All posts by MamaAfya

Matumzi ya Chumvi Kwa Mjamzito Na Madhara Yake!

Matumzi ya Chumvi Kwa Mjamzito Na Madhara Yake!

Chumvi ya Mezani hutengenezwa kwa madini mbalimbali japokuwa kwa kiwango kikubwa Chumvi ya meza huundwa na madini ya aina mbili Sodium(Na) na Chlorine (Cl) ambayo huwa katika mfumo wa chaji

Continue reading

MWISHO LINI KUFANYA MAPENZI/TENDO LA NDOA KWA MJAMZITO.

MWISHO LINI KUFANYA MAPENZI/TENDO LA NDOA KWA MJAMZITO.

Tendo la Ndoa ni mojawapo ya starehe muhimu sana kwa afya ya mwanadamu vile vile huongeza uimara wa mahusiano baina ya mke na Mume, japokuwa Tendo la Ndoa katika kipindi

Continue reading

HOMA YA MANJANO KWA MTOTO MCHANGA.

Watoto wachanga walio wengi wanapokuwa wamezaliwa hususani wiki ya 1 tu ya maisha yao huwa na Unjano kwenye macho yao au kwenye ngozi zao. Hali hii ya Unjano wa Macho

Continue reading

Kujifungua Mtoto Mkubwa (Big Baby) Kilo 4 au Zaidi.

Kujifungua Mtoto Mkubwa (Big Baby) Kilo 4 au Zaidi.

Mtoto Mkubwa (Macrosomia) ni Mtoto mchanga anayezaliwa na kilo 4 au zaidi, wakati mwingine Mtoto aliyeko Tumboni mwa Mjamzito huweza kuwa na kilo nyingi kuliko umri wa Mimba (Large for

Continue reading

Je Uke Kujamba kwa Mwanamke husababishwa na Nini? (Uke wa Mwanamke Kujamba).

Je Uke Kujamba kwa Mwanamke husababishwa na Nini? (Uke wa Mwanamke Kujamba).

Uke Kujamba ni hali ya kutoka Gesi au Upepo wenye sauti kutoka kwenye Uke wa Mwanamke ambayo huweza kutokea wakati wa kufanya Tendo la Ndoa au Ngono, Mazoezi, Kutembea na

Continue reading

KITOVU CHA MTOTO MCHANGA NYUMBANI, {JINSI YA KUTUNZA KITOVU CHA MTOTO MCHANGA.}

KITOVU CHA MTOTO MCHANGA NYUMBANI, {JINSI YA KUTUNZA KITOVU CHA MTOTO MCHANGA.}

Kitovu cha Mtoto Mchanga ni Kovu lililopo sehemu ya katikati ya Tumbo la Mtoto Mchanga ambayo huwa ina bakia baada ya kukatwa kwa Mrija punde tu baada ya Mtoto Mchanga

Continue reading

Ulaji wa Papai kwa Mjamzito (Je Mjamzito anaweza kula Papai ktk Ujauzito?).

Ulaji wa Papai kwa Mjamzito (Je Mjamzito anaweza kula Papai ktk Ujauzito?).

Mjamzito anaweza kula Papai katika kipindi chote cha Ujauzito bila kupata Madhara yoyote au Mimba yake kuharibika, endapo atafuata tahadhari husika kabla ya kula Tunda hili la Papai. Kumekuwa na

Continue reading

Kwikwi Kwa Mtoto Mchanga

Kwikwi Kwa Mtoto Mchanga

Kwikwi ni hali ambayo hutokea endapo Milango (Vocal Cords) iliyopo sehemu ya juu ya Koo la hewa inajifunga ghafla na haraka baada ya Msuli waa upumuaji (Diaflamu) kujikunja wakati mtu

Continue reading

Madhara ya MAINI na “VITAMIN A” kwa Mjamzito ni yapi?

Madhara ya MAINI na “VITAMIN A” kwa Mjamzito ni yapi?

Mojawapo ya Nyama pendwa kwa Wajawazito wengi ni nyama ya Maini inawezekana ni Maini ya Ng’ombe, Nguruwe, Mbuzi, Kondoo, Kuku, Bata na nk, Nyama ya Maini ya Wanyama mbalimbali huwa

Continue reading

Jinsi ya kupunguza Mate Mdomoni kwa Mjamzito (Mate Mdomoni kwa Mjamzito).

Jinsi ya kupunguza Mate Mdomoni kwa Mjamzito (Mate Mdomoni kwa Mjamzito).

Ptyalism Gravidarum ni hali ya kuwa na Mate mengi Mdomoni kwa Mama Kijacho ambapo jina lingine kitaalamu huitwa majina mengine ni kama Hypersalivation au Sialorrhea. Mjamzito mwenye changamoto hii huweza

Continue reading