Vyakula anavyopaswa kula mtoto kulingana na Umri Wake.

Vyakula anavyopaswa kula mtoto kulingana na Umri Wake.

Vyakula anavyopaswa kula mtoto kulingana na Umri Wake.

Kama unapenda mtoto wako awe na Afya bora tunapendekeza fanya haya katika chakula chake ili kuepusha kupata magonjwa yanayoepukika;

Kuzaliwa hadi miezi 6 : watoto wachanga wanapaswa kunywa maziwa ya mama tuu au formula ya watoto wachanga tuu, hutakiwi kuwapa maji.

Miezi 6 hadi 12: Watoto bado wanapaswa kutegemea maziwa ya mama au formula ya watoto wachanga. Mara tu wameanza kula chakula kigumu, wanaweza kuanza kunywa maji kidogo kidogo.

Miezi 12 hadi 24: Watoto wanapaswa kunywa kikombe kimoja hadi vinne vya maji kila siku. Wanaweza kuanza kunywa maziwa mengineyo kama ya Ng’ombe na vyakula vingine.

Miaka 2-3 : Watoto hawa wanapaswa kunywa kikombe moja hadi vinne vya maji kila siku. Wanapaswa kuhamia maziwa mengine na vyakula vingine.

Umri wa miaka 4 hadi 5: Watoto hawa wanapaswa kunywa vikombe 1.5 hadi vitano vya maji kwa siku. Wanapaswa kunywa maziwa yenye mafuta kidogo

No comments.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *