Category : CHANGAMOTO ZA UJAUZITO

Kwa nini ni muhimu Mjamzito kushiriki Tendo la Ndoa?

Kwa nini ni muhimu Mjamzito kushiriki Tendo la Ndoa?

Tendo la Ndoa ni Mojawapo ya starehe ambayo Mwanadamu alipewa na mwenyezi Mungu.Japokuwa zaidi ya 50% ya Wajawazito kupunguza hamu ya kushiriki Tendo hilo katika kipindi Cha Ujauzito ukilinganisha na

Continue reading

Je Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Je Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito ni jambo ambalo haliepukiki katika kipindi cha Ujauzito, Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito huweza kutokana na sababu za Ujauzito au Sababu tofauti na Ujauzito ambapo

Continue reading

MIMBA KUHARIBIKA/KUTOKA MARA KWA MARA KUTOKANA NA UDHAIFU WA MLANGO WA UZAZI (CERVICAL INSUFFICIENCY)

MIMBA KUHARIBIKA/KUTOKA MARA KWA MARA KUTOKANA NA UDHAIFU WA MLANGO WA UZAZI (CERVICAL INSUFFICIENCY)

UDHAIFU WA MLANGO WA UZAZI Udhaifu wa Mlango wa Uzazi ni Hali au shida ambayo huhusisha Mlango wa Uzazi kushindwa kudhibiti au kuzuia Mimba isitoke mpaka kipindi ambacho Mtoto anakuwa

Continue reading

MAMBO YANAYOPELEKEA MJAMZITO KUKOSA USINGIZI NA MAMBO YA KUFANYA ILI KUPATA USINGIZI KWA MJAMZITO!

MAMBO YANAYOPELEKEA MJAMZITO KUKOSA USINGIZI NA MAMBO YA KUFANYA ILI KUPATA USINGIZI KWA MJAMZITO!

Mambo ambayo huweza kupelekea kukosa usingizi kwa Mama Mjamzito ni kama yafuatayo! 1. Kuongezeka kwa hamu ya kwenda kukojoa Mara kwa Mara usiku! 2. Kupata maumivu ya Mgongo kutokana na

Continue reading

Je Mtoto kucheza zaidi Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari?

Je Mtoto kucheza zaidi Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari?

Kwa kawaida Mtoto anaweza kucheza kuanzia Mara 3 mpaka Mara 100 ndani ya saa 1! Tafiti nyingi zilionesha ya kwamba kupunguza kucheza kwa Mtoto Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari

Continue reading

MICHIRIZI YA TUMBO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO.

MICHIRIZI YA TUMBO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO.

Michirizi au Mistari midogo midogo ambayo hutokea kipindi Cha Ujauzito kwenye maeneo ya Tumboni, Mapajani na kwenye Matiti ya Mjamzito,hususani Miezi mitatu ya katikati na mwishoni mwa Ujauzito, Hali huwa

Continue reading

MIMBA ZABIBU

MIMBA ZABIBU

MIMBA ZABIBU Hii ni aina ya Mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya Kiume imerutubisha Yai la Kike ambalo halina kiini au hata kama yai hilo lina kiini basi kiini ambacho

Continue reading

MTOTO HUANZA KUCHEZA LINI KATIKA TUMBO LA MJAMZITO.

MTOTO HUANZA KUCHEZA LINI KATIKA TUMBO LA MJAMZITO.

Kwa kawaida akina Mama wajawazito huwezi kuhisi kucheza kwa mtoto tumboni katika umri tofauti tofauti kulingana Mama Mjamzito husika. 1. Mama Mjamzito ambaye hakuwahi kujifungua kwa maana kwamba Mimba yake

Continue reading

ULAJI WA UDONGO KWA MJAMZITO

ULAJI WA UDONGO KWA MJAMZITO

Ulaji wa Udongo kwa Mjamzito ni hali ya kawaida na hujumuisha asilimia 20 ya Wajawazito wote Duniani, Mjamzito anaweza kupata tatizo hili katika Miezi Mitatu ya mwanzo ya Ujauzito, Japokuwa

Continue reading

Chanjo ya Ugonjwa wa Pepopunda (Tetanus) kwa Mjamzito!

Chanjo ya Ugonjwa wa Pepopunda (Tetanus) kwa Mjamzito!

PEPOPUNDA (TETANUS)Ni ugonjwa ambao huathiri watu wa rika zote na umri wowote ule na Ugonjwa huu huweza kuathiri Mfumo wa fahamu unao husika na Misuli inayojiunganisha na Mifupa ambayo huratibu

Continue reading