Category : MTOTO

Je Macho mekundu kwa Kichanga husababishwa na nini? (Subconjunctival Hemorrhage)

Je Macho mekundu kwa Kichanga husababishwa na nini? (Subconjunctival Hemorrhage)

Hali ya Kichanga kuwa na Macho mekundu muda mfupi tokea kuzaliwa ni kawaida haswa kwa Vichanga walio zaliwa kwa njia ya kawaida ila kwa njia za usaidizi kitalaam huitwa Subconjuctival

Continue reading

Hedhi ya Kichanga wa Kike/Kutokwa Damu Ukeni Kwa Kichanga wa Kike.

Hedhi ya Kichanga wa Kike/Kutokwa Damu Ukeni Kwa Kichanga wa Kike.

Hedhi ya Mtoto Mchanga wa Kike (Neonatal Uterine Bleeding), Hali hii huitwa hedhi ya Uongo Kwa Watoto Wachanga wa Kike ambayo hutokea ndani ya Wiki 1 toke kuzaliwa kwao, Hii

Continue reading

Upele wa Joto kwa Mtoto Mchanga | Vipele vya Joto Kwa Mtoto Mchanga (Miliaria).

Upele wa Joto kwa Mtoto Mchanga | Vipele vya Joto Kwa Mtoto Mchanga (Miliaria).

Vipele vya Joto ni Ugonjwa wa kawaida wa ngozi unaosababishwa na kuzibwa na/au kuvimba kwa mifereji inayopitisha jasho kutoka kwenye tezi za Jasho, wakati mwingine huitwa Upele wa jasho. Upele

Continue reading

NGIRI YA KITOVU KWA MTOTO MCHANGA (UMBILICAL HERNIA)

NGIRI YA KITOVU KWA MTOTO MCHANGA (UMBILICAL HERNIA)

Ngiri ya Kitovu ni uwazi usio wa kawaida kwenye Kitovu ambao huweza kuruhusu tishu au Kiungo kutoka ndani ya tumbo (Utumbo na nk) na kuingia kwa wakati fulani fulani kwa

Continue reading

Homa kwa Mchanga Wa Umri Chini ya Miezi 3 na Mtoto wa Umri chini ya Mwaka 1.

Homa kwa Mchanga Wa Umri Chini ya Miezi 3 na Mtoto wa Umri chini ya Mwaka 1.

Homa ni dalili ambayo huhusisha kuongezeka kwa Joto la Mwili wa Mtoto Mchanga, Joto la kuanzia 38⁰Centigrade au 100.4⁰ Fahrenheit kwenda juu humaanisha homa kwa Mtoto Mchanga. Joto la kawaida

Continue reading

HOMA YA MANJANO KWA MTOTO MCHANGA.

Watoto wachanga walio wengi wanapokuwa wamezaliwa hususani wiki ya 1 tu ya maisha yao huwa na Unjano kwenye macho yao au kwenye ngozi zao. Hali hii ya Unjano wa Macho

Continue reading

Kujifungua Mtoto Mkubwa (Big Baby) Kilo 4 au Zaidi.

Kujifungua Mtoto Mkubwa (Big Baby) Kilo 4 au Zaidi.

Mtoto Mkubwa (Macrosomia) ni Mtoto mchanga anayezaliwa na kilo 4 au zaidi, wakati mwingine Mtoto aliyeko Tumboni mwa Mjamzito huweza kuwa na kilo nyingi kuliko umri wa Mimba (Large for

Continue reading

KITOVU CHA MTOTO MCHANGA NYUMBANI, {JINSI YA KUTUNZA KITOVU CHA MTOTO MCHANGA.}

KITOVU CHA MTOTO MCHANGA NYUMBANI, {JINSI YA KUTUNZA KITOVU CHA MTOTO MCHANGA.}

Kitovu cha Mtoto Mchanga ni Kovu lililopo sehemu ya katikati ya Tumbo la Mtoto Mchanga ambayo huwa ina bakia baada ya kukatwa kwa Mrija punde tu baada ya Mtoto Mchanga

Continue reading

Kwikwi Kwa Mtoto Mchanga

Kwikwi Kwa Mtoto Mchanga

Kwikwi ni hali ambayo hutokea endapo Milango (Vocal Cords) iliyopo sehemu ya juu ya Koo la hewa inajifunga ghafla na haraka baada ya Msuli waa upumuaji (Diaflamu) kujikunja wakati mtu

Continue reading

Je Mtoto kucheza zaidi Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari?

Je Mtoto kucheza zaidi Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari?

Kwa kawaida Mtoto anaweza kucheza kuanzia Mara 3 mpaka Mara 100 ndani ya saa 1! Tafiti nyingi zilionesha ya kwamba kupunguza kucheza kwa Mtoto Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari

Continue reading