Category : UCHUNGU/KUJIFUNGUA

Dalili za Mwanzoni za Kujifungua au Uchungu kwa Mjamzito.

Dalili za Mwanzoni za Kujifungua au Uchungu kwa Mjamzito.

Endapo umefikisha Miezi Mitatu ya Mwishoni mwa Ujauzito yaani Wiki 28 Hadi Wiki 36, kipindi ambacho bado Mtoto hajakomaa vizuri na Uchungu Halisia kuanza Baadhi ya Wajawazito hupata Dalili mbalimbali

Continue reading

Je ni Mambo gani hufanya Mtoto kutogeuka Tumboni mwa Mjamzito??

Je ni Mambo gani hufanya Mtoto kutogeuka Tumboni mwa Mjamzito??

Mtoto hugeuka yaani hugeuza chini Mimba inapofikisha wiki 32 hadi wiki 36 mabadiliko haya huwa ya asili, Mtoto anaweza kuwa ametanguliza Matako au Makalio pamoja na Miguu Mimba ikiwa haijafikisha

Continue reading

Kwa nini ni muhimu Mjamzito kushiriki Tendo la Ndoa?

Kwa nini ni muhimu Mjamzito kushiriki Tendo la Ndoa?

Tendo la Ndoa ni Mojawapo ya starehe ambayo Mwanadamu alipewa na mwenyezi Mungu.Japokuwa zaidi ya 50% ya Wajawazito kupunguza hamu ya kushiriki Tendo hilo katika kipindi Cha Ujauzito ukilinganisha na

Continue reading

Je Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Je Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito ni jambo ambalo haliepukiki katika kipindi cha Ujauzito, Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito huweza kutokana na sababu za Ujauzito au Sababu tofauti na Ujauzito ambapo

Continue reading

MAANDALIZI YA KUJIFUNGUA.

MAANDALIZI YA KUJIFUNGUA.

Mjamzito anatakiwa kujiandaa Kisaikolojia, Kibaologia na Kiakili kipindi ambacho tayari Mimba yake imefikisha Miezi Tisa na muda wa kukaribia kujifungua.Endapo Mjamzito alihudhuria Kliniki ipasavyo na kupewa elimu muhimu inayo husiana

Continue reading

Je Mama anaye nyonyesha anaweza kupata Ujauzito/Mimba?

Je Mama anaye nyonyesha anaweza kupata Ujauzito/Mimba?

Jibu Ndio! Kuna baadhi ya akina Mama wanaonyonyesha hujishtukia tayari wana Mimba nyingine ndani ya miezi 6 tokea wajifungue hii ni kwa sababu wanashindwa kujua vigezo ambavyo vitawafanya wao wasitumie/watumie

Continue reading

MTOTO HUGEUKA LINI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO!

MTOTO HUGEUKA LINI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO!

Mtoto anaweza kuanza kugeuka kuanzia wiki ya 32 mpaka wiki 36 Endapo hajageuka kuanzia wiki 35 kurudi chini hiyo inawezekana isiwe shida kwa sababu anaweza kugeuka mpaka wiki ya 36

Continue reading

Chanjo ya Ugonjwa wa Pepopunda (Tetanus) kwa Mjamzito!

Chanjo ya Ugonjwa wa Pepopunda (Tetanus) kwa Mjamzito!

PEPOPUNDA (TETANUS)Ni ugonjwa ambao huathiri watu wa rika zote na umri wowote ule na Ugonjwa huu huweza kuathiri Mfumo wa fahamu unao husika na Misuli inayojiunganisha na Mifupa ambayo huratibu

Continue reading