Category : CHANGAMOTO ZA UJAUZITO

MADHARA YA SODA KWA MJAMZITO

MADHARA YA SODA KWA MJAMZITO

Unywaji Soda kwa Mjamzito ambao usio wa mara kwa mara hauna shida yoyote kwa Mjamzito asiye na Ugonjwa wa Kisukari au Presha!. Unywaji wa Soda wa mara kwa mara au

Continue reading

Dalili za Mwanzoni za Kujifungua au Uchungu kwa Mjamzito.

Dalili za Mwanzoni za Kujifungua au Uchungu kwa Mjamzito.

Endapo umefikisha Miezi Mitatu ya Mwishoni mwa Ujauzito yaani Wiki 28 Hadi Wiki 36, kipindi ambacho bado Mtoto hajakomaa vizuri na Uchungu Halisia kuanza Baadhi ya Wajawazito hupata Dalili mbalimbali

Continue reading

Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito Husababishwa na Nini?

Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito Husababishwa na Nini?

Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito huweza kuwa Hali ya kawaida kutokana na mabadiliko mbalimbali katika kipindi cha Ujauzito au Dalili Hatarishi, Mambo yafuatayo huweza kusababisha Maumivu ya

Continue reading

DALILI 30 ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)

DALILI 30 ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)

Mjamzito mwenye Ujauzito wa kuanzia wiki 2 mpaka mwezi mmoja anaweza kuwa na Dalili zifuatazo; KUMBUKA; Dalili pekee hazitoshi kuonesha kuwa Mjamzito kuna Baadhi ya Magonjwa huwa na Dalili zinazofanana

Continue reading

Maumivu ya Mbavu kwa Mjamzito husababishwa na Nini?, Na suluhisho lake ni lipi?

Maumivu ya Mbavu kwa Mjamzito husababishwa na Nini?, Na suluhisho lake ni lipi?

Kwa kawaida Kutokana na Mabadiliko mbalimbali ya Kipindi cha Ujauzito, Mjamzito anaweza kuwa na Dalili za kuwa na Maumivu ya Mwili ikiwemo Maumivu ya Mbavu inawezekana Mbavu za Kushoto,Kulia au

Continue reading

Je Mjamzito anaweza kupata Hedhi?

Je Mjamzito anaweza kupata Hedhi?

Je ni kweli kwamba unaweza kupata Hedhi katika kipindi cha Ujauzito? Hapana!Ukweli ni kwamba mara baada ya kupata Ujauzito au Mimba huwezi kupata Hedhi, Baadhi ya Wajawazito hususani wale ambao

Continue reading

Je ni Mambo gani hufanya Mtoto kutogeuka Tumboni mwa Mjamzito??

Je ni Mambo gani hufanya Mtoto kutogeuka Tumboni mwa Mjamzito??

Mtoto hugeuka yaani hugeuza chini Mimba inapofikisha wiki 32 hadi wiki 36 mabadiliko haya huwa ya asili, Mtoto anaweza kuwa ametanguliza Matako au Makalio pamoja na Miguu Mimba ikiwa haijafikisha

Continue reading

Ugonjwa wa Fangasi Ukeni kwa Mjamzito na Matibabu yake! (VAGINA CANDIDIASIS / VULVOVAGINAL CANDIDIASIS (MONILIASIS).

Ugonjwa wa Fangasi Ukeni kwa Mjamzito na Matibabu yake! (VAGINA CANDIDIASIS / VULVOVAGINAL CANDIDIASIS (MONILIASIS).

Fangasi za Ukeni kwa Wanawake huwa ni Ugonjwa ambao unawapata kwa kiasi kikubwa (40%) haswa baada ya kubarehe hadi kipindi cha ukomo wa wanawake kushika ujauzito(Miaka 12 – 45). Fangasi

Continue reading

Ugonjwa Unaoathiri Meno Katika Kipindi Cha Ujauzito (Pregnancy Gingivitis)!

Ugonjwa Unaoathiri Meno Katika Kipindi Cha Ujauzito (Pregnancy Gingivitis)!

Ni shida au Ugonjwa unaoathiri baadhi ya Wajawazito ambapo Dalili zake huweza kuanza kuonekana kuanzia mwezi mmoja wa ujauzito mpaka miezi Tisa na hupotea Mara baada ya kujifungua au baada

Continue reading

Je Mjamzito anatakiwa kulalia Upande wa Kushoto Mimba inapofikisha wiki ngapi?

Je Mjamzito anatakiwa kulalia Upande wa Kushoto Mimba inapofikisha wiki ngapi?

Endapo wewe ni Mjamzito kwa Mara ya kwanza tambua ya kwamba kuna Mambo unatakiwa kuacha kufanya endapo ulikuwa unafanya kipindi ambacho hukuwa Mjamzito lakini pia unatakiwa kuanza kufanya Mambo mapya

Continue reading