Category : MIMBA/UJAUZITO

KITOVU CHA MTOTO MCHANGA NYUMBANI, {JINSI YA KUTUNZA KITOVU CHA MTOTO MCHANGA.}

KITOVU CHA MTOTO MCHANGA NYUMBANI, {JINSI YA KUTUNZA KITOVU CHA MTOTO MCHANGA.}

Kitovu cha Mtoto Mchanga ni Kovu lililopo sehemu ya katikati ya Tumbo la Mtoto Mchanga ambayo huwa ina bakia baada ya kukatwa kwa Mrija punde tu baada ya Mtoto Mchanga

Continue reading

Ulaji wa Papai kwa Mjamzito (Je Mjamzito anaweza kula Papai ktk Ujauzito?).

Ulaji wa Papai kwa Mjamzito (Je Mjamzito anaweza kula Papai ktk Ujauzito?).

Mjamzito anaweza kula Papai katika kipindi chote cha Ujauzito bila kupata Madhara yoyote au Mimba yake kuharibika, endapo atafuata tahadhari husika kabla ya kula Tunda hili la Papai. Kumekuwa na

Continue reading

Kwikwi Kwa Mtoto Mchanga

Kwikwi Kwa Mtoto Mchanga

Kwikwi ni hali ambayo hutokea endapo Milango (Vocal Cords) iliyopo sehemu ya juu ya Koo la hewa inajifunga ghafla na haraka baada ya Msuli waa upumuaji (Diaflamu) kujikunja wakati mtu

Continue reading

Madhara ya MAINI na “VITAMIN A” kwa Mjamzito ni yapi?

Madhara ya MAINI na “VITAMIN A” kwa Mjamzito ni yapi?

Mojawapo ya Nyama pendwa kwa Wajawazito wengi ni nyama ya Maini inawezekana ni Maini ya Ng’ombe, Nguruwe, Mbuzi, Kondoo, Kuku, Bata na nk, Nyama ya Maini ya Wanyama mbalimbali huwa

Continue reading

Jinsi ya kupunguza Mate Mdomoni kwa Mjamzito (Mate Mdomoni kwa Mjamzito).

Jinsi ya kupunguza Mate Mdomoni kwa Mjamzito (Mate Mdomoni kwa Mjamzito).

Ptyalism Gravidarum ni hali ya kuwa na Mate mengi Mdomoni kwa Mama Kijacho ambapo jina lingine kitaalamu huitwa majina mengine ni kama Hypersalivation au Sialorrhea. Mjamzito mwenye changamoto hii huweza

Continue reading

JE MJAMZITO ANAWEZA KUENDESHA GARI? (UENDESHAJI WA GARI KWA MJAMZITO)

JE MJAMZITO ANAWEZA KUENDESHA GARI? (UENDESHAJI WA GARI KWA MJAMZITO)

Mjamzito unaweza kuendesha Gari kama kawaida wakati wa Ujauzito wako,ili mradi tu uko vizuri na unaweza kutumia gari kwa usalama. Mjamzito unaweza kuendesha gari Mwanzoni mwa Ujauzito mpaka Mwishoni mwa

Continue reading

Je! Mjamzito anaweza kutumia Kahawa(Coffee) ktk kipindi cha Ujauzito? {Matumizi ya Kahawa kwa Mjamzito}.

Je! Mjamzito anaweza kutumia Kahawa(Coffee) ktk kipindi cha Ujauzito? {Matumizi ya Kahawa kwa Mjamzito}.

Jibu: Ndio! Mjamzito ili uweze kutumia Kahawa ni lazima uwe mwangalifu na utumie kwa tahadhari kubwa kwa sababu Mjamzito hatakiwi kutumia zaidi 200mg za caffeine ambayo zipo ndani ya Kahawa

Continue reading

KUINAMA KWA MJAMZITO (JE MJAMZITO ANAWEZA KUINAMA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO)?

KUINAMA KWA MJAMZITO (JE MJAMZITO ANAWEZA KUINAMA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO)?

Ukweli ni kwamba Mjamzito anaweza kuina katika kipindi chote cha Ujauzito bila shida yoyote ile katika Ujauzito wake, isipokuwa tuu kuna namna nzuri ya kuinama katika kipindi cha Ujauzito. Mjamzito

Continue reading

FAIDA ZA KULA TENDE KWA MJAMZITO NI ZIPI?{JE KUNA FAIDA GANI ZA TENDE KWA MJAMZITO}?

FAIDA ZA KULA TENDE KWA MJAMZITO NI ZIPI?{JE KUNA FAIDA GANI ZA TENDE KWA MJAMZITO}?

Mjamzito anapotumia Tende ktk Ujauzito wake huweza kumletea faida nyingi Sana, Tende huweza kutumika kipindi chochote cha Ujauzito wako. Zifuatazo ni faida za kutumia Tende kwa Mjamzito; Mjamzito anayetumia Tende

Continue reading

MATUMIZI YA ASALI KWA MJAMZITO NA FAIDA ZAKE? {TAHADHARI ZA ASALI KWA MJAMZITO}.

MATUMIZI YA ASALI KWA MJAMZITO NA FAIDA ZAKE? {TAHADHARI ZA ASALI KWA MJAMZITO}.

Asali ni Mojawapo la zao litokanalo na nyuki, Mwanadamu hutumia Asali katika matumizi mbalimbali, baadhi ya watu hutumia Asali kwa ajili ya kukausha na kuponya vidonda lakini pia sayansi inathibitisha

Continue reading