Category : UCHUNGU/KUJIFUNGUA

Uchungu usio halisi kwa Mjamzito(False labor).

Uchungu usio halisi kwa Mjamzito(False labor).

Uchungu usiohalisi ni maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo hubana na kuachia ambayo Mjamzito anaweza kupata katika kipindi cha Ujauzito. Maumivu ya kubana na kuachia huweza kuanza miezi mitatu

Continue reading

Vyakula  Muhimu Kwa Mama aliyejifungua kwa Upasuaji!

Vyakula Muhimu Kwa Mama aliyejifungua kwa Upasuaji!

Kujifungua kwa Upasuaji (Caesarean delivery) ni upasuaji mkubwa kama upasuaji mwingine wa Tumbo, japokuwa wakati mwingine utumbo huweza kuguswa wakati wa upasuaji huu ila ni mara chache sana. Hivyo Mama

Continue reading

DALILI ZA MTOTO KUGEUKA TUMBONI MWA MJAMZITO {CEPHALIC PRESENTATION}.

DALILI ZA MTOTO KUGEUKA TUMBONI MWA MJAMZITO {CEPHALIC PRESENTATION}.

Mtoto kugeuka (Cephalic Presentation) maana yake Nini?Mtoto kugeuka ni vile Mtoto anapokuwa amegeuza kichwa chini kwenye Nyonga ya Mjamzito na pia Sura ya Mtoto kuangalia nyuma na chogo cha kichwa

Continue reading

SABABU ZA KUCHOKA SANA KWA MJAMZITO KTK KIPINDI CHA UJAUZITO (KUISHIWA NGUVU KTK UJAUZITO)

SABABU ZA KUCHOKA SANA KWA MJAMZITO KTK KIPINDI CHA UJAUZITO (KUISHIWA NGUVU KTK UJAUZITO)

KUCHOKA SANA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO NI HALI YA KAWAIDA KABISA JAPOKUWA KUNA WAKATI UNATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI KWA KUFANYA VIPIMO AU KUMWONA DAKTARI. Kuchoka ktk kipindi cha Ujauzito hutokea zaidi

Continue reading

MAUMIVU YA KICHWA KWA MJAMZITO (MAUMIVU YA KICHWA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO)

MAUMIVU YA KICHWA KWA MJAMZITO (MAUMIVU YA KICHWA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO)

MAUMIVU YA KICHWA KWA MJAMZITO HUWEZA KUSABABISHWA NA MAMBO YAFUATAYO: KUMBUKA:Usinunue Dawa za maumivu bila idhini ya Daktari kwa sababu dawa nyingi za maumivu huwa hazitumiki kwa Mjamzito au katika

Continue reading

JE KIPORO CHA CHAKULA MJAMZITO ANARUHUSIWA KULA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO?

JE KIPORO CHA CHAKULA MJAMZITO ANARUHUSIWA KULA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO?

KIPORO (LEFTOVERS) ni chakula ambacho kimebaki au masalia ya chakula baada ya mtu kula chakula alicho kiandaa katika kipindi fulani inawezekana Jioni, Mchana na ahsubuhi! Vile vile hutegemeana na aina

Continue reading

SABABU ZA KUJIFUNGUA KABLA WAKATI NA MAMBO AMBAYO HUPELEKEA KUJIFUNGUA KABLA YA WIKI 37 NA MTOTO KUWEZA KUFARARIKI.

SABABU ZA KUJIFUNGUA KABLA WAKATI NA MAMBO AMBAYO HUPELEKEA KUJIFUNGUA KABLA YA WIKI 37 NA MTOTO KUWEZA KUFARARIKI.

SABABU KUBWA YA MJAMZITO KUJIFUNGUA KABLA YA MTOTO KUKOMAA AU CHINI YA WIKI 37 HAZIJULIKANI.YAFUATAYO NI MAMBO HATARISHI YANAYOWEZA KUFANYA UJIFUNGUE KABLA YA WAKATI. KUMBUKA: Uonapo vihatarishi hivyo unatakiwa kuwahi

Continue reading

SABABU ZA KUCHELEWA KUJIFUNGUA KWA MJAMZITO HIZI HAPA.

SABABU ZA KUCHELEWA KUJIFUNGUA KWA MJAMZITO HIZI HAPA.

Mjamzito unatakiwa kujifungua wiki ya 37 hadi wiki ya 42 kwa tafsiri nyingine hiyo ndio Miezi 9, japokuwa kwa hesabu za kawaida wiki 42 ni sawa na Miezi 10 na

Continue reading

KUTOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA UKENI | SHOMBO YA SAMAKI KWA MJAMZITO NA KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA UKENI | SHOMBO YA SAMAKI KWA MJAMZITO NA KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA NA UCHAFU WA NJANO UKENI KWA MJAMZITO NI UGONJWA AMBAO HUSABABISHWA NA BAKTERIA. UGONJWA HUU HUITWA BACTERIAL VAGINOSIS.Bacterial Vaginosis husababisha na Bakteria aina ya Garnerella Vaginalis ambaye huvamia Ukeni

Continue reading

JE ULTRASOUND INA MADHARA KWA MJAMZITO AU MTOTO ALIYEKO TUMBONI?

JE ULTRASOUND INA MADHARA KWA MJAMZITO AU MTOTO ALIYEKO TUMBONI?

ULTRASOUND(SONOGRAM);Ni Kifaa au Mashine ambayo hutumika kuonesha Taswira au Picha ya Sehemu Fulani ya Mwili wa Binadamu ambayo imeathiriwa au yenye Shida fulani ambapo wa Huduma wa Afya huhitaji kujua

Continue reading