadhani tulizungumza whatsApp
Je umekutana na mwanaume tarehe 26/03 makadilio ya kujifungua mapacha Ni wiki ngapi
Download pregnancy calculate pale playstore itakusaidia kujua hilo
Je km mjamzito atakuwa na tatizo Hilo akishonewa ujauzito wa kwanza na wapili pia anashonewa au
Ndio ni muhimu kushonewa ndugu yangu
Kipimo Cha mimba hakionyeshi kabsa kama hipo na haipo wakati ilitoka ya miez miwili na wiki mbili pia
Kunadalili ya maziwa kutoka hiyo unamanisha nn?
Soma hapo juu vizuri
Nilitumia misoprostol damu Ilikata baada ya siku 11. Kwasas mate yanakuwa machungu na matiti yanajaa kama mtu anayekaribia kuingia hedhi, je hizo n dalili za mimba kuwepo?
Misoprostol ulitumia kufanya nini?
Nmetoa mimba mwezi wa nane ilikuwa na wiki tatu, mpk saiv mwez wa kumi nkipima kipimo kinaonyesha bado ipo na chini ya kitovu tumbo limekuwa gumu ila cna dalili ya kichefu wala kuumwa popote
Soma somo hapo juu
Kuna mdada latiba imebadilika ana anzia 21 je? Niwakati gani sahihi kupata mimba?
Sijakuelewa
je kwa mtu amvaye hana mwanaume anafanya je hii nayo ni changamoto ?
sawa hapo nimeelewa sasa
Tarehe 25 mwez wa tisa ultrasound nilipiga ikasema mimba ina week 39 na pia ikasema tarehe ya kujifungua ni leo tarehe 8 ila me nina kama week mbili naumwa nyonga na uku chini kuna vuta kama kuna kitu kinaachia inaweza kuwa uchungu ila sion makamas wala maji maji
Tafadhari naomba soma vizuri somo hilo hapo juu
Asante kwa mafunzo but Nina dalili zote za mimba ila Kila nikipima napata majibu kua negative na Nina mabadiliko yote ya mwili kama mtyu mwenye mimba
Subiri wiki 2 usipopata hedhi utapima Mimba
Habar doct ivi Ipoje.
Uck nikiwa naenda haja ndogo pindi nanyanyuk nasikia km mifupa ivi inagongan maeneo ya kweny kibof mpk chini… Mimba ina week 35 na siku 4 je inawez kuwa nn.?
Jamani Mimi nilipima nikagundua nina ujauzito lakini toka nimepima nikawa nimeona dalili za hedhi nikaenda hospital nikapima nikapatiwa dawa ila Cha kushangaza adi leo ni siku ya kumi niko hedhi shida ni nini
Mimba itakuwa imeshaharibika
I like it
Amina
Energy drink inaweza kusababisha mimba ya miezi 6 kutoka?
Soma somo hapo
hbr nahic kua nina mimba na nina his kitu kinacheza tumbon kabisa lakin nikipima UPT inasoma Negative
Hauna Mimba
Jaman naomba kuuliza maan nishatuma msg sijibiwi
Unaweza kujifungua kabla ya tarehe ya makadirio na kwanini
Fuatilia video za Dr.Mwanyika pale youtube
Nimekuelew vema mama me mwenyew napenda ukwaju ila natumia tumbegu 2 had 3 kwa sku Niko saw. Je vipi kuhusu kuumwa kichwa sana
Naomba soma somo la Maumivu ya Kichwa kwa Mjamzito kwenye blog hii ya mamaafya.com
Soma hapo kwenye somo tafadhari
Mimi nina wiki ya 34 na nimeambiwa mtoto kalala vibaya (mlalo) ila anacheza vizuri tu
Mimba ya Ngapi?
Je mwanamke mwenye mshono miezi 14 anaweza kujifungua kawaida
Hapana
Nina maumivu sana ya kiuno na mgongo na mda mwingine swezi fanya kazi nikiwa nmeinama mpaka nikiwa nimekaa.. mwili nao unachoka saanaa je na mim nitakuwa na ujauzito??
Pima Mimba kwa kipimo cha Mkojo
Mimi ni mama mjamzito na nimepata shida ya bawasiri je inaweza ikaleta shida kwa mtoto aletumboni?
Hapana shaka
Habar Mimi nimejichoma na sindano kwenye goti mapata maumivu makali Sana na pia nimechoma sindano za chanjo 3 je natakiwa nikachome sindano za tetenasi?
Chanjo ipi?
Kipindi mpenzi wangu sijagundua ana mimba nilijua anasumbuliwa na magonjwa mengine akawa anatumia madawa vp izo dawa zinaweza kualibu ujauzito
Mimi sifahamu dawa alizokuwa anatumia mpeleke hospitali
Mm nilipima na kipimo kinaonesha kuwa nina mimba ila nashangaa Nina maumivu ya tumbo makali sana na nimetokwa damu kwa ck zisizo pungu 9 je hii Ina maana gana doctor?
Inawezekana inatishia kuharibika ni vema uende hospitali wakufanyie uchunguzi.
sasa mfano nimepata mimba uku damu zikatoka mi nikajua bleed kumbe sio ni kwa namna gani ntaweza kujua kam nin mimba
Tafadhari soma vizuri hapo juu
Nimepima nimegundua nina mimba lkn nashangaa damu zinatoka kidg inakata inatoka tena kidg tena damu nzito ilo ni tatizo au
Naomba usome hapo vizuri
Habari je kama mtoto amegeuka kunauwezekano akarudi kama mwanzo kutanguliza makalio au akishageuka ndiyo basi
Mimba ina umri gani?
Mtoto wake wiki 9 na siku 5 snacheza tumboni NI sawa?
Hapana
Sina dalili za mimba kama vile kichefuchefu wala kutapika na zingne pya lakin kipimo cha mkojo kinaonesha na mimba je hii inawezekan?
Ndio
Mke. Wangu ana mimba lakin Kuna muda anapata vichomi usawa wa kitovu shida n nn
Mimba ina umri gani?
Tumbo linamuuma Sana mke wangu hasa tukisex ndo Hali inazidi ni mjamzito wa mwezi mmoja alaf tukisex nahisi Kuna mabadiliko tofauti na mwanzo Kuna Kama kitu nakifikia kwa ndani
Msifanye tendo la Ndoa halafu mpeleke hospitali akafanyiwe vipimo
Ety dokt ivi kuna uwezekano kiasi gani mimba kutungwa hali ya kuwa mbegu za mwanaume hazikufanikiwa kuingia kwa mwanamke
Sasa kama hazijaingia unapataje Mimba?
Jee mtu kubleed akiwa na mimba yaiezi sita inaashiria nini
Soma vizuri hapo juu
Habari mama afya pole na majukumu ya kazi..mimi siku nane baada ya kukutana na mwenza wangu nilianza kutokwa na damu natone haijai kwenye pad na nikifuta inakuwa na rangi ya pink nikajaribu kupima mimba ikatokea mstari moja umekoa na mwingine umefifia,baada ya siku tatu nikapima tena majibu yakaja negative sasa sielewi shida ni nini
Sidhani kama ulikuwa Mjamzito labda ulikosea kusoma kipimo
Samahani. Mm sihawahi kua na mimba ila baad yakufanya tendo la ndoa nina wiki mbil sipat usingiz mate yana jaa mdomon napia sijaenda kwenye hez
Soma vizuri hilo somo hapo juu
Habari tatizo langu nikuwa mke wangu ananiambia kuwa ujauzito wake uko inje ya mfuko wa uzazi so hataki kufanya mapenzi , je nikweli huturuhusiwi kufanya mapenzi??
Mpeleke hospitali kama mimba iko nje ya Mji wa Uzazi
Habari me nina mimba ya week 14 na weekend tatu Ila tumbo linauma chini ya kitu shida ni nini,?
Soma somo hili hapo juu pia uende hospitali ukafanyiwe uchunguzi
Dr Nina wiki ya 40 Maumivu ya nyonga kiuno tumbo linauma kuanzia asubuhi mchana usiku mpka nakosa usingizi nifanye nini
Inawezekana ni dalili za mwanzoni za uchungu jiandae ndugu yangu
“habar dr
nahis kichefu chefu na kutapika, kichwa kinauma sana nmekutana na mpenz wangu siku 3 nyuma, jee npo n mimba?”
Soma somo hapo juu
Nampenda kuuliza Mimi nimechoma sindano mbili nilipokuwa mjamnzito2021 juzi nimejikata najembe je napaswa kwenda kuchoma sindano nyingine Tena ?
Ndio
Nina ujauzito wa wiki 15 n siku kadhaa,nimekuwa na changamoto ya miscarriage ,mwenz wa 5 nlipata hiyo shida,nikabeba mimba tena mwez wa 9 .natoka nimebeba mimba nimekuwa nikitumia duphstone 2×2 kwa siku mpk.sasa n vidonge vy maumivu ya tumbo hyscine 2×3.kwa kila siku.kwa kuelekezwa n doct.je na maumivu y tumbo hayakomii n niko bedrest.swali langu nikutaka kujua hivi vidonge havitaleta madhara kwa mtoto?
Asante.
Message whatsApp namba +255629019936
Kwahy ili kula ugali na wali Mara kwa Mara Ni baada ya mda gani
Napata maumivu makali kwny kichwa had naona kizito mim ni mjamzito na hii mimba yang ya pili lakini ujauzito wa kwanza hali hii sikuwahi kuwa nayo
Soma vizuri hapo juu
Samahn sifaham jinsi ya kuhesabu mzunguko mfano nimeanza piriod tareh 18 mwez 12harafu nikaanza Tena piriod tarehe 15mwez wa1 je hapo na hesabu vip ili
kujuwa siku ya kushika ujauzito
Message WhatsApp namba +255629019936
Doctor nna Mimba Ya Miez 7 lakn Mtoto ameshageuk ila hachez Sana Mama Zaman Shida Iko wap Maana Naogopa Zaman Nlizoea Mashuti Saiv Namskia Chini Ya Kitovu Tuu
Message whatsApp namba +255629019936
Helow mtoto akiwa na dalili zote nzuri nikimaanisha amegeukaa kwa kipindi sahihi kama ulivyosema je unaweza kijufungua kwa upasuaji? Au utajifungua kwa njia ya kawaida?
Fuatilia video zetu pale youtube channel ya Dr.Mwanyika
Je mwanamke mwenye mshono wa miaka minne na miez 5 anaweza kujifungua kawaida
Soma hapo juu
Habari dokta, natokwa na maji maji yasiyo na ladha wala harufu kwenye titi langu la kushoto na nimepima sina mimba, shida ni nini?
Unafanya kujikamua si ndio?
Ndio. Kuna mda yanakua kama yana kichomi ndio nkibinya maji yanatoka, na nimegundua ni yote mawili
Ndio. Kuna mda yanakua kama yana kichomi, nimegundua ni yote mawili yanaleak
Ahsante Dr nimeelewa vizuri mwanangu alikuwa na shida hiyo lakin saiv amepona nilikuwa na wasiwasi sana
Okay
Samahani DR Mimi nilikutana na mpenzi wangu siku ya 18 na ya 25 januari baada ya period lakini mpaka sasa sijaingia period je naweza kupata mimba?
Sifahamu fanya kipimo
Nina mwezi mmoja sija bleed na napata dalili za mimba natokwa na chunusi usoni na choka mara kwa mara napata maumivu ya kichwa but nimepima zaidi ya mara tatu majibu ni negative je nitakuwa na shida gan??
Subiri siku 5 pima tena Mimba
Samaan me nilikutana na mwezang siku zang za hatari lakini nimeenda kwenye siku zangu period imetoka tofauti na inavyo toka mwanzo ina maumivu makali ya kiuno na sipati hamu ya kula hovyo pia imetoka siku zote minazi endaga na nilichelewa kwenda shida inaweza kuwa nn
Inawezekana mabadiliko ya homoni ya kawaida.
Samaan mtu aliye fanyiwa abotion akitumia dawa za kienyeji anaweza pata madhara yoyote kwenye kizaz
Nina zaid ya wiki mbili napata dalili zote za mimba ila wiki ya tatu kwenye tarehe zang za period nimeingia period lkn damu ni nyepesi na kichwa kinauma pamoja na maumivu ya tumbo chini ya kitovu na nilipima mimba wiki moja kabla ya hedhi kipimo kikaonyesha sina je hii inaweza kua ni nini?
Ni Dalili za hedhi tu ndugu yangu
Je mimba ilitungwa nje ya uzazi inaweza toka???
Hapana
Mimi mtowangu an umri wamiezi miwili lakini bado kitomvu chake bado hakija funga bado kinatoa majimaji naomba msaada wakitabibu
Message whatsApp namba +255629019936
Natokwa na ute mwekundu niko wiki ya 33 je ni uchungu
Hapana hiyo si dalili nzuri kwa ujauzito wako uende hospitali wakufanyie uchunguzi
Habari mm mimba yangu Bado changa ina moezi miwili ila tumbo linaniuma sana hamu ya kula chochote sina na kichefuchefu ila tumbo linaniuma Kuna mda linakuwa sawa na Kuna mda linauma
Maudhi madogo madogo kwa Mjamzito ila uende hospitali wakufanyie uchunguzi
Samahani me ninamimba ya miezi minne lakini Mara nyingi tumbo unishika sana chini ya kitovu na mtoto anacheza chini ya kitovu yaan tumbo limevimba zaidi chini ya kitovu na kuna wakati nkikaa nkija kuinuka nyonga zinashika unaweza nipa ufahamu juu ya hilo please
hali ya kawaida ndugu yangu
Mimi nina week 30 naumwa mbavu ya kulia sik ya 3 sasa kuinua kitu kizito siwezi nikipumua nasikia maumivuu. Nikilal ni sid moja kuna kugeuka had nigeuzwe hata kuita mtu naogop maan nasikia maumivu siyo kidogo
Naomba usome hapo juu
Ivi citizen zina madhara kwa mam mjanzito
Hapana
Nimejifunza vyema .
Amina ndugu yangu
Habari mm nina mimba ya miezi 8 wakati mwengine mtoto anakaza ya kama anasukuma tumbo inapelekea kuhc maumivu je nikawaida nijuze please
Kawaida ndugu
Masomo yenu mazuri mbarikiwe
Amina, karibu sana
Mungu awabaliki kwa masomoyenu
Amina ndugu yangu
Mm nilikuwa situmii folic acid kila siku mpaka sasa mimba yangu inamiez mitano je naweza kuleta masihara Kwa mtoto
Ndio ndugu ila anza kutumia
Mke wangu anakosa hamu piah nikikutana nae anapata maumivu makali sana shida Nini?
Mpeleke hospitali afanyiwe uchunguzi
Nimejifunza kitu, ubarikiwe
Amina ndugu yangu
Nina week ya 37 na siku 4 , naumwa tumbo na kuharisha je ni uchungu make tumbo lina kata sana na kupoa
Inawezekana Dalili za Mwanzoni za Uchungu
Mi nlkuwa mjamzito kama wiki moja badae nkatoa damu kama siku nne nyingi Ila sikuwa na maumivu ya tumbo Ila sahv najhis kama mjamzito maumivu ya mgongo na kizunguzungu shda inaweza ikawa nn dk
Pima Mimba ndugu yangu
Nlikuwa na mimba ya wik tatu sas nlikuwa naumwa sana nkatumia dawa ya kutoa ikatoka yalitoka mabonge siku Moja tu siku niliyo tumia hiyo dawa na uchafu mwusi umetoka Kam sik 6 hivi . Nlitoa tr kumi na Moja mwezi huu lkn tar 20 juz nkajarbu kupima ikaonekana bado ipo je itakuwa imetoka au bado na nifanyaje Nini naomba nisaidie ushauri wako doctor
Pole sana uende hospitali wakufanyie vipimo
Habari mama afya, mim nlijihis mjamzito baada ya week 3 ma nikapima kupitia upt nkakuta kweli ipo lakin nlikua napata maumiv sana chin ya kitovu na nkapata dalili zote za period na nlikua natoka uchafu wa brown….mara baada ya kumeza kile kidonge kimoja cha kutolea vikaanza kutoka vidam dam nlipomalizia vile vi4 dam ikatoka kwa muda wa siku 3 tu na sio mabonge ni dam ya kawaida kam hedhi na maumiv ya tumbo nliyapata sana kama ya hedhi je mimba imetoka??
Naomba utume message whatsapp namba hii + 255 629 019 936
Vifaa vya kujifungulia huwa ni tsh ngapi?
Tsh.30,000/=
Asante kwa somo nina week 36 , naharisha pia tumbo linanguruma sana inaeza ikawa uchungu.?
Kuharisha pekee siyo dalili ya Uchungu ni vema uende hospitali wakuchunguze!
Habari, naomba kuuliza niliweka kipandikizi (kijiti) Cha miaka 3 lakini nilikitoa baada ya miezi 4 tu kwasababu ya changamoto nilizokuwa napitia kama kuumwa mara kwa mara na matone ya damu Kila wakati. Tangu nimekitoa Nina week mbili sasa sijaingia period je naweza kuwa na shida mahala?
Wiki mbili chache sana endelea kusubiri utaingia hedhi
Ikiwa mimba in a wiki32 na kuanzia asubuh tumbo linauma sana kam uchungu na kuharisha je ni kuashiria nini kam tumbo linauma sana kisha haliponi linakata kidogo kisha maumiv yanarud tena
Naomba bonyeza linki hii sikiliza https://youtu.be/w-kbi-qpEUU
ok
Sor niko nje ya mada kidogo ila nahitaji msaada kusema kweli nilimeza dawa za kutoa mimba misoprosto lakini niliona matone machache ya damu then inatulia nikifanya kazi naona matone ya damu afu yanakata yanatoka tena sehemu nyingine actual siyo damu nyingi ni matone machache mimba ilikuwa ya wiki 3 naomba ushauri naogopa kwenda hospital
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo
je kutoka na damu baada ya tendo ukiwa mjamzito mchanga inaashiria nin?
Mimba inatishia kuharibika ndugu yangu
Mama mjamzito anaweza kutumia basil juice Dr.??
Mbona siijui hiyo
Habari naomba kujua kuwa nimepitiliza siku zangu Leo siku ya 2 Ila nahisi maumivu ya tumbo LA period kwa mbali Siku ya tatu hii hali lakini dam hazitoki hii inaweza kuwa shida gani?
Pima Mimba
Je wiki 29 ni sawa na miezi mingap..?
Nitumie message whatsApp namba hii 0629019936
Habari Dr
Me nimekutana na mwenzangu katika siku zangu za hatari lakini sioni dalili zozote za mimba ila tarehe zangu za period zimepita na sijaona siku zangu je naweza kuwa mjamzito
Fanya kipimo
Samahani naomba kuuliza mimi nilichoma sindano mbili za mwanzo ya tatu nilitaka kuchoma tarehe 27 mwezi wa tano nikasahau nikaenda kuchoma tarehe 20mwezi wa sita je ni sawa au natakiwa kuanza upya
Uanze upya ndugu yangu
Mke wangu a nasikia maumivu ya tumbo, pia a nahisi kizunguzungu
Fuatilia masomo yetu hapa
Naomba p l d husababisha nabii na inaweza tumika kwa mama mjamzito
Sijakuelewa
Tendo la ndoa likifanywa hadi siku za kukaribia kujifungua mtoto anazaliwa akiwa na uchafu je hii ni sawa kufanya kwa kipindi chote cha ujauzito wake?
Ule ute una mzunguuka mtoto hauna mahusiano na tendo la ndoa
Ni dawa gani inapaswa kutumiwa na mjamzito Kama Ana tatizo la fungas
Nitumie message whatsApp namba hii +255629019936
Je kuumwa kicha na kizunguzungu ndani ya wiki mbili n moja ya dalili za ujazuzito?
Soma vizuri somo hilo hapo juu
Nimekuelewa dokta nimepata kity kiufupi.
Okay
Mimi nimeshatumia sana hizo za tube na vidonge vya kuweka lkn tatizo lajirudia Kila mara je nifanyaje?
Nitumie message whatsapp namba hii +255629019936
Mm sijaona siku zangu nimepitiliza siku 4 lakin; naumwa tumbo kam nataka kuingia p, pia naumwa kiuno na uchovu na sipat haha kubwa je shida itakuwa nn
Naomba usome vyema hapo juu
Asante nmeelew
Okay
okay
Mimi nilibeba mimba operesheni ikiwa ina mwaka mmoja na sahivi innaelekea miaka miwili na nina ujauzito wa miezi tisa naweza kujifungua kawaida?
Naomba usome somo vizuri utapata jibu lako kwa 100%
Mim nahc kichefuchefu,kichwa kinauma na tumbo langu limeanza kukua,mwili umechoka,uchovu mood ni hasira sana lakn cha ajabu nimeenda period ck 7, ambayo c Kawaida na nimechelewa kupata period…inawezekana ikawa ni mimba?
Hapana mimba
Habari Dr.
Mimi nilishiriki tendo la ndoa na mwenza wangu siku ya 8 baada ya hedhi na mzunguko wangu ni siku 28 ilikua niingie period tarehe 21 mwezi wa Tisa, wiki mbili sasa zimepita sijaona lakini tumbo linajaa gesi na nasikia maumivu ya tumbo chini ya kitovu, nimepima kipimo Cha mkojo kionesha hamna, je naweza kua na ujauzito?
Subiri wiki 1 usipopata hedhi pima tena Mimba ndugu yangu
Sorry doctor,ninaujauzito wa wiki mbili napata maumivu ya tumbo upande mmoja wa kushoto,je inaweza kuwa changamoto?
Ndio uende hospitali wakufanyie uchunguzi
Tumbo langu upande wa kushoto linapiga piga kama mapigi ya moto hvi upande wa kushoto hvi unaweza kuwa ni nini
Message whatsapp namba hii +255629019936
Nimeharibikiwa mimba Kama wiki 2 zilizo pita zilianza kutoka damu baadae zikakata zikawa zinatoka kidog kido mpaka siku 4 tumbo liliuma Sana na mgongo kesho yake siku ya 5 kakatoka kajitu Kama ini Jana urefu sawa na kidole kidogo Cha mwisho baada ya hapo tumbo halikuniuma Tena .ila maziwa nikikamua yanatoa maji hayaumi ila zile dalili za uchovu kichef chefu kizungu zungu Sina . Nimepima kwenye upt kinasoma Bado imo Ila mstari ule umefifia Sana . Je inaweza ikawa ipo bado?? Msaada please
Uende hospitali ukafanyiwe uchunguzi na ushauri zaidi
Nifanyaje mtoti acheze asubuh alicheza ila baadae hajaacheza
Nitumie message whatsapp namba +255 629 019 936
Mke wangu anamenimbia haoni pilika pilika za mtoto tumboni tangu juz. Hii ipoje naomba msaada kujua je Kuna shida ama?
Pole sana mpeleke hospitali akafanyiwe vipimo!
Samahani nimeshiriki tendo la ndoa n mke wangu mwenye ujauzito wa miezi 5 na wiki tatu lakini anapataa bleeding tatzo linawezA kuwa nini
Mimba inatishia kuharibika
Good
Okay
Habari doctor nina watoto mapacha wakike na wakiume wana miezi miwili wanaumwa sana na vitovu nafanyaje
Nitumie message whatsapp namba hii +255 629 019 936
Mke wangu anatatizo la kukosa hamu mala kwa mala wakati hata haja shika ujauzito hili likoje kitaalam
Ziko sababu nyingi tu ukiachana na Ujauzito
Nina mimba alafu naziona siku zangu inashiria nin?
Soma hapo juu vizuri
Nina ujauzito was miezi minne na ni wa kwanza lakin Bado sijaaanza kwenda klinik, je Kuna madhara naweza kupata?
Ndio
Mimi nina mimba lakin sipati kichefuchrfu wala maudhi tofauti na kiuno bc je kunashida yoyot
Kawaida
Je mama mjamzito kuumwa chini ya kitovu inatibikaje
Nitumie message whatsapp namba hii +255629019936
Nina ujauzito ni mwezi wa nne sasa mtoto hajaanza kucheza bado he inaweza kuwa ni tatizo ni nzao yangu ya tatu sasa
Soma vizuri somo hili
Tumbo linauma chini ya kitovu na niko wiki ya 35 itakua nn
Naomba usome hapo juu
Je ikiwa nimejifungua kwa upasuaji mara tatu mfululizo,watoto wamepishana miaka miwili miwili,nikibeba ujauzito mwingine kuna hatari?
Message whatsApp namba +255 629 019 936
Habari Mimi nimeshindwa kuingia kwenye siku zangu kwa mwezi wakwanza lakini nahisi tumbo langu limejaa gasi na pia nahisi joto Kali Sana naweza nikasema siyo mimba kwa sababu sijakutana kimwili na mwanaume kwa sababu mwezi uliopita niliingia kwaiyo shida itakuwa Nini?
Uende hospitali ukafanyiwe vipimo vya magonjwa mengine
Doctor mimi Nina mimba ya wiki 21 lkn mtoto hajaanza kucheza, nilipoenda spital nikafanyiwa ultrasound wakasema hamna shida, Sasa nauliza tatizo ni Nini?
Hamna shida inawezekana mtoto amekaa namna ambayo huwezi kusikia
Mimi mtoto alikuwa anacheza ila toka jana saa 4 mpaka leo mtoto ajacheza ..kuna tatizo hapo dr ?
Uende hospitali ukafanyiwe ultrasound
mke wangu ana mimba ya miezi tisa je naweza fanya tendo au niache
Soma hapo ndugu
Habari naomba kujua mtoto huwa ananyonya kwa dakika ngapi kwa siku?
Dakika kwa siku?
Dr sorry me nilitoa mimba ya one month then baadae damu imetoka siku mbili tu ila kipimo kinaonyesha ipo je ipo kweli au
Nitumie message WhatsApp namba +255629019936
mtoto kucheza na miezi 3 nisawa aukuana shida maana mwanzo inatakiwa kuanzia mienzi minne
Fuatilia masomo yetu
Helpfuly
Amina
Maelezo haya yamesaidia sana hasa kuondoa hofu kwa mama mjamzito na kutoa mbadala cha kufanya mfano namna gani unaweza punguza
Hongera sana
Nimeelimika vyema,nimeelewa kilichokuwakinanisumbua.nilijua mwezi moja akikaribia eti unaacha kumbeunaendeleza kukomaza mtoto safiiii?
Hapana
Mke wangu ana mimba ya wiki 38 kuna muda tumbo linakaza/linavuta hadi kupelekea maumivu na kwenye kitovu pia vivyo hivyo je ni salama? Na mtoto anaweza kuwa ameshageuka? 🙏
Uende hospitali wamfanyie ultrasound utajua kama amegeuka tumboni
Habari dr,mimi nilishiriki tendo la ndoa na mwenyangu,mwezi ulipita sikuona hedhi zangu.baada ya kuendelea kufanya tendo la ndoa damu ilitoka ya brown baada ya wiki mbili kwa siku tatu na sasa sijaona hedhi zangu tena,shida inewaza kuwa nini?
Uende hospitali wakufanyie uchunguzi
Wiki 8 naweza kunywa paracetamol
Ndio
Mm nna week 25 natoka maji maji kwenye maziwa ni dalili ya kuzaa premature
Kwa nini?
mpenzi wangu mwezi wa pili huu hedhi yake inabadilika kwa tofauti ya tarehe mwezi ulioisha aliingia tarehe 12 mwezi huu ameingia tarehe 1 shida itakuwa nini mtaalam
Message whatsapp namba hii +255629019936
Naomba kuuliza matunda sita ndo punje sita za tende au
Ndio Punje 6