Category : MIEZI MITATU YA KATIKATI

Uchungu usio halisi kwa Mjamzito(False labor).

Uchungu usio halisi kwa Mjamzito(False labor).

Uchungu usiohalisi ni maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo hubana na kuachia ambayo Mjamzito anaweza kupata katika kipindi cha Ujauzito. Maumivu ya kubana na kuachia huweza kuanza miezi mitatu

Continue reading

Mfungo/Kufunga kwa Mjamzito.

Mfungo/Kufunga kwa Mjamzito.

Mjamzito anaruhusiwa kufunga katika kipindi cha Ujauzito kama akina Mama wengine wasio Wajawazito? Jibu ni HAPANA!!!, MJAMZITO HURUSIWI KABISA KUFUNGA AU KUFANYA MFUNGO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO WAKO, KUTOKANA NA

Continue reading

MWISHO LINI KUFANYA MAPENZI/TENDO LA NDOA KWA MJAMZITO.

MWISHO LINI KUFANYA MAPENZI/TENDO LA NDOA KWA MJAMZITO.

Tendo la Ndoa ni mojawapo ya starehe muhimu sana kwa afya ya mwanadamu vile vile huongeza uimara wa mahusiano baina ya mke na Mume, japokuwa Tendo la Ndoa katika kipindi

Continue reading

Madhara ya MAINI na “VITAMIN A” kwa Mjamzito ni yapi?

Madhara ya MAINI na “VITAMIN A” kwa Mjamzito ni yapi?

Mojawapo ya Nyama pendwa kwa Wajawazito wengi ni nyama ya Maini inawezekana ni Maini ya Ng’ombe, Nguruwe, Mbuzi, Kondoo, Kuku, Bata na nk, Nyama ya Maini ya Wanyama mbalimbali huwa

Continue reading

Jinsi ya kupunguza Mate Mdomoni kwa Mjamzito (Mate Mdomoni kwa Mjamzito).

Jinsi ya kupunguza Mate Mdomoni kwa Mjamzito (Mate Mdomoni kwa Mjamzito).

Ptyalism Gravidarum ni hali ya kuwa na Mate mengi Mdomoni kwa Mama Kijacho ambapo jina lingine kitaalamu huitwa majina mengine ni kama Hypersalivation au Sialorrhea. Mjamzito mwenye changamoto hii huweza

Continue reading

JE MJAMZITO ANAWEZA KUENDESHA GARI? (UENDESHAJI WA GARI KWA MJAMZITO)

JE MJAMZITO ANAWEZA KUENDESHA GARI? (UENDESHAJI WA GARI KWA MJAMZITO)

Mjamzito unaweza kuendesha Gari kama kawaida wakati wa Ujauzito wako,ili mradi tu uko vizuri na unaweza kutumia gari kwa usalama. Mjamzito unaweza kuendesha gari Mwanzoni mwa Ujauzito mpaka Mwishoni mwa

Continue reading

Je! Mjamzito anaweza kutumia Kahawa(Coffee) ktk kipindi cha Ujauzito? {Matumizi ya Kahawa kwa Mjamzito}.

Je! Mjamzito anaweza kutumia Kahawa(Coffee) ktk kipindi cha Ujauzito? {Matumizi ya Kahawa kwa Mjamzito}.

Jibu: Ndio! Mjamzito ili uweze kutumia Kahawa ni lazima uwe mwangalifu na utumie kwa tahadhari kubwa kwa sababu Mjamzito hatakiwi kutumia zaidi 200mg za caffeine ambayo zipo ndani ya Kahawa

Continue reading

KUINAMA KWA MJAMZITO (JE MJAMZITO ANAWEZA KUINAMA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO)?

KUINAMA KWA MJAMZITO (JE MJAMZITO ANAWEZA KUINAMA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO)?

Ukweli ni kwamba Mjamzito anaweza kuina katika kipindi chote cha Ujauzito bila shida yoyote ile katika Ujauzito wake, isipokuwa tuu kuna namna nzuri ya kuinama katika kipindi cha Ujauzito. Mjamzito

Continue reading

MATUMIZI YA ASALI KWA MJAMZITO NA FAIDA ZAKE? {TAHADHARI ZA ASALI KWA MJAMZITO}.

MATUMIZI YA ASALI KWA MJAMZITO NA FAIDA ZAKE? {TAHADHARI ZA ASALI KWA MJAMZITO}.

Asali ni Mojawapo la zao litokanalo na nyuki, Mwanadamu hutumia Asali katika matumizi mbalimbali, baadhi ya watu hutumia Asali kwa ajili ya kukausha na kuponya vidonda lakini pia sayansi inathibitisha

Continue reading

DALILI ZA MTOTO KUGEUKA TUMBONI MWA MJAMZITO {CEPHALIC PRESENTATION}.

DALILI ZA MTOTO KUGEUKA TUMBONI MWA MJAMZITO {CEPHALIC PRESENTATION}.

Mtoto kugeuka (Cephalic Presentation) maana yake Nini?Mtoto kugeuka ni vile Mtoto anapokuwa amegeuza kichwa chini kwenye Nyonga ya Mjamzito na pia Sura ya Mtoto kuangalia nyuma na chogo cha kichwa

Continue reading