All posts by MamaAfya

MIMBA KUHARIBIKA/KUTOKA MARA KWA MARA KUTOKANA NA UDHAIFU WA MLANGO WA UZAZI (CERVICAL INSUFFICIENCY)

MIMBA KUHARIBIKA/KUTOKA MARA KWA MARA KUTOKANA NA UDHAIFU WA MLANGO WA UZAZI (CERVICAL INSUFFICIENCY)

UDHAIFU WA MLANGO WA UZAZI Udhaifu wa Mlango wa Uzazi ni Hali au shida ambayo huhusisha Mlango wa Uzazi kushindwa kudhibiti au kuzuia Mimba isitoke mpaka kipindi ambacho Mtoto anakuwa

Continue reading

Je Mama anaye nyonyesha anaweza kupata Ujauzito/Mimba?

Je Mama anaye nyonyesha anaweza kupata Ujauzito/Mimba?

Jibu Ndio! Kuna baadhi ya akina Mama wanaonyonyesha hujishtukia tayari wana Mimba nyingine ndani ya miezi 6 tokea wajifungue hii ni kwa sababu wanashindwa kujua vigezo ambavyo vitawafanya wao wasitumie/watumie

Continue reading

MAMBO YANAYOPELEKEA MJAMZITO KUKOSA USINGIZI NA MAMBO YA KUFANYA ILI KUPATA USINGIZI KWA MJAMZITO!

MAMBO YANAYOPELEKEA MJAMZITO KUKOSA USINGIZI NA MAMBO YA KUFANYA ILI KUPATA USINGIZI KWA MJAMZITO!

Mambo ambayo huweza kupelekea kukosa usingizi kwa Mama Mjamzito ni kama yafuatayo! 1. Kuongezeka kwa hamu ya kwenda kukojoa Mara kwa Mara usiku! 2. Kupata maumivu ya Mgongo kutokana na

Continue reading

STRETCH MARKS DURING PREGNANCY (STRIAE GRAVIDARUM)

STRETCH MARKS DURING PREGNANCY (STRIAE GRAVIDARUM)

Striae distensae are a common form of dermal scarring that appear on the skin as erythematous or hypopigmented linear striations. Synonyms include the terms striae, stretch marks, and striae atrophicans.

Continue reading

When does Pregnant woman should feel fetal kicks inside the womb?

When does Pregnant woman should feel fetal kicks inside the womb?

Pregnant women can feel fetal kicks in the womb at different gestational ages depending on the pregnant mother and it is individualized. 1. A Pregnant Woman who has never given

Continue reading

Je Mtoto kucheza zaidi Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari?

Je Mtoto kucheza zaidi Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari?

Kwa kawaida Mtoto anaweza kucheza kuanzia Mara 3 mpaka Mara 100 ndani ya saa 1! Tafiti nyingi zilionesha ya kwamba kupunguza kucheza kwa Mtoto Tumboni mwa Mjamzito huwa ni hatari

Continue reading

MICHIRIZI YA TUMBO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO.

MICHIRIZI YA TUMBO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO.

Michirizi au Mistari midogo midogo ambayo hutokea kipindi Cha Ujauzito kwenye maeneo ya Tumboni, Mapajani na kwenye Matiti ya Mjamzito,hususani Miezi mitatu ya katikati na mwishoni mwa Ujauzito, Hali huwa

Continue reading

MTOTO HUGEUKA LINI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO!

MTOTO HUGEUKA LINI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO!

Mtoto anaweza kuanza kugeuka kuanzia wiki ya 32 mpaka wiki 36 Endapo hajageuka kuanzia wiki 35 kurudi chini hiyo inawezekana isiwe shida kwa sababu anaweza kugeuka mpaka wiki ya 36

Continue reading

MIMBA ZABIBU

MIMBA ZABIBU

MIMBA ZABIBU Hii ni aina ya Mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya Kiume imerutubisha Yai la Kike ambalo halina kiini au hata kama yai hilo lina kiini basi kiini ambacho

Continue reading

ONGEZEKO LA UZITO KWA MJAMZITO MWENYE MIMBA YA MAPACHA.

ONGEZEKO LA UZITO KWA MJAMZITO MWENYE MIMBA YA MAPACHA.

Uzito wa mama Mjamzito mwenye Mimba ya Mapacha hutofautiana na Mjamzito mwenye Mimba ya mtoto mmoja kwa kiasi kikubwa Sana, hivyo endepo Mjamzito akiwa na Mimba ya Mapacha  anahitaji kuongezeka

Continue reading