Category : MIEZI MITATU YA MWISHONI

MTOTO HUGEUKA LINI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO!

MTOTO HUGEUKA LINI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO!

Mtoto anaweza kuanza kugeuka kuanzia wiki ya 32 mpaka wiki 36 Endapo hajageuka kuanzia wiki 35 kurudi chini hiyo inawezekana isiwe shida kwa sababu anaweza kugeuka mpaka wiki ya 36

Continue reading

ULAJI WA UDONGO KWA MJAMZITO

ULAJI WA UDONGO KWA MJAMZITO

Ulaji wa Udongo kwa Mjamzito ni hali ya kawaida na hujumuisha asilimia 20 ya Wajawazito wote Duniani, Mjamzito anaweza kupata tatizo hili katika Miezi Mitatu ya mwanzo ya Ujauzito, Japokuwa

Continue reading

Chanjo ya Ugonjwa wa Pepopunda (Tetanus) kwa Mjamzito!

Chanjo ya Ugonjwa wa Pepopunda (Tetanus) kwa Mjamzito!

PEPOPUNDA (TETANUS)Ni ugonjwa ambao huathiri watu wa rika zote na umri wowote ule na Ugonjwa huu huweza kuathiri Mfumo wa fahamu unao husika na Misuli inayojiunganisha na Mifupa ambayo huratibu

Continue reading

Je kwa nini Mjamzito hupimwa (Kimo) Urefu wa tumbo?? na Je Urefu wa tumbo humaanisha umri wa Ujauzito???

Je kwa nini Mjamzito hupimwa (Kimo) Urefu wa tumbo?? na Je Urefu wa tumbo humaanisha umri wa Ujauzito???

Kimo au Urefu wa tumbo kitaalamu huitwa Fundal Height ambao ni Urefu kutoka kwenye mfupa wa kinena (Pubic Bone) mpaka kwenye sehemu ya juu ya tumbo au mfuko wa uzazi(Fundus).

Continue reading

Je kwa nini Chupa hupasuka kabla ya Uchungu kuanza? | Chupa kupasuka kwa Mjamzito kabla ya Uchungu!!

Je kwa nini Chupa hupasuka kabla ya Uchungu kuanza? | Chupa kupasuka kwa Mjamzito kabla ya Uchungu!!

Kwa nini kwa baadhi ya Wajawazito Chupa hupasuka kabla ya Uchungu kuweza kuanza? Kuna Baadhi ya Wajawazito Chupa hupasuka kabla ya Uchungu kutoka na sababu mbalimbali, kabla hatujaona sababu zinazopelekea.

Continue reading