All posts by MamaAfya

Je Macho mekundu kwa Kichanga husababishwa na nini? (Subconjunctival Hemorrhage)

Je Macho mekundu kwa Kichanga husababishwa na nini? (Subconjunctival Hemorrhage)

Hali ya Kichanga kuwa na Macho mekundu muda mfupi tokea kuzaliwa ni kawaida haswa kwa Vichanga walio zaliwa kwa njia ya kawaida ila kwa njia za usaidizi kitalaam huitwa Subconjuctival

Continue reading

Uchungu usio halisi kwa Mjamzito(False labor).

Uchungu usio halisi kwa Mjamzito(False labor).

Uchungu usiohalisi ni maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo hubana na kuachia ambayo Mjamzito anaweza kupata katika kipindi cha Ujauzito. Maumivu ya kubana na kuachia huweza kuanza miezi mitatu

Continue reading

Hedhi ya Kichanga wa Kike/Kutokwa Damu Ukeni Kwa Kichanga wa Kike.

Hedhi ya Kichanga wa Kike/Kutokwa Damu Ukeni Kwa Kichanga wa Kike.

Hedhi ya Mtoto Mchanga wa Kike (Neonatal Uterine Bleeding), Hali hii huitwa hedhi ya Uongo Kwa Watoto Wachanga wa Kike ambayo hutokea ndani ya Wiki 1 toke kuzaliwa kwao, Hii

Continue reading

Mfungo/Kufunga kwa Mjamzito.

Mfungo/Kufunga kwa Mjamzito.

Mjamzito anaruhusiwa kufunga katika kipindi cha Ujauzito kama akina Mama wengine wasio Wajawazito? Jibu ni HAPANA!!!, MJAMZITO HURUSIWI KABISA KUFUNGA AU KUFANYA MFUNGO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO WAKO, KUTOKANA NA

Continue reading

Upele wa Joto kwa Mtoto Mchanga | Vipele vya Joto Kwa Mtoto Mchanga (Miliaria).

Upele wa Joto kwa Mtoto Mchanga | Vipele vya Joto Kwa Mtoto Mchanga (Miliaria).

Vipele vya Joto ni Ugonjwa wa kawaida wa ngozi unaosababishwa na kuzibwa na/au kuvimba kwa mifereji inayopitisha jasho kutoka kwenye tezi za Jasho, wakati mwingine huitwa Upele wa jasho. Upele

Continue reading

Vyakula  Muhimu Kwa Mama aliyejifungua kwa Upasuaji!

Vyakula Muhimu Kwa Mama aliyejifungua kwa Upasuaji!

Kujifungua kwa Upasuaji (Caesarean delivery) ni upasuaji mkubwa kama upasuaji mwingine wa Tumbo, japokuwa wakati mwingine utumbo huweza kuguswa wakati wa upasuaji huu ila ni mara chache sana. Hivyo Mama

Continue reading

Matunda Hatari kwa Mjamzito na ktk Kipindi cha Ujauzito!.

Matunda Hatari kwa Mjamzito na ktk Kipindi cha Ujauzito!.

Mjamzito anaweza kula Matunda ya aina nyingi sana katika kipindi cha Ujauzito wake, Pamoja na kwamba Mjamzito anaweza kula Matunda karibia aina zote, yako baadhi ya Matunda inasemekana huweza kuwa

Continue reading

Ulaji wa Bamia kwa Mjamzito

Ulaji wa Bamia kwa Mjamzito

Wajawazito walio wengi hutamani sana kula Bamia katika kipindi cha Ujauzito, ni kweli kwamba Bamia huwa ni muhimu sana katika kipindi cha Ujauzito. Wajawazito wengi huamini kuwa Mjamzito anapotumia Bamia

Continue reading

NGIRI YA KITOVU KWA MTOTO MCHANGA (UMBILICAL HERNIA)

NGIRI YA KITOVU KWA MTOTO MCHANGA (UMBILICAL HERNIA)

Ngiri ya Kitovu ni uwazi usio wa kawaida kwenye Kitovu ambao huweza kuruhusu tishu au Kiungo kutoka ndani ya tumbo (Utumbo na nk) na kuingia kwa wakati fulani fulani kwa

Continue reading

Homa kwa Mchanga Wa Umri Chini ya Miezi 3 na Mtoto wa Umri chini ya Mwaka 1.

Homa kwa Mchanga Wa Umri Chini ya Miezi 3 na Mtoto wa Umri chini ya Mwaka 1.

Homa ni dalili ambayo huhusisha kuongezeka kwa Joto la Mwili wa Mtoto Mchanga, Joto la kuanzia 38⁰Centigrade au 100.4⁰ Fahrenheit kwenda juu humaanisha homa kwa Mtoto Mchanga. Joto la kawaida

Continue reading