Category : KABLA YA UJAUZITO

Madhara ya MAINI na “VITAMIN A” kwa Mjamzito ni yapi?

Madhara ya MAINI na “VITAMIN A” kwa Mjamzito ni yapi?

Mojawapo ya Nyama pendwa kwa Wajawazito wengi ni nyama ya Maini inawezekana ni Maini ya Ng’ombe, Nguruwe, Mbuzi, Kondoo, Kuku, Bata na nk, Nyama ya Maini ya Wanyama mbalimbali huwa

Continue reading

MATUMIZI YA ASALI KWA MJAMZITO NA FAIDA ZAKE? {TAHADHARI ZA ASALI KWA MJAMZITO}.

MATUMIZI YA ASALI KWA MJAMZITO NA FAIDA ZAKE? {TAHADHARI ZA ASALI KWA MJAMZITO}.

Asali ni Mojawapo la zao litokanalo na nyuki, Mwanadamu hutumia Asali katika matumizi mbalimbali, baadhi ya watu hutumia Asali kwa ajili ya kukausha na kuponya vidonda lakini pia sayansi inathibitisha

Continue reading

SABABU ZA KUCHOKA SANA KWA MJAMZITO KTK KIPINDI CHA UJAUZITO (KUISHIWA NGUVU KTK UJAUZITO)

SABABU ZA KUCHOKA SANA KWA MJAMZITO KTK KIPINDI CHA UJAUZITO (KUISHIWA NGUVU KTK UJAUZITO)

KUCHOKA SANA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO NI HALI YA KAWAIDA KABISA JAPOKUWA KUNA WAKATI UNATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI KWA KUFANYA VIPIMO AU KUMWONA DAKTARI. Kuchoka ktk kipindi cha Ujauzito hutokea zaidi

Continue reading

MAUMIVU YA KICHWA KWA MJAMZITO (MAUMIVU YA KICHWA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO)

MAUMIVU YA KICHWA KWA MJAMZITO (MAUMIVU YA KICHWA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO)

MAUMIVU YA KICHWA KWA MJAMZITO HUWEZA KUSABABISHWA NA MAMBO YAFUATAYO: KUMBUKA:Usinunue Dawa za maumivu bila idhini ya Daktari kwa sababu dawa nyingi za maumivu huwa hazitumiki kwa Mjamzito au katika

Continue reading

JE KIPORO CHA CHAKULA MJAMZITO ANARUHUSIWA KULA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO?

JE KIPORO CHA CHAKULA MJAMZITO ANARUHUSIWA KULA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO?

KIPORO (LEFTOVERS) ni chakula ambacho kimebaki au masalia ya chakula baada ya mtu kula chakula alicho kiandaa katika kipindi fulani inawezekana Jioni, Mchana na ahsubuhi! Vile vile hutegemeana na aina

Continue reading

KUTOKWA MAZIWA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA MAZIWA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO!

Kutokwa na Maziwa au Maji maji kwenye matiti ktk kipindi cha Ujauzito. Wajawazito wengi huwa wanapata hali ya kutokwa Maziwa au Maji maji ktk kipindi cha Ujauzito na kabla ya

Continue reading

Je Mjamzito anaweza kunywa energy drinks(Vinywaji vya energy)??Madhara ya Vinywaji vya energy kwa Mjamzito!

Je Mjamzito anaweza kunywa energy drinks(Vinywaji vya energy)??Madhara ya Vinywaji vya energy kwa Mjamzito!

Mjamzito unatakiwa kutumia Vinywaji vyenye caffeine kwa tahadhari kubwa sana. Caffeine hupatikana kwenye Vyakula kama Energy drinks, Chocolate, Kahawa, Chai, Soda aina ya Coca-Cola au Pepsi. Kutokana na ACOG, Mjamzito

Continue reading

JE MJAMZITO ANAWEZA KUNYWA MAZIWA AU MTINDI?

Jibu: Ndio, Mjamzito anaweza kutumia Maziwa au Zao lolote litokanalo na Maziwa bila shida yoyote kwa Mjamzito. Isipokuwa tuu Mjamzito haruhusiwi kunywa Maziwa au Zao lolote lililotokana na Maziwa ambayo

Continue reading

UBUYU KWA MJAMZITO (BAOBAB FRUIT IN PREGNANCY)

UBUYU KWA MJAMZITO (BAOBAB FRUIT IN PREGNANCY)

FAIDA ZA UBUYU KWA MJAMZITO NI ZIPI?UBUYU(BAOBAB FRUIT) ni Tunda litakanalo na mti uitwao Mbuyu kisayansi unaitwa Adansonia digitata. Jamii ya Miti hii hupatikana ukanda wa Savanna! Africa Mti huu

Continue reading

MJAMZITO UNATAKIWA KUFANYA ULTRASOUND MARA NGAPI NA LINI KTK UJAUZITO WAKO?

MJAMZITO UNATAKIWA KUFANYA ULTRASOUND MARA NGAPI NA LINI KTK UJAUZITO WAKO?

Kulingana na ACOG Mwanamke Mjamzito anatakiwa kufanya Ultrasound angalau Mara mbili katika kipindi chote cha Ujauzito endapo Mimba yake haina shida yoyote! Mjamzito ambaye Mimba yake inachangamoto fulani mfano; kutokwa

Continue reading