Category : MTOTO MCHANGA

Je Macho mekundu kwa Kichanga husababishwa na nini? (Subconjunctival Hemorrhage)

Je Macho mekundu kwa Kichanga husababishwa na nini? (Subconjunctival Hemorrhage)

Hali ya Kichanga kuwa na Macho mekundu muda mfupi tokea kuzaliwa ni kawaida haswa kwa Vichanga walio zaliwa kwa njia ya kawaida ila kwa njia za usaidizi kitalaam huitwa Subconjuctival

Continue reading

Hedhi ya Kichanga wa Kike/Kutokwa Damu Ukeni Kwa Kichanga wa Kike.

Hedhi ya Kichanga wa Kike/Kutokwa Damu Ukeni Kwa Kichanga wa Kike.

Hedhi ya Mtoto Mchanga wa Kike (Neonatal Uterine Bleeding), Hali hii huitwa hedhi ya Uongo Kwa Watoto Wachanga wa Kike ambayo hutokea ndani ya Wiki 1 toke kuzaliwa kwao, Hii

Continue reading

Upele wa Joto kwa Mtoto Mchanga | Vipele vya Joto Kwa Mtoto Mchanga (Miliaria).

Upele wa Joto kwa Mtoto Mchanga | Vipele vya Joto Kwa Mtoto Mchanga (Miliaria).

Vipele vya Joto ni Ugonjwa wa kawaida wa ngozi unaosababishwa na kuzibwa na/au kuvimba kwa mifereji inayopitisha jasho kutoka kwenye tezi za Jasho, wakati mwingine huitwa Upele wa jasho. Upele

Continue reading

NGIRI YA KITOVU KWA MTOTO MCHANGA (UMBILICAL HERNIA)

NGIRI YA KITOVU KWA MTOTO MCHANGA (UMBILICAL HERNIA)

Ngiri ya Kitovu ni uwazi usio wa kawaida kwenye Kitovu ambao huweza kuruhusu tishu au Kiungo kutoka ndani ya tumbo (Utumbo na nk) na kuingia kwa wakati fulani fulani kwa

Continue reading

Homa kwa Mchanga Wa Umri Chini ya Miezi 3 na Mtoto wa Umri chini ya Mwaka 1.

Homa kwa Mchanga Wa Umri Chini ya Miezi 3 na Mtoto wa Umri chini ya Mwaka 1.

Homa ni dalili ambayo huhusisha kuongezeka kwa Joto la Mwili wa Mtoto Mchanga, Joto la kuanzia 38⁰Centigrade au 100.4⁰ Fahrenheit kwenda juu humaanisha homa kwa Mtoto Mchanga. Joto la kawaida

Continue reading

HOMA YA MANJANO KWA MTOTO MCHANGA.

Watoto wachanga walio wengi wanapokuwa wamezaliwa hususani wiki ya 1 tu ya maisha yao huwa na Unjano kwenye macho yao au kwenye ngozi zao. Hali hii ya Unjano wa Macho

Continue reading

KITOVU CHA MTOTO MCHANGA NYUMBANI, {JINSI YA KUTUNZA KITOVU CHA MTOTO MCHANGA.}

KITOVU CHA MTOTO MCHANGA NYUMBANI, {JINSI YA KUTUNZA KITOVU CHA MTOTO MCHANGA.}

Kitovu cha Mtoto Mchanga ni Kovu lililopo sehemu ya katikati ya Tumbo la Mtoto Mchanga ambayo huwa ina bakia baada ya kukatwa kwa Mrija punde tu baada ya Mtoto Mchanga

Continue reading

KUTOKWA MAZIWA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO!

KUTOKWA MAZIWA KTK KIPINDI CHA UJAUZITO!

Kutokwa na Maziwa au Maji maji kwenye matiti ktk kipindi cha Ujauzito. Wajawazito wengi huwa wanapata hali ya kutokwa Maziwa au Maji maji ktk kipindi cha Ujauzito na kabla ya

Continue reading

JINSI YA KUNYONYESHA MTOTO NA FAIDA ZAKE!

JINSI YA KUNYONYESHA MTOTO NA FAIDA ZAKE!

KUNYONYESHA hii ndio njia bora ya kumpa Maziwa yako kama Chakula kwa Mtoto wako Mchanga ili aweze kukua Kiakili na maendeleo yake kiafya. Kulingana na Shirika la Afya Duniani(WHO) na

Continue reading

Je Mama anaye nyonyesha anaweza kupata Ujauzito/Mimba?

Je Mama anaye nyonyesha anaweza kupata Ujauzito/Mimba?

Jibu Ndio! Kuna baadhi ya akina Mama wanaonyonyesha hujishtukia tayari wana Mimba nyingine ndani ya miezi 6 tokea wajifungue hii ni kwa sababu wanashindwa kujua vigezo ambavyo vitawafanya wao wasitumie/watumie

Continue reading