Category : KABLA YA UJAUZITO

KUTOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA UKENI | SHOMBO YA SAMAKI KWA MJAMZITO NA KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA UKENI | SHOMBO YA SAMAKI KWA MJAMZITO NA KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA NA UCHAFU WA NJANO UKENI KWA MJAMZITO NI UGONJWA AMBAO HUSABABISHWA NA BAKTERIA. UGONJWA HUU HUITWA BACTERIAL VAGINOSIS.Bacterial Vaginosis husababisha na Bakteria aina ya Garnerella Vaginalis ambaye huvamia Ukeni

Continue reading

MADHARA YA SODA KWA MJAMZITO

MADHARA YA SODA KWA MJAMZITO

Unywaji Soda kwa Mjamzito ambao usio wa mara kwa mara hauna shida yoyote kwa Mjamzito asiye na Ugonjwa wa Kisukari au Presha!. Unywaji wa Soda wa mara kwa mara au

Continue reading

DALILI 30 ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)

DALILI 30 ZA MIMBA CHANGA (Wiki 2 mpaka Miezi 3 ya Ujauzito)

Mjamzito mwenye Ujauzito wa kuanzia wiki 2 mpaka mwezi mmoja anaweza kuwa na Dalili zifuatazo; KUMBUKA; Dalili pekee hazitoshi kuonesha kuwa Mjamzito kuna Baadhi ya Magonjwa huwa na Dalili zinazofanana

Continue reading

Je Mjamzito anaweza kupata Hedhi?

Je Mjamzito anaweza kupata Hedhi?

Je ni kweli kwamba unaweza kupata Hedhi katika kipindi cha Ujauzito? Hapana!Ukweli ni kwamba mara baada ya kupata Ujauzito au Mimba huwezi kupata Hedhi, Baadhi ya Wajawazito hususani wale ambao

Continue reading

Je kutokwa Damu kipindi cha Ujauzito ni hatari? | Je unatokwa Damu wakati wa Ujauzito?? Fanya hivi!.

Je kutokwa Damu kipindi cha Ujauzito ni hatari? | Je unatokwa Damu wakati wa Ujauzito?? Fanya hivi!.

Je kutokwa na Damu kipindi cha Ujauzito ni dalili ya hatari?Ndio,Endapo Mimba yako ina umri wa chini ya wiki 28 sawa na miezi 7 na unatokwa na Damu hata kama

Continue reading

MJAMZITO HUTAKIWI KUMEZA SP ZA MALARIA MIEZI MITATU YA MWANZONI MWA UJAUZITO!

MJAMZITO HUTAKIWI KUMEZA SP ZA MALARIA MIEZI MITATU YA MWANZONI MWA UJAUZITO!

Sulfadoxine-Pyrimethamine (SP) ni dawa za Malaria hupatikana kwa Jina la Fansidar au Orodar ambazo hutolewa kwa Wajawazito kuanzia Mimba inapofikisha Miezi mi4 kwenda juu kulingana na andiko la mwaka 2012

Continue reading

Ugonjwa wa Fangasi Ukeni kwa Mjamzito na Matibabu yake! (VAGINA CANDIDIASIS / VULVOVAGINAL CANDIDIASIS (MONILIASIS).

Ugonjwa wa Fangasi Ukeni kwa Mjamzito na Matibabu yake! (VAGINA CANDIDIASIS / VULVOVAGINAL CANDIDIASIS (MONILIASIS).

Fangasi za Ukeni kwa Wanawake huwa ni Ugonjwa ambao unawapata kwa kiasi kikubwa (40%) haswa baada ya kubarehe hadi kipindi cha ukomo wa wanawake kushika ujauzito(Miaka 12 – 45). Fangasi

Continue reading

MIMBA ISIYOKUWA NA KIINI (BRIGHTEN OVUM).

MIMBA ISIYOKUWA NA KIINI (BRIGHTEN OVUM).

Mimba isiyo na Kiini ni aina ya Mimba ambayo hutokea baada ya Yai la kike lilorutubishwa ambalo hugawanyika na kushindwa kufanyika kwa Kiini ipasavyo ambapo huweza kujishikiza kwenye ukuta wa

Continue reading

Je Mjamzito aliyewahi kujifungua kwa Upasuaji anaweza kujifungua kwa njia ya kawaida!

Je Mjamzito aliyewahi kujifungua kwa Upasuaji anaweza kujifungua kwa njia ya kawaida!

JE MJAMZITO ALIYEWAHI KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI ANAWEZA KUJIFUNGUA MIMBA INAYOFUATA KWA NJIA YA KAWAIDA?. Mjamzito ambaye aliwahi kujifungua Mara moja kwa Upasuaji kwenye Mimba iliyopita na endapo sababu iliyopelekea kujifungua

Continue reading

Je kipimo Cha Mimba huacha kuonesha kuwa Mjamzito lini?, Tokea Mimba kuharibika!

Je kipimo Cha Mimba huacha kuonesha kuwa Mjamzito lini?, Tokea Mimba kuharibika!

Mimba kuharibika ni Hali ambayo huwakuta 10% hadi 20% Kati ya Wanawake wote wajawazito yaani katika Wanawake Wajawazito 100, Kati ya Wanawake 10 Hadi 20 Mimba zao huishia kuharibika, 80%

Continue reading