Category : MIEZI MITATU YA MWANZO

KUTOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA UKENI | SHOMBO YA SAMAKI KWA MJAMZITO NA KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA UKENI | SHOMBO YA SAMAKI KWA MJAMZITO NA KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA NA UCHAFU WA NJANO UKENI KWA MJAMZITO NI UGONJWA AMBAO HUSABABISHWA NA BAKTERIA. UGONJWA HUU HUITWA BACTERIAL VAGINOSIS.Bacterial Vaginosis husababisha na Bakteria aina ya Garnerella Vaginalis ambaye huvamia Ukeni

Continue reading

MADHARA YA SODA KWA MJAMZITO

MADHARA YA SODA KWA MJAMZITO

Unywaji Soda kwa Mjamzito ambao usio wa mara kwa mara hauna shida yoyote kwa Mjamzito asiye na Ugonjwa wa Kisukari au Presha!. Unywaji wa Soda wa mara kwa mara au

Continue reading

JE ULTRASOUND INA MADHARA KWA MJAMZITO AU MTOTO ALIYEKO TUMBONI?

JE ULTRASOUND INA MADHARA KWA MJAMZITO AU MTOTO ALIYEKO TUMBONI?

ULTRASOUND(SONOGRAM);Ni Kifaa au Mashine ambayo hutumika kuonesha Taswira au Picha ya Sehemu Fulani ya Mwili wa Binadamu ambayo imeathiriwa au yenye Shida fulani ambapo wa Huduma wa Afya huhitaji kujua

Continue reading

Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito Husababishwa na Nini?

Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito Husababishwa na Nini?

Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito huweza kuwa Hali ya kawaida kutokana na mabadiliko mbalimbali katika kipindi cha Ujauzito au Dalili Hatarishi, Mambo yafuatayo huweza kusababisha Maumivu ya

Continue reading

DALILI 30 ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)

DALILI 30 ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)

Mjamzito mwenye Ujauzito wa kuanzia wiki 2 mpaka mwezi mmoja anaweza kuwa na Dalili zifuatazo; KUMBUKA; Dalili pekee hazitoshi kuonesha kuwa Mjamzito kuna Baadhi ya Magonjwa huwa na Dalili zinazofanana

Continue reading

Maumivu ya Mbavu kwa Mjamzito husababishwa na Nini?, Na suluhisho lake ni lipi?

Maumivu ya Mbavu kwa Mjamzito husababishwa na Nini?, Na suluhisho lake ni lipi?

Kwa kawaida Kutokana na Mabadiliko mbalimbali ya Kipindi cha Ujauzito, Mjamzito anaweza kuwa na Dalili za kuwa na Maumivu ya Mwili ikiwemo Maumivu ya Mbavu inawezekana Mbavu za Kushoto,Kulia au

Continue reading

Je Mjamzito anaweza kupata Hedhi?

Je Mjamzito anaweza kupata Hedhi?

Je ni kweli kwamba unaweza kupata Hedhi katika kipindi cha Ujauzito? Hapana!Ukweli ni kwamba mara baada ya kupata Ujauzito au Mimba huwezi kupata Hedhi, Baadhi ya Wajawazito hususani wale ambao

Continue reading

Je kutokwa Damu kipindi cha Ujauzito ni hatari? | Je unatokwa Damu wakati wa Ujauzito?? Fanya hivi!.

Je kutokwa Damu kipindi cha Ujauzito ni hatari? | Je unatokwa Damu wakati wa Ujauzito?? Fanya hivi!.

Je kutokwa na Damu kipindi cha Ujauzito ni dalili ya hatari?Ndio,Endapo Mimba yako ina umri wa chini ya wiki 28 sawa na miezi 7 na unatokwa na Damu hata kama

Continue reading

MJAMZITO HUTAKIWI KUMEZA SP ZA MALARIA MIEZI MITATU YA MWANZONI MWA UJAUZITO!

MJAMZITO HUTAKIWI KUMEZA SP ZA MALARIA MIEZI MITATU YA MWANZONI MWA UJAUZITO!

Sulfadoxine-Pyrimethamine (SP) ni dawa za Malaria hupatikana kwa Jina la Fansidar au Orodar ambazo hutolewa kwa Wajawazito kuanzia Mimba inapofikisha Miezi mi4 kwenda juu kulingana na andiko la mwaka 2012

Continue reading

Ugonjwa wa Fangasi Ukeni kwa Mjamzito na Matibabu yake! (VAGINA CANDIDIASIS / VULVOVAGINAL CANDIDIASIS (MONILIASIS).

Ugonjwa wa Fangasi Ukeni kwa Mjamzito na Matibabu yake! (VAGINA CANDIDIASIS / VULVOVAGINAL CANDIDIASIS (MONILIASIS).

Fangasi za Ukeni kwa Wanawake huwa ni Ugonjwa ambao unawapata kwa kiasi kikubwa (40%) haswa baada ya kubarehe hadi kipindi cha ukomo wa wanawake kushika ujauzito(Miaka 12 – 45). Fangasi

Continue reading